min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Wazinguaji tu , hao ni miyeyusho tu .Umepiga kwenye mshono mkuu. nashangaa sijui hawaoni hao wazee wao wanavyo vuruga nchi yetu wapo kimya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazinguaji tu , hao ni miyeyusho tu .Umepiga kwenye mshono mkuu. nashangaa sijui hawaoni hao wazee wao wanavyo vuruga nchi yetu wapo kimya.
Uzuri mmoja mimi mwenyewe mzee .Umepiga kwenye mshono mkuu. nashangaa sijui hawaoni hao wazee wao wanavyo vuruga nchi yetu wapo kimya.
Wacha wanyooshwe tu na wazee wao.Wazinguaji tu , hao ni miyeyusho tu .
Gen zii tafuteni pesa furahia maisha , zilipendwa zetu zisiwayumbishe.Wacha wanyooshwe tu na wazee wao.
Sasa analeta porojo za wazee kumbe wazee wenyewe mpo mnachora tu.Uzuri mmoja mimi mwenyewe mzee .
Ndio kilichobaki mkuu! hakuna namna.Gen zii tafuteni pesa furahia maisha , zilipendwa zetu zisiwayumbishe.
Chuo kijitafakari kwa mifumo hafifu @ Jalalani UniversityKizimbani kufanyaje tena? Chuo ndio kinapaswa kujitafakari na mifumo yao weak pumbafu kabisa.
Team jalalani university mbona wapo kimya wanaona aibu kukibagaza chuo chao kwa mifumo hafifuHao ni chambo tu, ila mifumo ya vyuo inaingiliwa sana.
Vijana hawalipi ada, wanajiandikia matokeo wanayoyataka..
Mkuu nakuona jinsi uoivyopeta. Hahaha!KIUT iliwahi kudukuliwa mfumo WA malipo nakumbuka sikulipa tuition fees hiyo semister
Mkuu nakuona jinsi uoivyopeta. Hahaha!
Hizo mambo zinafanyika vyuo vyote tu, hamna kilicho salama.Team jalalani university mbona wapo kimya wanaona aibu kukibagaza chuo chao kwa mifumo hafifu
Hivi haya mastory yenu ya kipuuzi kwa nini msiwe mnayafanyia huko inbox kuliko kuja kuharibu nyuzi za wenzenu huku?Weeee na mdigo wangu nimwachie nani😅😅..??