REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,925
- 14,890
Jirambe 😊😝Picha iko wapi? Nyang'au hapendi mdomo anapenda action.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jirambe 😊😝Picha iko wapi? Nyang'au hapendi mdomo anapenda action.
Wazungu wamekua na sayansi na takinolojia kubwa kwa sababu ya ushindani kama siyo ushindani Leo tz tusingeongelea sgr ya umeme na Kenya isinge kuwa na mpango wa haraka kuusu kutaka BRTwe moja ya waafrica wachache wenye akili sana kama mzungu..
waafrica tunasimangana badala ya kujipongeza na ku share tricks why wenzetu wamefanikiwa
haswaaa...sisi mpaka leo wanasiasa mtaji wao ntaleta maji na zahanatiWazungu wamekua na sayansi na takinolojia kubwa kwa sababu ya ushindani kama siyo ushindani Leo tz tusingeongelea sgr ya umeme na Kenya isinge kuwa na mpango wa haraka kuusu kutaka BRT
BravoAs East Africans - we should channel our efforts towards development & cooperation for mutual benefits instead of kusimangana na kuchambuana. If we are together we are strong
Hahahaha... wewe nyang'ao umenichekesha sana! Yaani nyinyi hiyo SGR mmeiona ya maana sana kwa sababu ya kubeba double containers tu? Mwendo ni wapunda mkubali tu wachina wamewapiga pesa ndefu!Angalau wewe umepunguza machungu kwa kuchangia povu kuwaliko wenzako wanaopita kimya kimya wakielekea Muhimbili kupumilia mashine.
Sawa, usiwahi tena ongea matope kuhusu Kenyan SgrThe nature of our bridges and tunnels limits the height to one container only so double stalking is not possible on all of our railways.
Electrification of our SGR will as well make impossible for the new railway line to double stalk.
Mkuu Uhuru hajazindua? Hataki ujiko?Tena bila kuzinduliwa na kiongozi wa taifa au habari kwenye runinga...yani ni jambo la kawaida sana.
Kwani hiyo esiijiaraaa ni nyenu wakenya acha nicheke kidogo ,sijui bange gani wakenya na raisi wenu anavuta
Rekebisha kwanza heading yako sio sgr ya kenya sema sgr ya mchina ndio uandike utumbo uliouleta maana tunajua baada ya miaka 50 ya kushindwa kulipa deni mchina atabeba mataruma yake na kurudi nayo uchina.Watanzania watuonyeshe double stack, la si hivyo wakae kimya.View attachment 881762View attachment 881763
Nionyeshe
Ila fahamu China itabidi awatawale tu hamna namna ukistaajabu ya Zambia yanakuja ya Kenya.Angalau wewe umepunguza machungu kwa kuchangia povu kuwaliko wenzako wanaopita kimya kimya wakielekea Muhimbili kupumilia mashine.
Subili muwe koloni la mchinaWalidhani hii siku haitafika
Tunajenga kwa fedha zetu wenyewe kwa 70% siyo yenu mnategemea mikopo ya wachina ya Zambia yanakuja kwenuYenu ni feki ndio maana hamna double stack
Sasa hii ni fedha yetu wenyewe tunanunua haya mavitu huko nyumba ya jirani hawana tofauti na mwanaume dhaifu tena mwenye upungufu wa nguvu za chini anatafutiwa mke na kumuolea,chakula analishiwa mavazi anasaidiwa kuvalishiwa mpaka mpini anasaidiwa,ndio majirani zetu kilichopo.
Uliwahi ona wapi unaona demu barabarani unajigamba wa kwako?reli ya mchina,treni zake za makaa ya mawe za mchina,madereva wa kichina sasa ulikuwa unataka uhuru aende akazindue kitu kisicho chake?,pamoja na viroba kichwani anajielewa.Tena bila kuzinduliwa na kiongozi wa taifa au habari kwenye runinga...yani ni jambo la kawaida sana.