Na waliomchagua Tobo ni asilimia ngapi? Na jasusi mbobezi je?Kwa wale mliokua mnapenda hesabu darasani. Magufuli amechaguliwa na watanzania 12.5 million. Watu katika daftari la wapiga kura waliojiandikisha Tanzania nzima 29.8
Roughly ni kua 42% ya watu wooote wenye vitambulisho vya kura ndio wamemchagua Magufuli.
Hii figure mnaionaje wananzengo?
Ujanjaujanja Tu 😁😂😅😄😄😄😀😁😂Na waliomchagu Tobo ni asilimia ngapi? Na jasusi mbobezi je?
Ajira Tele Millions 2Serikari i ajiri Walimu wa mathematics
Less than 50%Turn up ni wangapi ?
Turn up milioni 15Turn up ni wangapi ?
Waliomchagua Lissu ni asilimia 6.7 kichapo kipo pale paleKwa wale mliokua mnapenda hesabu darasani. Magufuli amechaguliwa na watanzania 12.5 million. Watu katika daftari la wapiga kura waliojiandikisha Tanzania nzima 29.8.
Roughly ni kua 42% ya watu wooote wenye vitambulisho vya kura ndio wamemchagua Magufuli.
Hii figure mnaionaje wananzengo?
Kama 52% ndogo kuliko wakato wowote katika historia ya nchi. Watu walishapoteza imani na kiini macho cha uchaguzi nchiniTurn up milioni 15
KWA Lugha nyingine tunaita Mchambo au Kichambo cha kufungia 2020....huku kikisindikizwa na Makofi ya Prasie Team yani unakisikilizia hadi nafsi ya Saba....full burudani.Mimi nina hamu ya kusikia hotuba ya siku ya kuapishwa maana sasa hivi atakuja na chuki za wazi kujua kuwa angeenda kwa njia ya watu walivyochagua saa hizi angekuwa anapanga anunue mbegu gani za mpunga kuanza kupanda Chattle. Sasa basi kwa hasira ya kujua wazi kuwa hapendwi tusubiri makatazo ya kila namna. Ni mwendo wa kuishi ki north korea tu.
na hao wanaopaswa kupiga makofi ole wao wasipige, watasimangwa hadharani na vibao juu, wateule sasa watakuwa kama watoto wanaoishi na mama wa kambo. Itakuwa kutwa masimango ya kuwa mmewekwa tu hapo halafu hamshangilii.KWA Lugha nyingine tunaita Mchambo au Kichambo cha kufungia 2020....huku kikisindikizwa na Makofi ya Prasie Team yani unakisikilizia hadi nafsi ya Saba....full burudani.