Waliokuwa wakiitukana awamu ya 5 waanza kujuta, watakiwa kuchutama

Umeandika "mharo" kama yule "mzarendo uchwara' alivyokuwa akiwaaminisha yeye ni "shujaa' kumbe utopolo tupu. Huko aliko afe mara ya 2!
Tuma na ya kutolea kenge wewe
 
Hizi tozo zimewekwa na wanufaika wa utawala wa magu.

Walipoona magu amekua akisemwa vibaya wao wamekuja na hizi tozo onevu ili kuwaaminisha watu kua angekua magu asingeruhusu
Yamekuwa hayo tena!!!!! Hamkawii kusema ni mzimu wa magu ndo umeweka hizo tozo.
 
Aaaaahhhhhhh wapi bhana!
 
Corona ipo Moshi na Arusha kwa sababu ya laana ya kushangilia kifo cha Magufuli
 
Timu gaidi wanalia na kusaga meno
 
Corona ipo Moshi na Arusha kwa sababu ya laana ya kushangilia kifo cha Magufuli
Sio kweli. Moshi na Arusha wamestaarabika kwa kutoa taarifa bila hofu. Corona imepiga Zaidi Dodoma, asikuambie mtu!
 
Mungu alishajibu! Aliyewafanya wawe vilema na wengine kukimbilia uhamishoni alishaondoka.
Na mimi nashauri warudi nyumbani bila kuomba msamaha.
 
sawa mzee wa tozo, umesikika.
 
Mungu alishajibu! Aliyewafanya wawe vilema na wengine kukimbilia uhamishoni alishaondoka.
Na mimi nashauri warudi nyumbani bila kuomba msamaha.
Mimba ya Magufuli itawatoa roho kenge nyinyi ndiyo kwanza miezi 6 ,bado kidogo mzae endeleeni kunywa malimao na ndimu
 
Kumbe Mwendazake hakuwa tatizo,tatizo ni kutafuta maisha,maana hayupo, nyumbani hawarudi, halafu jamaa wako na wake zao huko wanakula good time tu.
 
Kumbe Mwendazake hakuwa tatizo,tatizo ni kutafuta maisha,maana hayupo, nyumbani hawarudi, halafu jamaa wako na wake zao huko wanakula good time tu.
Tatizo ni ujinga wa chadema
 
Leo Gentamycine ameamka na uzi wa kujuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…