Waliochelewa kuripoti JKT wakataliwa kupokelewa

Jambo hilo ni kambi zote maana hata hapa Maramba tanga wanalala stendi wamefukuzwa
Wasiwafanyie ukali wa kutisha sana bado watoto hao na wanahitaji kujifunza ..waziri alitazame hilo.
 
mbona nipo ila uliniacha hoi uliposema ukapiganie nchi had ufe vitani ili nchi iwe salama,nikakufaanisha na mabaharia wanao tumia dawa ya kuongeza nguvu eti wanakomoa k na mwisho wa siku wanakufa wao k inaendelea kuwepo
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Baharia mkakamavu mashoti yote unapiga ili kila kitu kiwe poa
 
Hao watu wanaoungaunga nauli ni asilimia ndg sana, changamoto kubwa apa ni mizaha tu ya mtu mweusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…