Tetesi: Waliofukuzwa uanachama CHADEMA waanza kugawanyika

Tutaelewana kidogo kidogo
 

Why talk down? He recklessly unleashes insults directed at a whole class of people, completely ignoring the possibility that some people within his audience may be a part of the class he is insulting!

You conclusion is a function of your comparison focal point. Different focal points will result in different conclusions, because both points of convergence and points of divergence exist!
 
Shetani akitimiza azma yake huondoka karibu na eneo la tukio, sasa baada ya yeye kuondoka unabakia mwenyewe hauku ukijutia hayo uliyoyafanya bila hata kuelewa njia gani unaweza kujinasua....

Kifupi shetani huwa hana lolote la maana mbali ya kukuharibia nyota yako, yaani kifupi jamaa ni kivuruge.

"Kumbuka shetani si kiumbe kinachoonekana hapana, bali kina uwezo wa kupenya na kuingia ndani ya nafsi yako kufanya uhalibifu na kisha kutoka baada ya kutimiza azma iliyokusudiwa"

Kwa mfano, waliowahi kufumaniwa watanieewa zaidi ukweli wa jambo hili. Kwa hiyo hawa COVID-19 ni alzima wagawanyike tu sababu shetani kashamaliza kazi yake.
 

Na utarushiwa kwelikweli kwa sababu by all facts, you are an ignorant of the highest order...
 
Halafu bila aibu unajiita Patriot? Patriot gani wewe usiyejali yanayowasibu wananchi wenzako?

Amandla...
Hakuna cha aibu hapa! nchi hii siyo siasa tu kila leo. Mwanasiasa, akilalamikamunaleta hadithi hapa. Mwanasiasa akibaka, munaleta utetezi hapa. Bhla-bhla! kibao! HAtuhitaji kuondoa shida za wansiasa ili kuendelea. Tatueni matatizo ya wakulima, wafugaji, wavuvi, FINITO!

Kama nawe ni mwanasiasa, ukiona yamekushinda njoo tulime korosho. Korosho ikishindikana tunahamia kwenye alizeti, simple!
 
Ilikuwa siku ngumu sana kwangu nilipomuona Halima Mdee na genge lake wakila kiapo.Nawashukuru sana Chadema kwa uamuzi wao wa kuwafukuza.
Watu wa aina yako wapo wengi tu! Arsenal ikifungwa London, wao wanalia kariakoo. Hawafaidiki na ushindi, hawajulikani London, wao wapo wapo tu kama wewe.
 

Kama hii nchi inajua halima anaujasiri wa kiasi gani wasingemuibia kura walivyomuibia, jaman mbona hivyo ? yan mje kumpa ubunge wa viti maalumu wakati mchungaji mmemsaidia kuiba boxi za kura ? ivi hii nchi mnaona watu wote ni bendera fuata upepo sio ??
 
Na utarushiwa kwelikweli kwa sababu by all facts, you are an ignorant of the highest order...

Matusi hayajawahi kuwa substitute ya nguvu ya hoja na hayatakaa yawe. Kwa hiyo, ukiona mtu anakimbilia kurusha matusi, jua kuwa huyo anahitaji kuombewa, kwa sababu hayo matusi ndiyo the best his or her brain can offer!
 
Njaa; Halima ana tamaa ya fedha, baada ya kukosa ubunge alikuwa hana pa kushikia!! Fursa ya viti maalum ilipojitokeza akatumbukia moja kwa moja!
Kuna tofauti kati ya njaa na tamaa kina Halima hawana njaa ila wana tamaa
 
Kama ulimsikia vizuri suala Hilo litashughukikiwa na wanasheria wa chama watafungua kesi
 
How can a man so called patriot vomit this rubbish?
 
"Hivi wewe huna macho ya kukuwezesha kuona alichofanya Magufuli au angalau masikio ya kukuwezesha kusikia watu wengine wakisimulia?"

Natambua kuna watu hadi leo haijulikani walipo na wengine walitekwa nyara na pia wengine kujeruhiwa vibaya kwa amri zake.

Pia nimeshuhudia uhuni alioufanya majuzi kwenye uchaguzi mkuu na pia sitasahau alivyotumia fedha za umma vibaya kwa kujijengea kiwanja cha ndege kijijini kwake.

And the list is endless and rather nauseating. That's all I know about the despot.
 
Kama ulimsikia vizuri suala Hilo litashughukikiwa na wanasheria wa chama watafungua kesi
Walitakiwa wasimamishwe wakati uchunguzi na mashtaka yakiandaliwa. Huwezi kuacha loophole ya kuonekana hawana makosa na kutoa nafasi ya kuharibiwa ushahidi. Ni changa la macho tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…