Uchaguzi 2020 Waliokuwa wanasema upinzani umekufa wamekuwa wapole ghafla

Uchaguzi 2020 Waliokuwa wanasema upinzani umekufa wamekuwa wapole ghafla

Kwa tume hiyo ya uchaguzi, na jinsi inavyomtetemekea magu, hata hiyo 5% mbona nyingi sana. Sema 0.00001%. Ila narudia tena, ccm chini ya Magufuli haina uwezo wa kushindana kisiasa, na wala haitakuwa iweze kushindana kwenye box la kura. Maana sasa hivi hakuna ccm, bali kuna Magufuli na misukule yake iitwayo wanaccm, udhaifu wake wa kutoweza kushindana kwa box la kura, ndio imekuwa udhaifu vaa ccm. Ukishaona kwenye nchi sheria nyingi kandamizi zinatungwa kubeba udhaifu wa rais, ujue hiyo sio nchi yenye wananchi, bali ni makondoo wenye uhuru wa bendera.
Tindo, upeo wako wa kuchanganua Mambo mbona mdogo Sana, hebu uwe unatulia maana hata chizi akinyamaza hudhaniwa Kuwa mwenye busara!
Lofa mwenzenu alisema Tz tutashitakuwa na kufilisiwa alipokuwa anaitetea acacia...Unajua yaliyoikuta acacia🤣😂🤣! Imefutika ktk uso wa dunia🤣😂🤣! Corona ilisababisha chupi kuwabana mabwana zenu wote lakini chuma kilipoinika TU Corona Tz hata kwa electron microscope haionekani! Nyie endeleeni kubwabwaja kwa upungu wenu tutakapolianzisha mtaelewa TU maana nyie Hamna uwezo wa kuona mbele, mnasubiri TU matokeo kwa mshangao wakati wengine tulishayaona mapema! Magu ni namba nyingine bana msijiume mioyo🤔!
 
ccm watu walikua wameichoka kipindi lowasa anagombea ila saaahv mkuu nakuhakikishia kabisa hata uchaguzi ukiwa plain mkapewa muhesabu kura mnatoka kapa, hakuna haja hata ya fitina zozote , watu washaamka kitambo

Kama ccm sasa hivi ndio inakubalika sana, ni kipi kimefanya chaguzi zote za marudio kunajisiwa, na huu uchaguzi wa SM za mitaa ndio mkafanya upuuzi wa hali ya juu? Au hii hofu mliyowatia wananchi ndio mnadhani ccm inakubalika sana?
 
Tindo, upeo wako wa kuchanganua Mambo mbona mdogo Sana, hebu uwe unatulia maana hata chizi akinyamaza hudhaniwa Kuwa mwenye busara!
Lofa mwenzenu alisema Tz tutashitakuwa na kufilisiwa alipokuwa anaitetea acacia...Unajua yaliyoikuta acacia🤣😂🤣! Imefutika ktk uso wa dunia🤣😂🤣! Corona ilisababisha chupi kuwabana mabwana zenu wote lakini chuma kilipoinika TU Corona Tz hata kwa electron microscope haionekani! Nyie endeleeni kubwabwaja kwa upungu wenu tutakapolianzisha mtaelewa TU maana nyie Hamna uwezo wa kuona mbele, mnasubiri TU matokeo kwa mshangao wakati wengine tulishayaona mapema! Magu ni namba nyingine bana msijiume mioyo🤔!

Sina chembe ya shaka ya nilichosema kwenye uzi ulioniquote.
 
Sio ya kura halali boss.
We huwa fahamu TU wapiga Kyra wa Tz eeh🤣😂🤣! Kamuulize rafiki yake Joti! Kungekuwa na uwezekano wa vituo vyote viwe live mngeshuhudia wenyewe wakati wa kuhesabia Kyra TL akiambulia yai TU ndie mngewaelewa watz🤣😂🤣! Kyra zao walishapanga miaka 3 iliyopita kumpa Magu🤔!
 
Tulishasema hapa idadi ya wabunge sio upinzani. Upinzani ni fikra. Ubunge na udiwani unaweza kuiba kura hata kulazimisha. Kitu ambacho huwezi kulazimisha ni upendo. Kama mtu anampenda mtu mwingine huwezi kualazimisha akupende wewe au kwasababu umemfanyia kitu fulani ni lazima akupende leo.

Upinzani bado sio majority ya Watanzania lakini kuna watu kama 40%-45% ya Watanzania na zaidi ya hao kwenye miji mikubwa. Pamoja na kubanwa vyombo vya habari tunaona Zanzibar na Bara kwamba si kweli inawezekana hata upinzania ukawa na nguvu kuliko hata 2015.

Kubana watu hakuzuii tena inawezekana kumeongeza umashauri maana wapinzani sasa wanaonekana kama mashujaa badala ya kuonekana wanasiasa wa kawaida.

CCM msikubali tena kuzuiwa kwa mikutano haisaidii na itakuwa ngumu hapo Magu akiondoka. 2025 upinzani utakuwa na nguvu kuliko sasa. Vilevile jibuni hoja badala ya kutukana na kutisha kuna mengi ya kujivunia kwa Magufuli. Lakini msiweke fikra kwamba Magufuli hana kasoro au wengine hawapedwi


Watanzania ni lazima tujue zoezi la kutaka kuwa kama China Nyerere alijaribu na kushidwa, Nyerere huyo huyo aliona ni bora vyama vingi kuliko mfumo wa zamani wa ujamaa na kujitegemea. Sasa sababu kubwa ya kushidwa ni kwamba utamaduni wa Tanzania ni tofauti. Kabla ya wakoloni hatukuwa na nchi tulikuwa na kaya na makabila tu. Utamaduni nwetu haufanani kuna wamasai na wapemba huwezi kusema wana utamaduni mmoja. China inawezekana pale tu ambako karibu kila kitu watu ni sawa kule hata dini haziruhusiwi!, yaani serikali inaweza kusema kuzaa mwisho mtoto mmoja. Tanzania haijawahi na wala haitawahi kuwa kama China. Tutapiga watu, tutazuia watu kuongea lakini matakwa ya watu hayawezi kukubali kuonewa au kunyimwa uhuru. Ni Watanzania wachache sana watakubali udikteta kwa kisingizio cha maendeleo hizo sera hazitafanikiwa. Tujifunze Uganda Museveni kaleta maendeleo sana lakini Waganda wamemchoka na hawezi kushinda uchaguzi kihalali.
 
Kama ccm sasa hivi ndio inakubalika sana, ni kipi kimefanya chaguzi zote za marudio kunajisiwa, na huu uchaguzi wa SM za mitaa ndio mkafanya upuuzi wa hali ya juu? Au hii hofu mliyowatia wananchi ndio mnadhani ccm inakubalika sana?



nadhan mpaka apa utakua ushajua kwann chadema hali yenu ni mbaya

na pia jumlisha hii
 
We huwa fahamu TU wapiga Kyra wa Tz eeh🤣😂🤣! Kamuulize rafiki yake Joti! Kungekuwa na uwezekano wa vituo vyote viwe live mngeshuhudia wenyewe wakati wa kuhesabia Kyra TL akiambulia yai TU ndie mngewaelewa watz🤣😂🤣! Kyra zao walishapanga miaka 3 iliyopita kumpa Magu🤔!

Uza ubongo huo maana unakaa nao kwa hasara.
 
Kweli kabisa, hizi sio zama za kushurutisha watu kutawaliwa na chama kimoja, eti kisa kuna bwawa na reli zinajengwa. Na wale wanaomdanganya Magufuli kuwa atashinda kwa 90%, huo ni utapeli wa mchana kweupe. Sana sana itabidi zile mbinu za kipuuzi za ushindi wa uchaguzi wa SM ndio zitumike.
Hadi wameshindwa hata kutangaza majina ya wagombea ubunge na udiwani...
 
Tulishasema hapa idadi ya wabunge sio upinzani. Upinzani ni fikra. Ubunge na udiwani unaweza kuiba kura hata kulazimisha. Kitu ambacho huwezi kulazimisha ni upendo. Kama mtu anampenda mtu mwingine huwezi kualazimisha akupende wewe au kwasababu umemfanyia kitu fulani ni lazima akupende leo.

Upinzani bado sio majority ya Watanzania lakini kuna watu kama 40%-45% ya Watanzania na zaidi ya hao kwenye miji mikubwa. Pamoja na kubanwa vyombo vya habari tunaona Zanzibar na Bara kwamba si kweli inawezekana hata upinzania ukawa na nguvu kuliko hata 2015.

Kubana watu hakuzuii tena inawezekana kumeongeza umashauri maana wapinzani sasa wanaonekana kama mashujaa badala ya kuonekana wanasiasa wa kawaida.

CCM msikubali tena kuzuiwa kwa mikutano haisaidii na itakuwa ngumu hapo Magu akiondoka. 2025 upinzani utakuwa na nguvu kuliko sasa. Vilevile jibuni hoja badala ya kutukana na kutisha kuna mengi ya kujivunia kwa Magufuli. Lakini msiweke fikra kwamba Magufuli hana kasoro au wengine hawapedwi
Tumaini lao lipo kwa tume ya uchaguzi.
 
Back
Top Bottom