RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Mbona kuna mahali umesema 10m? Nilitaka nihoji hio 10m hapo nikahisi labda ardhi haiko levelMm nlianza msingi mpka hapo bila kusimama so siwez kukupa actual cost zenye uhalisia sana ila nadhani ni kama 6m na point hivi