RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Kwani nyumba zenu zunalingana ukubwa?Ni kweli kabisa, mimi pia msingi na rinta pamoja na kifusi tu ilishakatika zaidi ya m7, sijui jamaa ametumia mbinu gani kufika hapo kwa m10? daahh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani nyumba zenu zunalingana ukubwa?Ni kweli kabisa, mimi pia msingi na rinta pamoja na kifusi tu ilishakatika zaidi ya m7, sijui jamaa ametumia mbinu gani kufika hapo kwa m10? daahh
Hongera mkuu kwa hatua nzuri.Mie nipo nahangaika na Building Permit.
Najenga Kighorofa Simple..
Mungu akinijaalia uhai najipa 4yrs starting with 2022.
Sure ujenzi hutakiwi kusubiri uwe na hela yote hautakaa ujenge maana matatizo mengi na hela haikai, vifaa vya ujenzi vinapanda kila siku.Wewe bado unsuliza bei tu?! Hutajenga. Ni hivi Tafuta floor plan Google. Changa ikifika 3m nenda kaanze na msingi then ukipata 300,000/4/5 unapandisha Boma mdogo mdogo. Trust utamaliza bila kujua umewezaje.
Hivi inamadhara boma kukaa mda bila lenta??Komaa mkuu utatoboa tu mdgo mdgo! Nkushauri anza kununua tofali zote zinazohtajika then jichange muite fundi then akikisha upige mpka lenta, usiache boma muda mrefu bila lenta!
Duuh,msingi tu milioni 7??Ni kweli kabisa, mimi pia msingi na rinta pamoja na kifusi tu ilishakatika zaidi ya m7, sijui jamaa ametumia mbinu gani kufika hapo kwa m10? daahh
Mkuu nasikitika kukwambia kwamba kwa wakati tuliopo bado jibu la swali lako halitakuwa na afya tena kutokana na vitu sokoni havieleweki bei atakayokupa hapa hata ukisema ni kwa makadirio tu ukifika dukani unakuta imeji-double.Hongera sana kamanda.
Ulinunua bati gani ? Bati Bomba, Simba dumu, sunshare au ipi ? Na kwa piece moja ulifanyiwa bei gani ?
Mpaka levo hii imetumika bei gani boss?Boss hapo navuta nguvu niweke wiring ndo nifunge bod na vigae also aluminium za madirisha.
Unaweza ona kazi bado boss wangu View attachment 2041323
naam, amsema ni 10 kwa 12, na yangu ni hivyo piaKwani nyumba zenu zunalingana ukubwa?
NakaziaKuzuia deflection ( ukuta kupinda kuingia ndani au kutoka nje) kutokana na subsidence ya ardhi unaweza usione kwa macho lkn utokea! Hi hali usababisha nyumba kuwa nyufa.
Umetisha [emoji1534]Kujenga ni technique..nilipigwa nyumba ya kwanza lakini sasa nimejifunza, kifupi jiweke kidalali sio kiboss..
1. Msingi nawauzia vibarua, tunakubaliana, alafu fundi anasimamia
2. Tofali namuuzia fundi sh 300 japo za juu wengine wanadai nyongeza kidogo
3. Kokoto, nanunua kifusi cha kokoto alafu nachambua..hapo napata kifusi na kokoto
4. Tofali nanunua 950
5. Nondo naenda scrap yard napima zilizopo alafu zile pande ndefu nanunua..
6. Grill nachukua nondo hapo hapo scrap yard nanunua bomba za pembeni tu
7. Mbao za kuezekea nachukua buguruni, ukitaka kuwaweza madalali..nenda na mwanao tu alafu mfanye yy ndio boss, waite pemben waambie nimemleta boss, watakupa bei halisi
8.Bati mara nyingi hazina shortcut
9. Tiles kama unahitaji box chache..mafundi wanazo tena konk sana
10. Wire, mafundi wanazo nzuri tu sema earth rod kanunue copper inakuwa na bei kidogo kwenye 45k kwenda juu..chini ya hapo kafukue chuma hicho
11.Nenda mwenyewe dukani
NB: Nyumba inahitaji usimamizi wako, sio ndugu au rafiki, utalaumu watu bure
Kuwa mkali sana kwenye mali zako, simamia kila eneo..
Mmmh we jamaa kuna namna hesabu zako haziko sawa. 10M boma na shimo? Haitoshi.Ndio nmejenga na shimo la choo tena kwa tofali zile za round nmenunua moja 1200 na ni included kwenye hyo hyo 10m.
Mmmh we jamaa kuna namna hesabu zako haziko sawa. 10M boma na shimo? Haitoshi.
Wanasema baadae inaanza kutanuka kuelekea hivyo inapelekea nyufa. Wataalamu wanashauri isikae zaidi ya miezi mitatuKwanini mtaalamu?
akijibu nitagNi vitu gani hivyo kwa faida ya wengi edward93
ni sawa kabisa kutokana na ukubwa wa nyumba yakeMmmh we jamaa kuna namna hesabu zako haziko sawa. 10M boma na shimo? Haitoshi.
Mbona picha yenyewe umepiga kama unakimbizwa?Nimeanza mwezi wa nane. Nimemaliza boma la vyumba vitatu viwili master jiko, sehemu ya kula stoo na choo cha public nimeumia 14MView attachment 2038965
Sent from my vivo 1938 using JamiiForums mobile app
akijibu nitag
Dah, hali ilivyo tete namna hii itawezekana kweli.?Wanasema baadae inaanza kutanuka kuelekea hivyo inapelekea nyufa. Wataalamu wanashauri isikae zaidi ya miezi mitatu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app