Hongera mkuu kwa hatua hii. Daaah najiwazie mie wa buku 7 daily ntaweza kujenga kweli kama msingi tu unakula tofari buku 2!
Ahsante sana mkuu inaonekana vyema kabisa iko poa sana
Mkuu ramani nimeipenda ntapambana mdogo mdogo kama ww ntaichukua kama ilivyo,naanza na msingi then najipanga kumaliza afu kupaua mpaka dec 2022 nifikie hatua fualani,ahsante sanaTofali zinaweza kuongezeka au kupungua kulingana na eneo. Ikiwa kiwanja chako kipo kwenye tambarare, msingi hauli tofali nyingi.
Usikate tamaa wala usife moyo mkuu.
Karibu kiongozi.
Tofali zinaweza kuongezeka au kupungua kulingana na eneo. Ikiwa kiwanja chako kipo kwenye tambarare, msingi hauli tofali nyingi.
Usikate tamaa wala usife moyo mkuu.
Karibu kiongozi.
Msingi uliweka kozi ngapi?Tofali zinaweza kuongezeka au kupungua kulingana na eneo. Ikiwa kiwanja chako kipo kwenye tambarare, msingi hauli tofali nyingi.
Usikate tamaa wala usife moyo mkuu.
Karibu kiongozi
Mkuu ramani nimeipenda ntapambana mdogo mdogo kama ww ntaichukua kama ilivyo,naanza na msingi then najipanga kumaliza afu kupaua mpaka dec 2022 nifikie hatua fualani,ahsante sana
2000, kiwanja kilikua na mteremko upande mmoja. Hii ilinigharim kifusi cha kujazia. Kilitafuna 2.2 MMsingi uli
Msingi uliweka kozi ngapi?
Hakika mkuu, panapo uzima mwakani.Tofali zinaweza kuongezeka au kupungua kulingana na eneo. Ikiwa kiwanja chako kipo kwenye tambarare, msingi hauli tofali nyingi.
Usikate tamaa wala usife moyo mkuu.
Karibu kiongozi.
Asante Sana.Karibu. Ntakachokushauri uongeze kidogo ukubwa wa vyumba vile viwili.
Pia kwenye jiko nilifanya marekebisho.
Store niliisogeza isiguse ukuta ili kuwe na mwanga jikoni.
Pia niliweka mlango wa mbao wenye vile vioo vinapitisha mwanga hafifu ili sehem ya maliwato na kuelekea vyumbani pasionekane mtu anapokua sebuleni.
Blue ndio eneo la jiko
Nyekundu eneo la store
Mstaro wa kijani badala ya kuwa wazi, nikaweka mlango wenye kupitisha mwanga
View attachment 2078110
View attachment 2078111
Unamaanisha chumba Cha chini wazungu wanaita basement. Ila kinahitaji pesa ndefu ya zege kama la ghorofa?2000, kiwanja kilikua na mteremko upande mmoja. Hii ilinigharim kifusi cha kujazia. Kilitafuna 2.2 M
Ila kama ningekua makini, ningeweka parking au vyumba badala ya kujaza udongo.
Namaanisha nyumba ingekua na muonekano wa ghorofa upande mmoja lakini upande wa pili nyumba ya kawaida.
Hii mpaka kukamilika imekula mlion ngapi?Hapana kiongozi. Hizo ni za kuinulia tu. Za msingi ziliondoka kama 2000.
View attachment 2077217
View attachment 2077219
View attachment 2077220
View attachment 2077223
View attachment 2077225
View attachment 2077226
View attachment 2077227
View attachment 2077228
View attachment 2077229
View attachment 2077230
Kwa uchache, safari ilikua hivyo mkuu.
Unamaanisha chumba Cha chini wazungu wanaita basement. Ila kinahitaji pesa ndefu ya zege kama la ghorofa?
Hii mpaka kukamilika imekula mlion ngapi?
Duh hii hatari mzeya milkion mia hiyo inaondoka....mhm kweli ujenzi sio wa wazinziMsingi uliondoka na takriban 10M. Boma likapiga 10M ( tofali nilijengea inch 6) chini kabisa baada ya mchanga niliweka nondo na kizege uchwara, zikalala tofali baada ya level, ukafungwa mkanda wa nondo nne, linter nondo nne na mistari mitatu ya juu.
Shughuli ilianza kwenye kuezeka. Bati Alaf 6.7M (running meter 388, kofia na misumari yake) mbao zote trwated 5.7M
Fundi hapo alikamata 3M
Frame za milango 1.8 M.
Mkuu kwanza inanikumbusha machungu tu hapo hatujaongelea plumbing na yenyewe inatafuna2M hapo ni zile bomba za awali zinazochimbiwa hatujaongelea shower, masink ya choo wala ya kunawia mikono. Hata zile koki weka pembeni.
Tuje umeme, awamu ya kwanza haikuwa na mambo mengi 1.9M. Hapo zile socket nikanunua Zanzibar Legrand ilikua laki sita. Socket na switches.
Ilishakamilika milango na kila kitu ni takriban 90M.
Duh hii hatari mzeya milkion mia hiyo inaondoka....mhm kweli ujenzi sio wa wazinzi
Mafundi bwana wajinga sana yaani unawasaidia wao wanakuchukulia wee boya.Ingeweza kupungua kuna vitu nikifanya kwa uoga na kuoigwa kutokana na muda wa usimamizi. Ilikua nikipata muda nataka nifanye mambo mengi ndani ya wakati mfupi.
Hapo fundi akikutajia bei ilimradi umeridhika na kiwango haugalalizi.
Na mbaya zaidi ilikua nawanunulia hadi chakula vibarua na mafundi wote, sasa hapo ndio jamaa wakajua hapa pesa ipo. Wakawa wananipiga badala ya kusaidiana.
Reasonable lakini, Hongera sana MkuuMsingi uliondoka na takriban 10M. Boma likapiga 10M ( tofali nilijengea inch 6) chini kabisa baada ya mchanga niliweka nondo na kizege uchwara, zikalala tofali baada ya level, ukafungwa mkanda wa nondo nne, linter nondo nne na mistari mitatu ya juu.
Shughuli ilianza kwenye kuezeka. Bati Alaf 6.7M (running meter 388, kofia na misumari yake) mbao zote trwated 5.7M
Fundi hapo alikamata 3M
Frame za milango 1.8 M.
Mkuu kwanza inanikumbusha machungu tu hapo hatujaongelea plumbing na yenyewe inatafuna2M hapo ni zile bomba za awali zinazochimbiwa hatujaongelea shower, masink ya choo wala ya kunawia mikono. Hata zile koki weka pembeni.
Tuje umeme, awamu ya kwanza haikuwa na mambo mengi 1.9M. Hapo zile socket nikanunua Zanzibar Legrand ilikua laki sita. Socket na switches.
Ilishakamilika milango na kila kitu ni takriban 90M.
Kwa kukadiria mpaka hatua hiyo inaweza kuwa imekula 60/70 mill inaweza kuongezeka au kupungua ila inategemea kwanza material alizotumia na eneo alikofanyia ujenzi.Hii mpaka kukamilika imekula mlion ngapi?
KaKa hongera sana. Nisaidie picha za milango (top) yako ya vioo nikopiAhsante mkuu. Lakini kamwe usitishwe na maneno ya watu wala usitake kwenda kwa mwendo wa watu wengine.
Furahia kila hatua unayopiga kwenye maisha, hata ikiwa wengine wanaona hausogei au mwendo wako wa taratibu, hakikisha haukatishwi tamaa.
Nilichojifunza.
1. Fundi anakuvuta kadri awezavyo uingie king, ukishaingia lazima kazi imalizike. Namaanisha atakupa makadirio madogo na kuna baadhi ya vitu hatakwambia awali ili upate moyo wa kuanza. Hapo ndio utakapoanza kupewa bill ndogo ndogo na hauwezi kuishia njiani.
Msisitizo, pitia mara mbili mbili na uliza maswali ya kutosha ukishapewa makadirio. Pia tafuta wengine wawili ili ulinganishe gharama na makadirio.
2. Sio lazima fundi unaeanza nae umalize nae. Wengine akishaona amekamata mradi anajua ndio pa kukupiga na anafikiri unapesa za mchezo. Mie msingi alijenga mwingine. Boma akapandisha mwingine. Finishing wengine, kuezeka wengine. Kuweka dari wengine kabisa. Hata hawahusiani.
3. Simamia manunuzi ya vifaa mwenyewe. Fundi akikupeleka sehem kununua vitu usijekufikiria uwe makini, kuna mmoja alikua anaenda kuongea na jamaa kabla sijaenda ili nipigwe bei kisha cha juu achukue yeye. Uzuri nilikua na mahusiano mazuri na mwenye duka, akanishtua, nilimfukuza kabla hajamaliza msingi na tulimalizia na kibarua wake.
Huyo alinipiga kwenye tofali.
Mwingine akanipiga kwenye mbao. Huyo nae nikafukuzilia mbali. Kwanza alinipa running meter utafikiri naenda kuezeka shule, mie nikipiga hesabu, napata 380, yeye ananiambia 620 kibarua kikaota nyasi.
Hauwezi kukwepa kabisa kupigwa ila unaweza kupunguza maumivu.
Karibu. Ntakachokushauri uongeze kidogo ukubwa wa vyumba vile viwili.
Pia kwenye jiko nilifanya marekebisho.
Store niliisogeza isiguse ukuta ili kuwe na mwanga jikoni.
Pia niliweka mlango wa mbao wenye vile vioo vinapitisha mwanga hafifu ili sehem ya maliwato na kuelekea vyumbani pasionekane mtu anapokua sebuleni.
Blue ndio eneo la jiko
Nyekundu eneo la store
Mstaro wa kijani badala ya kuwa wazi, nikaweka mlango wenye kupitisha mwanga
View attachment 2078110
View attachment 2078111
Pia hapa kwenye openning za sitting room inabidi uweke french doors itasaidia pia kwenye suala zima la kiyoyozi.Karibu. Ntakachokushauri uongeze kidogo ukubwa wa vyumba vile viwili.
Pia kwenye jiko nilifanya marekebisho.
Store niliisogeza isiguse ukuta ili kuwe na mwanga jikoni.
Pia niliweka mlango wa mbao wenye vile vioo vinapitisha mwanga hafifu ili sehem ya maliwato na kuelekea vyumbani pasionekane mtu anapokua sebuleni.
Blue ndio eneo la jiko
Nyekundu eneo la store
Mstaro wa kijani badala ya kuwa wazi, nikaweka mlango wenye kupitisha mwanga
View attachment 2078110
View attachment 2078111
Kwa nini mkuuMungu tutangulie mwaka hata ta tuweke michanga na mawe. Arusha ujenz wake Ni garama Sana kuliko popote pale