Waliokuwa na bidii na elimu lakini wapo mtaani wanadharaulika kwakuwa jamii iliweka matarajio makubwa

Waliokuwa na bidii na elimu lakini wapo mtaani wanadharaulika kwakuwa jamii iliweka matarajio makubwa

Mkuu Sky Eclat naomba leo nikupige msasa kidogo.... (sio kwa ubaya)

Neno uzamili usilitumie pale unapotaka kuwa specific kumaanisha masters.

Masters ni umahiri.
PhD ni uzamivu
"Postgraduate", collective term ya masters, PhD n.k ndio kwa kiswahili inaitwa uzamili.

Bila shaka hautachukia.
🙏🏾
 
mkuu yale ma arrhenious law yanaeleweka kweli?? Mfumo wa elimu ya kibongo n wa kukaririshwa mkuu, hakuna kuelewa jambo.

Hata huko udaktarini pia n ukaririshwaji wenye ahueni. Kama ulisoma huo udaktari bila shaka ulipitia ishu kama drancuculus medinences.... Hawa microorganisms ulikaririshwa na si kuwaelewa.
Druncuculus sio micro ni parasites
 
Sayansi huijui inatumika zaidi kwenye application mfano uliotoa hayo mahesabu mwisho wa siku unayatumia mfano kujenga majengo, kuunda ndege na mitambo nk hayapo hapo kwa ajiri ya kukaririwa ndio maana lazima kuwa ili nitengeneze meli ielee na isizame mahesabu ya kila eneo yaweje nk ndege ili iruke mahesabu yake ya kila eneo yaweje
Yes Sayansi inatumika kwenye application, lakini hakuna Sayansi pasi ya Arts – Hayo majengo, meli, ndege, mitambo haikutokana kwa kukariri bali usanifu na ubunifu ambao ni Arts.

Hakuna Sayansi pasi ya Arts maana hata Sindano na kidonge kinabuniwa na Arts, Kituo cha anga ISS kilibuniwa na kuchorwa vilivyo na Artists from Brazil.

Kabla ya kudharau kitu next time fikiri kikamilifu! Watu wote unaofuata principles zao the likes of Da'Vinci, Ford and co walikuwa Artists!

Programming is Science and here have JamiiForums yes! lakini muonekano huu UI ni ubinifu/usanifu/uchoraji zao la Arts! Nimetumia mfano huu tu! Nikija masuala ya History and archaelogy Arts play a part and life relay on that.

Art can stand still on its own but Science needs Art to act or be applicable.
 
What the hell yo talkin about? Aircrafts na automobile eng's unaziachaje sasa? Yo ain't serious
-Hizo kozi sio huduma za jamii, kozi zenye huduma za jamii Kama za Afya ndio zenye soko kubwa Sana
-Tanzania Kuna upungufu wa wafanyakazi wa afya zaidi ya 50%
-Air Craft sio huduma za jamii hence sio marketable Sana Kama Hizo za Afya
 
Kwanini basi upo hapa kuwadharau wanasayansi ambao unasema hawajui sayansi kama wewe unaepasua mawe?

Yanini udharau wanasayansi kwa wewe kueleza uzuri wako kwenye sayansi?

Kama unajiamini na uwezo wako,kwanini hukuelezea uwezo wako bila kuwadharau wengine?

Kuna ubaya gani ukituambia jinsi ulivyo superior bila kuwapaka matope wengine?

Mimi nina shida na hilo tu!

Ndio maana ninasema there is something wrong with you u want to prove scientists kweli unajua zaidi yao...of which makes you hate yourself inside hukusomaga sayansi!

Nini makasiriko yote haya against these innocent people?
We jmaa ndo unamatatizo, there something wrong with you sir.
 
Yes Sayansi inatumika kwenye application, lakini hakuna Sayansi pasi ya Arts – Hayo majengo, meli, ndege, mitambo haikutokana kwa kukariri bali usanifu na ubunifu ambao ni Arts.

Hakuna Sayansi pasi ya Arts maana hata Sindano na kidonge kinabuniwa na Arts, Kituo cha anga ISS kilibuniwa na kuchorwa vilivyo na Artists from Brazil.

Kabla ya kudharau kitu next time fikiri kikamilifu! Watu wote unaofuata principles zao the likes of Da'Vinci, Ford and co walikuwa Artists!

Programming is Science and here have JamiiForums yes! lakini muonekano huu UI ni ubinifu/usanifu/uchoraji zao la Arts! Nimetumia mfano huu tu! Nikija masuala ya History and archaelogy Arts play a part and life relay on that.

Art can stand still on its own but Science needs Art to act or be applicable.
Unachangya mambo science haina art drawing ina technical drawings mtu wa art Hana uwezo wa kuchora scientific drawing au technical drawing


Hakuna Art drawing kwenye science
Mwanasayansi anahitaji technical drawing sio art drawing
Michoro ya majengo hufanywa na wasanasayansi ambao ni architecture huchora technical drawings na muonekano


Mchora majengo kitaalamu ni Mwanasayansi wa fani ya architecture sio artist
 
Mleta mada unachotakiwa kufahamu hapa bongo elimu tunayoipata wote wa science na arts haina ukombozi kwetu ,tunakarirshwa na tusipo pata ofisi ndoo imetoka hiyo.Mm ni mwlm najua tunavyowafundisha wanafunzi Mungu ndie anaejua.
Mwambie huyu wote sawa elimu mbovu unaweza soma miaka kumi nyuma ujana fundisho ukakuta topics zile zile izo za science
 
Yes Sayansi inatumika kwenye application, lakini hakuna Sayansi pasi ya Arts – Hayo majengo, meli, ndege, mitambo haikutokana kwa kukariri bali usanifu na ubunifu ambao ni Arts.

Hakuna Sayansi pasi ya Arts maana hata Sindano na kidonge kinabuniwa na Arts, Kituo cha anga ISS kilibuniwa na kuchorwa vilivyo na Artists from Brazil.

Kabla ya kudharau kitu next time fikiri kikamilifu! Watu wote unaofuata principles zao the likes of Da'Vinci, Ford and co walikuwa Artists!

Programming is Science and here have JamiiForums yes! lakini muonekano huu UI ni ubinifu/usanifu/uchoraji zao la Arts! Nimetumia mfano huu tu! Nikija masuala ya History and archaelogy Arts play a part and life relay on that.

Art can stand still on its own but Science needs Art to act or be applicable.
Mwambie huyo
 
mtu anapotoa mtazamo straight na very daring and powerful hua hamna majibu mnabaki na "huyu jamaa there is something wrong"

useless
Yaan we jamaa una matatizo hakuna unachotoa Cha maaana tunaishia hivyo kwasababu hakuna cha maana uta replay.
 
Yes it is visible ni nematode uyo usiwe unaandika vitu ambavyo huvijui
Bas na mimi nilikaririshwa mkuu... Ila kwa kukusaidia huyo sio microorganism technically.

Ukiielewa parasitology vzr utafaham kuwa niko sahihi
 
Unachangya mambo science haina art drawing ina technical drawings mtu wa art Hana uwezo wa kuchora scientific drawing au technical drawing


Hakuna Art drawing kwenye science
Mwanasayansi anahitaji technical drawing sio art drawing
Michoro ya majengo hufanywa na wasanasayansi ambao ni architecture huchora technical drawings na muonekano


Mchora majengo kitaalamu ni Mwanasayansi wa fani ya architecture sio artist
Umenikumbusha Engineering Drawings (1st year hio),kama kichwa maji hutoboi hio
 
Mkuu sio kwa ubaya, naomba nije PM. Namimi nimesoma mambo ya Marine, na natafuta michongo majuu, kama utaniunganisha na "mwana" ili anipe ABC's
Nenda chuoni kwenu hapo habari utazipata hapo hapo, yule aliyewanunulia viti hapo chuoni hukumuuliza.
 
Ni lile kundi la watu ambao tulisoma nao shuleni na vyuoni, walikuwa serious sana na elimu na waliweza kuwa na matokeo mazuri sana, wengi walisifika kwa kuitwa majina maarufu kama vipanga.

Katika fikra za wengi hawa walikuwa wanaonekana tayari wana future nzuri maana wakimaliza tu elimu zao basi wana maisha

Kiukweli yalikuwa ni matarajio makubwa sana lakini kwa uhalisia mambo yapo tofauti kabisa na ndio maana wapo ambao wapo mitaani kwa kukosa ajira au kukosa mitaji.

Changamoto kubwa wanayoipata ni kwamba tayari walijizolea umaarufu wa kuwa na uwezo mkubwa darasani hivyo kila anaekutana nae anajua ana bonge la kazi au cheo shirika flan na lazma aulize ili kuthibitisha. wengine masnich tu anajua kila kitu lakini anauliza makusud ili tu amtibue.

Basi baada ya hapo kinachofuata anaweza kudharaulika sana ama kuonewa huruma sana kama mtu mgonjwa asiejiweza maana alitarajiwa afike mbali sana kwa juhudi zake ila hakuna alichoambulia, mbaya zaidi katika kundi la waliomdharau hilo kunaweza kuwa na wenye ajira au biashara zao basi wanasambaza sumu kwamba elimu si kitu kwa kumfanya mwenzao awe mfano.

tatizo ni matatizo tuliyonayo TZ, Viongozi tulionao ni matatizo matupu, hatuna viongozi tuna takataka, mijitu inalalamikiwa kila siku kuhusu mitaala yenyewe kimya tu, na mengine inajiita miprofesa, utombo mtupu.

Tena cha kushangaza kila mwaka vyuo vinamwaga wahitimu zaidi ya laki tano, na serikali inazidi kulifumbia macho hili swala. Ni kwanini wasipunguze wanafunzi kwa kuchukua only div one? ili kukomboa muda na gharama za watu? tena wafute mashule na vyuo vya ovyo.
 
Elimu ni muhimu sana ila inategemeana na mindset yako, Kuliko usomeshe mtoto shule za gharama kwa mateso makubwa bora asome shule za kawaida sana
 
Mhubiri 9:11

[11]Nikarudi, na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo; lakini wakati na bahati huwapata wote.
Neno la Mungu lina majibu ya kila jambo.
 
Back
Top Bottom