Waliokuwa wanasema SGR ya Kenya ni mtungi wa chang'aa, ona mtungi unabeba double stack. Jambo ambalo jirani hawana

Waliokuwa wanasema SGR ya Kenya ni mtungi wa chang'aa, ona mtungi unabeba double stack. Jambo ambalo jirani hawana

Haa haa we jamaa bwana,sisi SGR yetu imedizainiwa kubeba 35ton/axle load.Sasa tushindwe kuwa na behewa za namna hiyo.Ninachofahamu kwenye behewa zitakazokuja huko mbeleni zipo 50 kama hizo kwa ajili ya kubeba mizigo.Siku njema kiongozi.
 
Haa haa we jamaa bwana,sisi SGR yetu imedizainiwa kubeba 35ton/axle load.Sasa tushindwe kuwa na behewa za namna hiyo.Ninachofahamu kwenye behewa zitakazokuja huko mbeleni zipo 50 kama hizo kwa ajili ya kubeba mizigo.Siku njema kiongozi.
onesha vile ilivyodizainiwa. sio maneno matupu
 
This is not a popular thread to those jealous southern neighbors, so I expect the following;
1.Geza ulole to open a new thread detailing how theirs is triple stack ghost railway.
2. redeemer to do the same as the minion above only that it will be a new topic meant to deflect this thread.
3.@geza ulole to open a new thread on the negative about Kenya after a thorough search on goole, or a Tanzanian thread totally irrelevant matters concerning Kenyan news.
 
This is not a popular thread to those jealous southern neighbors, so I expect the following;
1.Geza ulole to open a new thread detailing how theirs is triple stack ghost railway.
2. redeemer to do the same as the minion above only that it will be a new topic meant to deflect this thread.
3.@geza ulole to open a new thread on the negative about Kenya after a thorough search on goole, or a Tanzanian thread totally irrelevant matters concerning Kenyan news.
defense mechanism. [emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]
 
Watanzania watuonyeshe double stack, la si hivyo wakae kimya.
The nature of our bridges and tunnels limits the height to one container only so double stalking is not possible on all of our railways.
Electrification of our SGR will as well make impossible for the new railway line to double stalk.
 
As East Africans - we should channel our efforts towards development & cooperation for mutual benefits instead of kusimangana na kuchambuana. If we are together we are strong
we moja ya waafrica wachache wenye akili sana kama mzungu..
waafrica tunasimangana badala ya kujipongeza na ku share tricks why wenzetu wamefanikiwa
 
Kwa empty containers kama hizo unaweza kuzipanga hata kumi so hapo ni under exploitation pasee
 
Back
Top Bottom