makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Dah.. Naisoma hbari hii, kiasi mwili unasisimka.
Wapumzike salama
Wapumzike salama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilimaanisha Inter-city public transport (mabasi ya mkoani)Public transport 120? Mkuu labda tuanze na hili swali kwa uelewa wako public transport ni nini.
Hata hayo mkuu, ikizidi sana ni 100km/hr japo standard ni 80km/hr . Zaidi ya hapo si salama hata road iwe one way. Kinachotuchelewesha sisi ni tochi,jam,mizani,matuta,askari.Nilimaanisha Inter-city public transport (mabasi ya mkoani)
Ndo maana ajali kila kukicha pamoja na kujaza matutaHata hayo mkuu, ikizidi sana ni 100km/hr japo standard ni 80km/hr . Zaidi ya hapo si salama hata road iwe one way. Kinachotuchelewesha sisi ni tochi,jam,mizani,matuta,askari.
Yaah kabisaNdo maana ajali kila kukicha pamoja na kujaza matuta
Dereva wake aliitwa mgirikiEnzi za Kiswele Bus walikuwa wakifika Iyovi wanagawa mifuko ya plastic kwa watakaotapika
Mzee shida ni ile ile kubeti kwenye blindspots, overtakes za kwenye kona hizo. Subira ya dakika 5 ingeweza kuokoa maisha yao ila bwana Festo Shoo alitaka kuleta ujuaji na haraka isio na maana. He cost all passengers lives including himself.Hizo IT haziruhusiwi kupakia abiria. Ila watu kujidai Wana haraka haya ndio matokeo yake.
Pole sana mkuu, hilo eneo halitaki ujuaji. Ni baya sana kama utakosa subira maana madereva wengi wako rough. Unaweza ukawa unachukua tahadhari ila wenzio wanavunja miiko ya udereva. Sema inasaidia kama utakua makini. Blindspots za Iyovi ni mbaya sana kwa ishu ya vicheche na stupid overtakes, mwendo wangu huwa ni 70-80kph mule for easy maneuvers and braking, overtake ukipata mnyooko.December mwaka jana nilipoteza brother wangu katika ajali kama hiyo ya IT mkoani Iringa.
Toka hapo sijawahi shauri mtu kutumia usafiri huo maana si salama japo ni wa haraka.
Pole ziwafikie wafiwa wote.
Ni noma mzee hasa kama ni reckless driverKusafiri na familia kwa private car hatar SN msimu huu
Iyovi haitaki Mbwembwe kama sio mzoefu unalamba udongo fasta.Iyovi nilipita majuzi tuu hapa, kama siyo mzoefu umekwenda
Hii ajali style yake ndio ile ile jamaa anafukuza gari ya mbele yake ili aikate ile ameifikia kuikata tu akawa kwenye blindspot mbele kona kali anaimaliza kona tu semi hii hapa kujiokoa akakimbilia ubavuni kwenye ngema ya mlima huo unaonekana maana upande wake kushoto kuna korongo angeitupa gari mtoni kwenye majabali.Inaonekana alikuwa speed
Gari imeisha
Uzembe hilo naljkubaliAsilimia kubwa ya ajali za Tanzania ni uzembe wa madereva na wengi kutojua sheria. Haya mengine ni kweli yanachangia sana...... lakini uzembe ni chanzo kikuu.
Huwa zinakatiwa BIMA ya safari..so kwa mwenye gari Hana shida...atapata jingineNa umekopa !
Kiswele ya Mzee wetu wa Igurusi enzi hizo daah those daysEnzi za Kiswele Bus walikuwa wakifika Iyovi wanagawa mifuko ya plastic kwa watakaotapika