ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Shetani akikuona wa maana ujue HUFAI kabisa kwa Mungu.Kwenye siasa hakuna rafiki au adui wa kudumu,pambana na hali yako,si umemuona Maalimu halafu huo usaliti mbona haupo kwenye ruzuku anayochukua Mbowe?basi kataeni na ruzuku ndio tuwaone wa maana.
Shetani akikuona wa maana ujue HUFAI kabisa kwa Mungu.Kwenye siasa hakuna rafiki au adui wa kudumu,pambana na hali yako,si umemuona Maalimu halafu huo usaliti mbona haupo kwenye ruzuku anayochukua Mbowe?basi kataeni na ruzuku ndio tuwaone wa maana.
Hilo ni baraza la wawakilishi la chama cha mapinduziKwani kuna bunge mkuu au ni baraza la chama?
Kumbuka alikuwa kwenye matibabu ya kichwa huko ApolloKama mliiba kura zote za wabunge wa vyama vingine kwa nini leo mnawapa vyeo wapinzani feki
Ndugai unatia aibu kwa ze komedi yako.
Kumbuka alikuwa kwenye matibabu ya kichwa huko Apollo
Acha wivu wewe, waache wenzio wafaidi mema ya nchi
Grace Tendega, mmoja wa Wasaliti waliojiteua na kuapishwa na Ndugai kuwa wabunge wa viti maalum kutoka Chadema, leo ametunukiwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa ( LAAC )
Bado haijafahamika kama aliomba nafasi hiyo au amepewa bure.
Bali swali kubwa ni hili , ni yupi mwingine atayekikwaa cheo cha bure miongoni mwa wasaliti waliosalia ?
SureHilo ni baraza la wawakilishi la chama cha mapinduzi