Waliofukuzwa CHADEMA waanza kupewa vyeo Bungeni, Grace Tendega awa Mwenyekiti wa LAAC

Kwenye siasa hakuna rafiki au adui wa kudumu,pambana na hali yako,si umemuona Maalimu halafu huo usaliti mbona haupo kwenye ruzuku anayochukua Mbowe?basi kataeni na ruzuku ndio tuwaone wa maana.
Shetani akikuona wa maana ujue HUFAI kabisa kwa Mungu.
 
Kwenye siasa hakuna rafiki au adui wa kudumu,pambana na hali yako,si umemuona Maalimu halafu huo usaliti mbona haupo kwenye ruzuku anayochukua Mbowe?basi kataeni na ruzuku ndio tuwaone wa maana.
Shetani akikuona wa maana ujue HUFAI kabisa kwa Mungu.
 
Acha wivu wewe, waache wenzio wafaidi mema ya nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…