Waliojenga mwaka 2021 tunaomba uzoefu wenu

Wewe bado unsuliza bei tu?! Hutajenga. Ni hivi Tafuta floor plan Google. Changa ikifika 3m nenda kaanze na msingi then ukipata 300,000/4/5 unapandisha Boma mdogo mdogo. Trust utamaliza bila kujua umewezaje.
Sure ujenzi hutakiwi kusubiri uwe na hela yote hautakaa ujenge maana matatizo mengi na hela haikai, vifaa vya ujenzi vinapanda kila siku.
 
Komaa mkuu utatoboa tu mdgo mdgo! Nkushauri anza kununua tofali zote zinazohtajika then jichange muite fundi then akikisha upige mpka lenta, usiache boma muda mrefu bila lenta!
Hivi inamadhara boma kukaa mda bila lenta??
 
Hongera sana kamanda.
Ulinunua bati gani ? Bati Bomba, Simba dumu, sunshare au ipi ? Na kwa piece moja ulifanyiwa bei gani ?
Mkuu nasikitika kukwambia kwamba kwa wakati tuliopo bado jibu la swali lako halitakuwa na afya tena kutokana na vitu sokoni havieleweki bei atakayokupa hapa hata ukisema ni kwa makadirio tu ukifika dukani unakuta imeji-double.

Ni mtihani sana!
 
Kuzuia deflection ( ukuta kupinda kuingia ndani au kutoka nje) kutokana na subsidence ya ardhi unaweza usione kwa macho lkn utokea! Hi hali usababisha nyumba kuwa nyufa.
Nakazia
 
Umetisha [emoji1534]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…