Waliokamatwa kwa tuhuma za kununua Makahaba Ubungo kumburuza mahakamani Mkuu wa Wilaya kwa kudhalilishwa! Wadai walifuatwa Guest!

Waliokamatwa kwa tuhuma za kununua Makahaba Ubungo kumburuza mahakamani Mkuu wa Wilaya kwa kudhalilishwa! Wadai walifuatwa Guest!

Kutofuata Sheria ni ugonjwa kwa watanzania wengi mpaka viongozi.

Unaanzishaje operation bila kufanya impact na legal analysis?

Makahaba hawana chapa, katiba inalinda faragha ya mtu, yeye na askari wake aligunduaje kuwa wale ndani ya gest house au lodge walikuwa makahaba na siyo wapenzi?

I wish I could be out of this career that am serving in. 🙏
Noma sana sipati picha unaamshwa umelala unaambiwa upande kwenye karandiga hahahahahaha
 
Hizi nafasi za mkuu wa wilaya na mkoa ziwe zinatangazwa watu wanafanyiwa usaili, tunaletewa watu wa hovyo sana, ipo haja ya kufanya global recruitment, tuaniriwa wahindi wakenya na wazungu kwenye hizi post wabongo tumwekuwa watu wa hovyo sana, kwahiyo makahaba wako sinza na riverside tu, wale kempisky je?
 
Bado ni kosa kumfata mtu guest au kwenye chumba hata ukimkuta na mwanamke atakuwa amefanya kosa gani? Naona wanakosea sana
Inategemea mfano upo na Mke wa Mtu, Mwanafunzi etc..

Ni kosa kuingilia faragha ya mtu/watu.
 
Wasalaam!
Baada ya Mkuu wa wilaya ya ubungo kuendesha zoezi la kukamata watu wanojiuza na wanao daiwa kununua makahaba wilayani humo!

Baadhi yao wamedai kufatwa nyumba za kulala wageni na kwenye vyumba vyao na kukamatwa wakituhumiwa kufanya biashara ya ukahaba uku wakidai kuwa wamesingiziwa na kudhalilishwa kwani walikuwa wamelala na wengine walikuwa na wapenzi wao wamepumzika!

Wameeleza kuwa wanajipanga wiki hii kufungua Mashitaka dhidi ya Mkuu wa wilaya binafsi na sio ofisi ya Mkuu wa wilaya kwani wao wanadai kuwa Mkuu wa wilaya ndio alikuwa ana washurutisha jeshi la polisi kuwadhalilisha na waandishi kuwapiga picha na wao hawakupewa nafasi ya kujieleza bali waliunganishwa na makahaba kwenye karandiga!

Wengine wamedai kuwa walikuwa wamelala ili kesho warudi kwa familia zao mikaoni wanashangaa kudhalilishwa na kufedheshwa na Bwana Yahaya aliyejitambulisha kama mkuu wa wilaya!

Wamesema wamesha waambia mawakili wao kumuandikia barua ya kumtaka mkuu wa wilaya kuwasafisha mbele ya jamii kama alivyo wadhalilisha na baada ya siku saba watafungua kesi ya madai dhidi ya Bwana Yahaya na baadhi ya polisi waliokuwa kwenye lile tukio!

N:B Mh Rais alishasema kama mkuu wa wilaya au mkoa akitumia madaraka vibaya yatakayomkuta yanamuhusu yeye sio serikali!
Kasheshe imeanza
 
Ila Kiukweli, Mimi hao Waliodhalilishwa mpaka Muda huu Sijawajua Bado...!

Embu Wajitokeze Basi Hadharani tuwatambue....hao Wanunuaji Wa Makahaba...

Vitu vingine bwana... Kila unavyojitetea ndo Unajichoresha Zaidi...!
Zile ni guest mjomba wengine yale ni maficho yao ya kuchakata mbususu, wengine hawataki kuonekana town hovyo wanajichimbia mafichoni huko.

Wewe unaenda kuwachomoa na makamera kibao.
Wengine wana vibunda hatari, utasanda.
 
Juzi kati nilimuambia jamaa yangu mmoja asijaribu kununua kahaba, atajikuta mikononi mwa polisi. Makahaba mengini ni feki, ni askari polisi wa kike wapo kazini kwenye doria kunasa wanaume wanaonunua makahaba. Hata hivyo makahaba yenye ukiyapata ni shughuli pevu kuyashughulikia ipasavyo, yanadai uongeze hela huku shughuli ya kuridhika haijafanyika, wamekaa kitapeli hawana mapenzi ya kweli
 
Back
Top Bottom