kuna mjinga nimemuona ktk hii tnread anajarbu kupotosha na kuubeza ukwel juu ya mahesabu, na historia za mahesabu.
haya yote chanzo chake ni afrika ya kale, napoingelea afrika namaanisha ile black race tu, iliyoish baran afrika ktk falme za misri, kushi,sudan nk.
unapoongelea civilization za afrika, hutakiwi kubase kwenye Egyptian ancients civilization only, but unatakiwa kujua, karbia bara lote la afrika lilikuwa limestaarabika.
ktk shughuri za ujenzi, utabibu, usafiri na uchunguzi wa anga, haya yote yalishaluwepo na yalifanyika kwaahesabu ambayo kwa dunia ya leo hakuna awezae kufanya na hatotokea wakufanya nje ya race ya black,maana yana secret codes za kufunguliwa kwa mtu halisi tu, ndiomaana mzung kajisumbua kujua sili za pyramid lkn kashindwa, sabbu hausiki ktk ujenzi, na code znamuhusu mtu mweusi tu, ambaye nae wala hajishughulish kuujua ukwel zaid ya uwaabudu watu weupe na kusifia upuuz wao, uku akiubeza uafrika.
baazi ya hesabu za uhandisi wa pyramid ndzo hutumika ktk ujenz wa majengo ya kileo,,
kwa wale wanaouliza faida za hesabu, wajue kuwa hata iyo simu wanayotumia kutype upumbavu wao humu, kuna mahesabu yamefanyika mpka ujumbe umeandikwa na kuwa seen in public, kitendo cha kuicomand simu yako iingie ktk app ya JF ni hesabu, kitendo cha kuanza kutype herufi ktk simu yako n hesabu, simu haitambui kuwa kuna herufi J, au M, zaid zaid inatambua mathematical laws calculated to provide right information controlled by OS(operative system) in numbers upto words and vice versa,
mfano, unapotaka kuandika jina lako ktk simu ya kitochi, yaan batan yenye 0, 1,2,3-9, kama ilivyooneshwa ktk batan, ukataka kuandika mfano yohana, na ktk batan zako kuna namba 0- 9 tuu, je utaweza vipi kuandika maneno yenye alphabet zaid ya 26? au simu inawezaje kutambua na kutofautisha herufi zilizo ktk batani moja?, sas jibu unalipata ni kuwa, unapoandika yohana= 9(4)+6(3)+4(2)+2(1)+6(2)+2(1) ama
9*4+6*3+4*2+2*1+6*2+2*1
yaani [emoji116]
2- abc..a=1, b=2,c=3
3-def....d= 1,e=2, f=3
4-ghi....
5-jkl.....
6-mno....
7-pqrs...p=1,q=2, r=3, s=4
8-tuv....
9-wxyz....
sas unapoandika jina yohana ktk simu yako, juwa kuwa electrical numbers will be calculated to get your results, ndio kama hivyo, yohana, = Y(9×3)+O(6×3)+H(4×2)+A(2×1)+N(6×2)+A(2×1)
= 27+18+8+2+12+2
jibu = 69(name in numbers)
yaani jibu hilo unakuwa umelipata chini ya sekunde pale ulipo type yohana ktk kisimu chako, sas ndio uone mlolongo wa vijihesabu ili kupata neno/sentesi,
wabongo uvivu wa kufikili ndyo unapelekea mambo kama haya kuona hayana maana.
someni elimu haina mwisho