Waliokamatwa kwa tuhuma za kununua Makahaba Ubungo kumburuza mahakamani Mkuu wa Wilaya kwa kudhalilishwa! Wadai walifuatwa Guest!

Waliokamatwa kwa tuhuma za kununua Makahaba Ubungo kumburuza mahakamani Mkuu wa Wilaya kwa kudhalilishwa! Wadai walifuatwa Guest!

Wawe serous nipo pamoja nao
Hata madada.pia wanaweza mfungulia kesi na wakashinda na huenda wakalipwa fidia kubwa

Wakihitaji mwanasheria wa bure wanishirikishe tu nina connection kubwa sana tls pale
 
Sababu wengine ni Malaya Feki Matapeli Wezi anakulambisha ku.ma kwenye mbo.o alafu anadai Hela ukimpa anakulambisha tena alafu dakika 2 nyingi anakwambia Muda umeisha ongeza hela anadai tena usipompa anaanza kuvaa sasa huo ni Wizi na utapeli kabisa
Utapeli upo kila sehemu hata serikalini. Shida ni kwanini unavamia watu ndani ya vyumba?.
 
Wasalaam!
Baada ya Mkuu wa wilaya ya ubungo kuendesha zoezi la kukamata watu wanojiuza na wanao daiwa kununua makahaba wilayani humo!

Baadhi yao wamedai kufatwa nyumba za kulala wageni na kwenye vyumba vyao na kukamatwa wakituhumiwa kufanya biashara ya ukahaba uku wakidai kuwa wamesingiziwa na kudhalilishwa kwani walikuwa wamelala na wengine walikuwa na wapenzi wao wamepumzika!

Wameeleza kuwa wanajipanga wiki hii kufungua Mashitaka dhidi ya Mkuu wa wilaya binafsi na sio ofisi ya Mkuu wa wilaya kwani wao wanadai kuwa Mkuu wa wilaya ndio alikuwa ana washurutisha jeshi la polisi kuwadhalilisha na waandishi kuwapiga picha na wao hawakupewa nafasi ya kujieleza bali waliunganishwa na makahaba kwenye karandiga!

Wengine wamedai kuwa walikuwa wamelala ili kesho warudi kwa familia zao mikaoni wanashangaa kudhalilishwa na kufedheshwa na Bwana Yahaya aliyejitambulisha kama mkuu wa wilaya!

Wamesema wamesha waambia mawakili wao kumuandikia barua ya kumtaka mkuu wa wilaya kuwasafisha mbele ya jamii kama alivyo wadhalilisha na baada ya siku saba watafungua kesi ya madai dhidi ya Bwana Yahaya na baadhi ya polisi waliokuwa kwenye lile tukio!

N:B Mh Rais alishasema kama mkuu wa wilaya au mkoa akitumia madaraka vibaya yatakayomkuta yanamuhusu yeye sio serikali!
Nahisi mkuu alikuwa na lengo la kufumania akakuta hola, hivyo jumba bovu likawaangukia wasiohusika😀
 
Ninamshauri Mama Samia ampige chini huyu mkuu wa wilaya. Alichokifanya ni kinyume kabisa cha sheria. Halafu hakuna kiongozi aliyewahi kupambana na malaya akashinda. Huo muda wa kupambana na malaya angefanya mambo mengine ya maendeleo kwa wananchi wa Ubungo.
 
Pole Askari polisi.
Tunajua unatii amri tu siyo matakwa yako.
Kutofuata Sheria ni ugonjwa kwa watanzania wengi mpaka viongozi.

Unaanzishaje operation bila kufanya impact na legal analysis?

Makahaba hawana chapa, katiba inalinda faragha ya mtu, yeye na askari wake aligunduaje kuwa wale ndani ya gest house au lodge walikuwa makahaba na siyo wapenzi?

I wish I could be out of this career that am serving in. 🙏
 
Nilishangaa anawagongea milango na kuwaweka Chini ya Ulinzi. Kuna mmama alikuwa na mume wake ila hawakumsikiliza wakamuweka Chini ya Ulinzi na kuondoka naye
sometimes police huwa wanaudhi sana, unakuta wanakamata na wasiohusika wanaenda kuchuja huko kituoni, ni usumbufu kwa wasiohusika
 
Nilishangaa anawagongea milango na kuwaweka Chini ya Ulinzi. Kuna mmama alikuwa na mume wake ila hawakumsikiliza wakamuweka Chini ya Ulinzi na kuondoka naye
sometimes police huwa wanaudhi sana, unakuta wanakamata na wasiohusika wanaenda kuchuja huko kituoni, ni usumbufu kwa wasiohusika
 
Kutofuata Sheria ni ugonjwa kwa watanzania wengi mpaka viongozi.

Unaanzishaje operation bila kufanya impact na legal analysis?

Makahaba hawana chapa, katiba inalinda faragha ya mtu, yeye na askari wake aligunduaje kuwa wale ndani ya gest house au lodge walikuwa makahaba na siyo wapenzi?

I wish I could be out of this career that am serving in. 🙏
Tatiao kubwa ni CCM.
Nafasi kama hizo walefanya kuwa ni nafasi za CCM na wanazitoa kama zawadi kwa makada.kwanini wasitafutwe watu wenye uwezo wapewe nafasi kama hizo.

Usikute huyo jamaa hata form’6 hajamaliza, anakuwa kama fukoshima.

Watz wenye uwezo wapo, for as long as sio CCM , basi hawapewi.

Kweli tatizo la msingi Tanzania ni ukahaba ?
Kama taifa ni aibu sana
 
Back
Top Bottom