Uchaguzi 2020 Waliokuwa wanasema upinzani umekufa wamekuwa wapole ghafla

Uchaguzi 2020 Waliokuwa wanasema upinzani umekufa wamekuwa wapole ghafla

Sasa huo wivu tu kwa kuona walio serikalini wanafaidi sana.
Kuna siku utakatalia jikoni kwa kuona mkeo anafaidi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Narudia tena, kama tunajenga nchi, wote tujibane, sio wanaosaka sifa za kujenga nchi wanakula pepo wakiwa hapa duniani, huku hao wanaohubiriwa maendeleo wakiishi kama wakambizi. Hii ndio falsafa ya maendeleo ya vitu.

Kama kweli mnaamini tunajenga nchi pamoja, wote ambao wanasema ni vinara wa hayo maendeleo wapokee mishahara chini ya milioni 2, na watumie magari ya gharama nafuu kama RAV 4, na IST Kwa viongozi wa mijini kama hapa Dar, kisha mishahara yao ipande kadiri uchumi unavyokua. Sio ujilipe mishahara mikubwa na posho nene, huku vijana wanamaliza vyuo hawana ajira, kisha mtake sifa za shuruti.
 
Jaribu kufuatilia hotuba za Lissu alipoanza kusaka udhamini mpaka sasa. Ziko kauli akiziongea ni kama watu huguna kimoyomoyo na kama wanaomsikiliza huwa down kimtindo.
Unachekesha kwa bidii yako ya kujifariji
 
Sisi CCM ni nani hata tupendwe na wote, wakati Mungu mwenyewe anapambana na upinzani toka kwa shetani !!

CCM inajivunia kuwa na watu wanaotambua juhudi zinazofanywa na rais aliyepo, kwani wanajua hii nchi ilipo, ilipotoka na inapokwenda.

Mpaka sasa tunao mtaji kubwa kwa Watanzania halisi acha mamluki wanaofurahia mwendo wa dereva wetu Magufuli, kwani kalimudu gari.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtaji gani zaidi ya propaganda
 
Hahhaa walipangwa na DC Gambo?? ushahidi tunao. Cheki hao walevi ni raia wa Wapi.?

si ndo maaana mwandishi amehoji watu tafauti tafauti si unaona msimamo wao na mbowe hawatanga nia tena ya ubunge baada ya hapo
 
Watu kuwa.. wengi.. siwo idadi ya kura.. mutoko wa watu kujionea.. wasema ni nini!!!!...
Kumbuka munawahi kabla kuwaomba wamupokee.. na munawapa pesa ya andazi moja.. waje wapigwe picha

Magufuli 💯
 
Watu walishaamka muda mrefu sana. Hapo mlipo mtabaki kutegemea hila, siasa chafu na propaganda mfu. Hizo Siasa mnafanya miaka hii ni za karne iliyopita ndio maana watu wamebaki wanawachora tu, huku mkitegemea matumizi ya nguvu kushurutisha kukubalika.


mi nikwambie tu ukwel, kama hujawahi kupata stroke basi huu uchaguzi ndo utapata! imefika mpaka hatua mgombea wenu anafanya kampeni watu wanamzomea, ni aibu! watu wanaenda kumshangaa lissu nyie mnahesabu kama wapiga kura sasa jiandaeni mkipata 5% sjui mtashukuru wap
 
Unachekesha kwa bidii yako ya kujifariji

Tangu 2015 baada ya cdm kumpokea EL wengine tulishasema cdm hawatabaki salama na hatujawahi kubadili misimamo yetu. Wala hatubadili iwe masika iwe kiangazi. Hatushangai masahibu ya Lissu na wa aina yake maana wanalipia matendo yao. Alivuna alichopanda na ataendelea kuvuna atakachopanda. Hamna mizaha mizaha hapa.!!!
 
Walizima siasa....sasa wananchi ndio wana uchu vibaya wa siasa!
Watakoma ccm na mawe wao...
Full kukosea.....pay back time!
Tatizo kubwa la CCM ni kwamba hawafundishiki. Wahenga walisema kimya kingi kina kishindo. Kwa miaka mitano wapinzani kimyaa tena si kile kimya cha kawaida, ni kimya cha kulazimishwa. Sasa yabidi CCM ikae ikishuhudia kishindo cha kimya cha miaka mitano. Na hizi ni rasha rasha tu, za vuli ziko njiani. Safari hii kama ni push up zitapigwa hadi watu wazimie majukwaani. Tulionya lakini hatukusikilizwa kwa sababu watu wenyewe ni washamba na limbukeni, hawafundishiki.
 
Tulishasema hapa idadi ya wabunge sio upinzani. Upinzani ni fikra. Ubunge na udiwani unaweza kuiba kura hata kulazimisha. Kitu ambacho huwezi kulazimisha ni upendo. Kama mtu anampenda mtu mwingine huwezi kualazimisha akupende wewe au kwasababu umemfanyia kitu fulani ni lazima akupende leo. Upinzani bado sio majority ya Watanzania lakini kuna watu kama 40%-45% ya Watanzania na zaidi ya hao kwenye miji mikubwa. Pamoja na kubanwa vyombo vya habari tunaona Zanzibar na Bara kwamba si kweli inawezekana hata upinzania ukawa na nguvu kuliko hata 2015. Kubana watu hakuzuii tena inawezekana kumeongeza umashauri maana wapinzani sasa wanaonekana kama mashujaa badala ya kuonekana wanasiasa wa kawaida.

CCM msikubali tena kuzuiwa kwa mikutano haisaidii na itakuwa ngumu hapo Magu akiondoka. 2025 upinzani utakuwa na nguvu kuliko sasa. Vilevile jibuni hoja badala ya kutukana na kutisha kuna mengi ya kujivunia kwa Magufuli. Lakini msiweke fikra kwamba Magufuli hana kasoro au wengine hawapedwi
Ukijibishana na chizi ww ndio utaonekana chizi! Muda ukifika tutakwenda kwa wananchi na ilani siyo porojo! Waliotupa ridhaa ya kuiongoza nchi ni wananchi na siyo TL na mashoga zake! Tutawajibika kwa wananchi kwa kuwaeleza jinsi tulivyotekeleza ilani na kuwaelezea ilani ya 20-25!
TL na mashoga zake ni wa kupuuza ty kwa Sasa!
 
Tulishasema hapa idadi ya wabunge sio upinzani. Upinzani ni fikra. Ubunge na udiwani unaweza kuiba kura hata kulazimisha. Kitu ambacho huwezi kulazimisha ni upendo. Kama mtu anampenda mtu mwingine huwezi kualazimisha akupende wewe au kwasababu umemfanyia kitu fulani ni lazima akupende leo. Upinzani bado sio majority ya Watanzania lakini kuna watu kama 40%-45% ya Watanzania na zaidi ya hao kwenye miji mikubwa. Pamoja na kubanwa vyombo vya habari tunaona Zanzibar na Bara kwamba si kweli inawezekana hata upinzania ukawa na nguvu kuliko hata 2015. Kubana watu hakuzuii tena inawezekana kumeongeza umashauri maana wapinzani sasa wanaonekana kama mashujaa badala ya kuonekana wanasiasa wa kawaida.

CCM msikubali tena kuzuiwa kwa mikutano haisaidii na itakuwa ngumu hapo Magu akiondoka. 2025 upinzani utakuwa na nguvu kuliko sasa. Vilevile jibuni hoja badala ya kutukana na kutisha kuna mengi ya kujivunia kwa Magufuli. Lakini msiweke fikra kwamba Magufuli hana kasoro au wengine hawapedwi
Ukijibishana na chizi ww ndio utaonekana chizi! Muda ukifika tutakwenda kwa wananchi na ilani siyo porojo! Waliotupa ridhaa ya kuiongoza nchi ni wananchi na siyo TL na mashoga zake! Tutawajibika kwa wananchi kwa kuwaeleza jinsi tulivyotekeleza ilani na kuwaelezea ilani ya 20-25!
TL na mashoga zake ni wa kupuuza ty kwa Sasa!
Tatizo kubwa la CCM ni kwamba hawafundishiki. Wahenga walisema kimya kingi kina kishindo. Kwa miaka mitano wapinzani kimyaa tena si kile kimya cha kawaida, ni kimya cha kulazimishwa. Sasa yabidi CCM ikae ikishuhudia kishindo cha kimya cha miaka mitano. Na hizi ni rasha rasha tu, za vuli ziko njiani. Safari hii kama ni push up zitapigwa hadi watu wazimie majukwaani. Tulionya lakini hatukusikilizwa kwa sababu watu wenyewe ni washamba na limbukeni, hawafundishiki.
Jiandae kushuhudia Tena hao washamba na malimbukeni lakini siyo mashoga wakiapishwa Tena na Tena ili uone aliye mshamba na limbukeni halisi ni yupo Sasa!
 
Tangu 2015 baada ya cdm kumpokea EL wengine tulishasema cdm hawatabaki salama na hatujawahi kubadili misimamo yetu. Wala hatubadili iwe masika iwe kiangazi. Hatushangai masahibu ya Lissu na wa aina yake maana wanalipia matendo yao. Alivuna alichopanda na ataendelea kuvuna atakachopanda. Hamna mizaha mizaha hapa.!!!
Mchawi anaweweseka.
 
Ukijibishana na chizi ww ndio utaonekana chizi! Muda ukifika tutakwenda kwa wananchi na ilani siyo porojo! Waliotupa ridhaa ya kuiongoza nchi ni wananchi na siyo TL na mashoga zake! Tutawajibika kwa wananchi kwa kuwaeleza jinsi tulivyotekeleza ilani na kuwaelezea ilani ya 20-25!
TL na mashoga zake ni wa kupuuza ty kwa Sasa!
Shilingi milioni 50 kwa kila kijiji
 
mi nikwambie tu ukwel, kama hujawahi kupata stroke basi huu uchaguzi ndo utapata! imefika mpaka hatua mgombea wenu anafanya kampeni watu wanamzomea, ni aibu! watu wanaenda kumshangaa lissu nyie mnahesabu kama wapiga kura sasa jiandaeni mkipata 5% sjui mtashukuru wap

Kwa tume hiyo ya uchaguzi, na jinsi inavyomtetemekea magu, hata hiyo 5% mbona nyingi sana. Sema 0.00001%. Ila narudia tena, ccm chini ya Magufuli haina uwezo wa kushindana kisiasa, na wala haitakuwa iweze kushindana kwenye box la kura. Maana sasa hivi hakuna ccm, bali kuna Magufuli na misukule yake iitwayo wanaccm, udhaifu wake wa kutoweza kushindana kwa box la kura, ndio imekuwa udhaifu vaa ccm. Ukishaona kwenye nchi sheria nyingi kandamizi zinatungwa kubeba udhaifu wa rais, ujue hiyo sio nchi yenye wananchi, bali ni makondoo wenye uhuru wa bendera.
 
Kwa tume hiyo ya uchaguzi, na jinsi inavyomtetemekea magu, hata hiyo 5% mbona nyingi sana. Sema 0.00001%. Ila narudia tena, ccm chini ya Magufuli haina uwezo wa kushindana kisiasa, na wala haitakuwa iweze kushindana kwenye box la kura. Maana sasa hivi hakuna ccm, bali kuna Magufuli na misukule yake iitwayo wanaccm, udhaifu wake wa kutoweza kushindana kwa box la kura, ndio imekuwa udhaifu vaa ccm. Ukishaona kwenye nchi sheria nyingi kandamizi zinatungwa kubeba udhaifu wa rais, ujue hiyo sio nchi yenye wananchi, bali ni makondoo wenye uhuru wa bendera.


ccm watu walikua wameichoka kipindi lowasa anagombea ila saaahv mkuu nakuhakikishia kabisa hata uchaguzi ukiwa plain mkapewa muhesabu kura mnatoka kapa, hakuna haja hata ya fitina zozote , watu washaamka kitambo
 
Tulishasema hapa idadi ya wabunge sio upinzani. Upinzani ni fikra. Ubunge na udiwani unaweza kuiba kura hata kulazimisha. Kitu ambacho huwezi kulazimisha ni upendo. Kama mtu anampenda mtu mwingine huwezi kualazimisha akupende wewe au kwasababu umemfanyia kitu fulani ni lazima akupende leo.

Upinzani bado sio majority ya Watanzania lakini kuna watu kama 40%-45% ya Watanzania na zaidi ya hao kwenye miji mikubwa. Pamoja na kubanwa vyombo vya habari tunaona Zanzibar na Bara kwamba si kweli inawezekana hata upinzania ukawa na nguvu kuliko hata 2015.

Kubana watu hakuzuii tena inawezekana kumeongeza umashauri maana wapinzani sasa wanaonekana kama mashujaa badala ya kuonekana wanasiasa wa kawaida.

CCM msikubali tena kuzuiwa kwa mikutano haisaidii na itakuwa ngumu hapo Magu akiondoka. 2025 upinzani utakuwa na nguvu kuliko sasa. Vilevile jibuni hoja badala ya kutukana na kutisha kuna mengi ya kujivunia kwa Magufuli. Lakini msiweke fikra kwamba Magufuli hana kasoro au wengine hawapedwi
Narudia tena , kuiteketeza ccm inahitajika siku 7 tu , mpaka sasa ccm mbendembende , hapa wanachosubiri ni huruma ya Kaijage baaaasiiii
 
Back
Top Bottom