Waliojenga mwaka 2021 tunaomba uzoefu wenu

Jengeni...tunasubiri mkufe..tuungane na wake zenu ..mtajua hamjui
 
Mlango upo direct koridoni
Nimemaanisha kuwe na kama step 1 ya kuingia kama kajikorido ndo malango.
Sio mlango ukifungua inabidi kujihakikishia hakuna anayepita..
Lakini kama umeona upo sawa hamna shida
noted asante kwa ushauri mkuu
 
Nyumba sio kitu unaweza jenga kila mwaka so mambo ya kuwa cheaper sijui nondo ambazo zipo scraping yard utakuja kulia pale nyumba itakapoanza kupasuka ni bora kuwa mvumilivu na kutumia bidhaa zenye ubora unaotakiwa … kumbuka labda hiyo ndio nyumba pekee utayoweza jenga Maisha yako yote
 
Kwamba nondo zinazokuwa pale zinakuwa sio bora?...
Alafu nyumba ukisubiri upate pesa ndio ujenge, hutakaa ujenge maisha yako yote..angalia bei ya vifaa vya ujenzi leo, linganisha na miezi sita iliyopita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…