Waliogundua hesabu ngumu walikuwa wanatafuta nini na walizigunduaje?

Waliogundua hesabu ngumu walikuwa wanatafuta nini na walizigunduaje?

Mzee baba, kwa mtu aliyesoma PCM, Mathatics ndo somo rahisi na hata matokeo yanaonyesha hivyo kwa ufaulu mkubwa somo la Mathatics kuliko somo la Physics.

Lakini naelewa kama kwako wewe Mathatics ndo' ngumu maana vichwa havifanani
Sehemu kubwa ya physics n basic za calculus
Yani kama maths mweupe physics ndio hautuboi

Pili, physics watanzania wengi msingi wao mbovu, na walimu wengi wa physics Tanzania ni weupe sana

Bila maths physics haiendi, ila maths anasimama yeye kama yeye

Calculus
Differential equations
Probability
Algebra (1&2)
Coordinate geometry (1&2)
Complex numbers

Inabidi uwe mtu kweli kweli
 
[(128*3) +(125*2) + x ]/6 = 126
Tafuta thamani ya x
Asante sana mkuu. Nyongeza kidogo.
=====
Kwa mtiririko ili aelewe mlinganyo uandikwe hivi
{(Sm 128 × wanafunzi 3) + (sm 125 × wanafunzi 2) + (sm a × mwanafunzi 1)} ÷ idadi ya wanafunzi wote 6 = wastani wa urefu wa wanafunzi wote 6 ambao ni sm 126.

Kwa hiyo akokotoe thamani sm a, na hilo ndilo litakuwa jibu la swali hilo.
 
Kuna wengine hizi hesabu ni hobby, yaani wao kisolve wanatiririka tu.
Shock ya kwanza kwenye hesabu, nipale nilipokutana na baadhi ya wanafunzi kutoka chuo fulani wanasema mwalimu wao anasolve hesabu za calculus kwa kichwa. Yaani hizo za mikia anakubandikia jibu tu!!! Hawakuacha kutaja jina la mwalimu Sembuche kila tulipokuwa tunaongelea habari za hesabu.
 
kuna mjinga nimemuona ktk hii tnread anajarbu kupotosha na kuubeza ukwel juu ya mahesabu, na historia za mahesabu.

haya yote chanzo chake ni afrika ya kale, napoingelea afrika namaanisha ile black race tu, iliyoish baran afrika ktk falme za misri, kushi,sudan nk.

unapoongelea civilization za afrika, hutakiwi kubase kwenye Egyptian ancients civilization only, but unatakiwa kujua, karbia bara lote la afrika lilikuwa limestaarabika.

ktk shughuri za ujenzi, utabibu, usafiri na uchunguzi wa anga, haya yote yalishaluwepo na yalifanyika kwaahesabu ambayo kwa dunia ya leo hakuna awezae kufanya na hatotokea wakufanya nje ya race ya black,maana yana secret codes za kufunguliwa kwa mtu halisi tu, ndiomaana mzung kajisumbua kujua sili za pyramid lkn kashindwa, sabbu hausiki ktk ujenzi, na code znamuhusu mtu mweusi tu, ambaye nae wala hajishughulish kuujua ukwel zaid ya uwaabudu watu weupe na kusifia upuuz wao, uku akiubeza uafrika.

baazi ya hesabu za uhandisi wa pyramid ndzo hutumika ktk ujenz wa majengo ya kileo,,

kwa wale wanaouliza faida za hesabu, wajue kuwa hata iyo simu wanayotumia kutype upumbavu wao humu, kuna mahesabu yamefanyika mpka ujumbe umeandikwa na kuwa seen in public, kitendo cha kuicomand simu yako iingie ktk app ya JF ni hesabu, kitendo cha kuanza kutype herufi ktk simu yako n hesabu, simu haitambui kuwa kuna herufi J, au M, zaid zaid inatambua mathematical laws calculated to provide right information controlled by OS(operative system) in numbers upto words and vice versa,

mfano, unapotaka kuandika jina lako ktk simu ya kitochi, yaan batan yenye 0, 1,2,3-9, kama ilivyooneshwa ktk batan, ukataka kuandika mfano yohana, na ktk batan zako kuna namba 0- 9 tuu, je utaweza vipi kuandika maneno yenye alphabet zaid ya 26? au simu inawezaje kutambua na kutofautisha herufi zilizo ktk batani moja?, sas jibu unalipata ni kuwa, unapoandika yohana= 9(4)+6(3)+4(2)+2(1)+6(2)+2(1) ama
9*4+6*3+4*2+2*1+6*2+2*1
yaani [emoji116]
2- abc..a=1, b=2,c=3
3-def....d= 1,e=2, f=3
4-ghi....
5-jkl.....
6-mno....
7-pqrs...p=1,q=2, r=3, s=4
8-tuv....
9-wxyz....

sas unapoandika jina yohana ktk simu yako, juwa kuwa electrical numbers will be calculated to get your results, ndio kama hivyo, yohana, = Y(9×3)+O(6×3)+H(4×2)+A(2×1)+N(6×2)+A(2×1)
= 27+18+8+2+12+2
jibu = 69(name in numbers)
yaani jibu hilo unakuwa umelipata chini ya sekunde pale ulipo type yohana ktk kisimu chako, sas ndio uone mlolongo wa vijihesabu ili kupata neno/sentesi,

wabongo uvivu wa kufikili ndyo unapelekea mambo kama haya kuona hayana maana.

someni elimu haina mwisho
Fact mkuu huyo jinga aliakua ananipinga Toka kule mwanzo nimejaribu kumwelewesha ila still hapo juu kaendelea kua mbishi na ujuaji Tena ule ujuaji wa kijinga Sana hajui wamisri wa kale walisafiri mpaka Amerika na kuwapa ujuzi wa Aztec, Maya,na baadhi ya makabila ya wahindi wekundu na ushahidi upo kina Columbas Christopher wazungu na majahazi Yao wakifika kule juzi juzi hapo 1400's wakakuta ustaarabu wakasema wamegundua Amerika 😂😂😂
Wakati wenzao walifika miaka ya 225 BC huko na kuwafundisha hisabati,Tiba,uhandisi,elimu ya Nyota,dini na Kila kitu jamii za kule,
Hao Ndio Wamisri na taarifa zao tunazo ila tukijaribu kuwafungua akili wajinga wa kizazi hiki wanakaza ubongo na kuona Kama hadithi za alfu lela ulela Kwa umbumbumbu wao!

Without Accient Black Egyptian,Kush,Dogon
No mathematics!
 
Dah kweli nilikua bingwa wa kukariri, nilikua sikosi swali la matrix lakini ajabu mpaka leo sijui applications zake
Hizo matrix zinatumika kutafuta ninamna gani nguzo mfano za umeme uzisimike na kuzishikiria kwa nyaya ama tatu au nne na za namna gani. Dot na cross products zinatumika pia...ni mambo ya statics hayo. Ipo mifano mingine ya matumizi ya matrix. Wajuzi watakuja kutoa darasa.
 
Hesabu mgumu ni kama yalivyo maisha magumu ila kwa wengine ni rahisi sana.
Ugumu wa Hesabu uimalisha kinga ya mwili na uongeza kujiamini na kujali wengine unakuwa fair, honest, humble na critical thinker.
Maisha ni sayansi ya hesabu.
 
Mihesabu kama ya Trigonometric ratios (Tan, Cos na Sin), Calculus n.k. na mihesabu migumumigumu ya chuo kikuu iligunduliwaje?

View attachment 1963923

Yani mtu unasolve page nne ndio unapata jibu jamani!!! Sasa walifikiajefikiaje muafaka kwamba ukifanya hivi hivi ukaja hivi na hivi mpaka mwisho ndio mjibu huo umetiki?

View attachment 1963924

Kwakweli hesabu ni jambo la kushangaza sana. Hebu tupeni historia ya kugunduliwa hesabu mpaka leo. Na je, hakuna hesabu mpya zilizogunduliwa miaka ya karibuni?
Hesabu is a language of GOD..

Tafuta ktabu iko.. ukimisoma utaona JINSI gan MUNGU alivyoficha siri Za uumbaj wa dunia kwenye Mathematics

Na kuprove ilo mtu yoyote akitaka kufanya uumbaj wa ktu kpya dunian lazma ntumie hesabu,

Mfano

Utengenezaj wa rocket n full of mathematics, Magar, mali etc

Fuatilia michoro ya davinch kuna michoro inayo eleza JINSI mathematics ilivyotumika kuumba mwanadam

MATHEMATICS LANGUAGE OF GOD
 
Kuna ile kitu inaitwa Descrete mathematics au morden algebra acha kabisaa ile kitu inatesa kama bawasiri. Kuna mnyama Laplace transforms nyie acheni hili somo liwe la watu wachache
Discrete mathematics mbona sexy sana tu
1.logic
2.game theory
3.set
4.relation na function
5.number theory
6.combinatorics

Zote hixi zinataka utulize akili tu unatusua vizuri tu 💕
 
Mihesabu kama ya Trigonometric ratios (Tan, Cos na Sin), Calculus n.k. na mihesabu migumumigumu ya chuo kikuu iligunduliwaje?

View attachment 1963923

Yani mtu unasolve page nne ndio unapata jibu jamani!!! Sasa walifikiajefikiaje muafaka kwamba ukifanya hivi hivi ukaja hivi na hivi mpaka mwisho ndio mjibu huo umetiki?

View attachment 1963924

Kwakweli hesabu ni jambo la kushangaza sana. Hebu tupeni historia ya kugunduliwa hesabu mpaka leo. Na je, hakuna hesabu mpya zilizogunduliwa miaka ya karibuni?
Halafu sijui walikuwa wanamkomoa nani
 
Ugunduzi huja pale wanapohitaji kufanya jambo fulani, mfano ni jinsi gani wanaweza kuunda chombo chenye mwendokasi wa mwanga? Katika harakati ndiyo wanakuja na vitu kama general theory of relativity, special theory of relativity,.. n.k
 
Back
Top Bottom