Waliojipatia Milioni 280 kwa njia ya Mtandao watozwa Faini ya Laki Tano

Waliojipatia Milioni 280 kwa njia ya Mtandao watozwa Faini ya Laki Tano

Nchi za Afrika haziendelei kwasababu
1. Kuwepo kwa katiba mbaya ambayo inawaruhusu viongozi wawe na sauti kuliko katiba na sheria
2. Sheria mbovu
Hata wewe ungekuwa raisi usingeweza kusaidia bila kubadilisha katiba na sheria sbb wanadamu muda wetu wa kuishi ni mfupi sana. Utaondoka mambo yale yale
N.B
  • Bunge linatakiwa lijitegemee
  • Polisi wanatakiwa wawe na elimu kuanzia form diploma mpk chuo na polisi lijitegemee hakuna kufungamana na siasa
  • JWTZ linatakiwa liwe na watu waliomaliza diploma na degree
  • NEC inatakiwa ijitegemee
  • Katiba irekebishwe ambayo itamuondolea kiongozi kutokuwa na kinga ya kushitakiwa. Hapa raisi akifanya ufisadi au kusaini mkataba mbovu ashitakiwe na kutaifishwa mali zake. Hii kwa viongozi hadi wa chini.
  • Sheria zipitiwe upya mojawapo ya sheria ni kwamba mtu akifanya ufisadi anataifishwa, anafukuzwa kazi na kulipa faini km fidia
  • Kuwepo na vyuo vya ufundi
  • Kuwepo na vyuo vya mpira
Uko sahihi mkuu katiba ndo mwongozo wa nchi ikiundwa vizuri na kufuatwa
 
Tuibe hela nyingi hizi za chapati wangefungwa miaka kama 30 hivi ola hayo mamilioni wakifungwa miaka 30 kama wameyachimbia si yatapotea na fursa itakua imezikwa. Wasifungwe wanakitu hawa
 
Nadhani hapo adhabu sio hiyo laki 5 wala miezi 6, adhabu kamili iko kwenye makubaliano na DPP.

Kinachoonekana ni kwamba walishakubaliana na DPP kama ni kulipa ama kurudisha pesa.

Hapo ilitakiwa yasomwe makubaliano ya hao jamaa na DPP ndio tuelewe adhabu kamili ni ipi.

Maana ukishakubaliana na DPP kinachofuata ni kupunguziwa adhabu tu.
Naam hao wako 25 na kila mmoja analipa 6m kwa Dpp ndio anatoka

Na kesi zenyewe ni za kubumba tu jazina ushahidi kama huyo Ashrafu ni Fundi simu amechukuliwa akaunganishwa na hao Tafadhali nitumie
 
Jenerali ulimwengu ,amekuwa akikumbusha kwamba nchi hii ngumu Sana tue tunamwelewa
 
Watanzania ni wapumbavu, mtu hajasoma habari nzima na kujua kuwa wana makubaliano ya kuzilipa na DPP kitu ambacho kipo kisheria kabisa
 
Anachosema hakimu pale mbele ya mahakama ndicho kinachofanyika, hakuna kitakachofanyika pembeni kama maamuzi afu asikisema mbele ya mahakama. Hata hivyo sio mara ya kwanza Tz kuwa na upumbavu na namna hiyo
Hujatumia akili, maamuzi yaliyofikiwa na DPP ndo final, mahakamani yanaenda andikishwa tu
 
Huko kwa DPP ndiko kesi imeishia, kuna mawili either washtakiwa wamefinywa mali zote walizokua nazo au limepigwa pande la mgao afu huku raia tunazugwa...

Am just chilling here in Liverpool.. Hello Tanzanians 😎😎
Linapigwaje pande la mgao wakati hizo pesa zapaswa rudishwa zilipotolewa au zilipoleta hasara?
 
Back
Top Bottom