Tetesi: Waliofukuzwa uanachama CHADEMA waanza kugawanyika


Dah!? Rudi school tafadhali hauko sawa
 
Its so wonderful!!
 
Kama siasa ni hizi za kupenyeza kura bandia basi hakuna siasa bali si-hasa!
 
mtu ana 15 years kama mwanassiasa unamuita hajakomaa?!
15 years bungeni ni uzoefu, na sio lazima ukaambatana na ukomavu hasa katika muktadha wa akili za ujuzi wa mambo na kukabii changamoto, ustahimilivu etc, managing the unexpected works well with maturity and brain, otherwise wrong choice of the diction in use. In any case one would use that on perceptions, attitude, interpretation etc, i get wrong and everything comes wrong. This is just a mere contribution.
 
YOTE hayo yameharibiwa na Usaliti, ujasiri na Usaliti haviendi pamoja.

Ilibidi achague heshima au tamaa, kachagua tamaa, hata vitani shujaa akisaliti ni risasi tu
 
Wataendelea kuwa wabunge kwa nguvu ya spika na mihimili mingine, serikali inawahitaji kutoa taswila ya bunge la vyama vingi na kuhalalisha uchaguzi!
 

Hoja yako ni nini hapa dogo?
 
Na rais feki!
 
Laba CCM ndiyo hawalali maana wanahangaika kweli
Kwani haowametimuliwa niwanaccm?? Mumewatimua uanachama sasa kwanini kuchakutwaa mnaweweseka juu ya wamama hawa wasiona chama chochote? Waacheniiii basiiiii, mbana mnaweweseka JUUU ya hawa raia wasio na chama??
 
Kwani haowametimuliwa niwanaccm?? Mumewatimua uanachama sasa kwanini kuchakutwaa mnaweweseka juu ya wamama hawa wasiona chama chochote? Waacheniiii basiiiii, mbana mnaweweseka JUUU ya hawa raia wasio na chama??
Ndugai na Msukuma ndiyo wanaweweseka labda kama haufahamu maana ya kuweweseka
 
Ulitaka mimi nifanye nini kwa niaba yenu?
kISHAURI chama chenu ccm kiache siasa rahisi na za maji taka,chama chenye umri wa babu yako kinafanya vitu vya AIBU manunuzi ya wabunge ya nini??kuharibu uchaguzi kuiba kura na kutumia polisi na usalama wa taifa why??mara hawa covid 19 soon tutapata mrejesho kuwa mliwarubuni shame on you.
 
Leo hao wamama mnawaita wasaliti!!!
Mibaba mizima mlihamasishana humu kua mtaandamana kupinga kilichotokea kwenye uchaguzi mbona hatukuwaona barabarani? Mlijificha kwenye sketi za mama zenu, leo wanawake wamewaonesha misimamo yao mnachongoa videvu vyenu kuwatukana (Shame on You),

Who runs the World? Girls Girls Girls.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…