Waliomchagua Muheshimiwa mteule John P. Magufuli ni 42% ya wapigakura wote waliojiandikisha

Waliomchagua Muheshimiwa mteule John P. Magufuli ni 42% ya wapigakura wote waliojiandikisha

Turudishieni mitandao tumemic kutumiwa picha na videnti vya chuo
 
Na waliomchagua Lissu ni 6% ya watu wote waliojiandikisha, kushangilia fanatics wa CDM inabidi uwe zoba.
 
na hao wanaopaswa kupiga makofi ole wao wasipige, watasimangwa hadharani na vibao juu, wateule sasa watakuwa kama watoto wanaoishi na mama wa kambo. Itakuwa kutwa masimango ya kuwa mmewekwa tu hapo halafu hamshangilii.
Hahaaaaa wacha nicheke na watasemwa mpaka wajue gharama za kubebwa bebwa hovyo. wanajifanya wameshazoea sasa hivi kule hakuna mpinzani so ukipewa maneno unapewa kwa fujo zote sababu wabaya wao wote hawapo tena ndo atakapowachamba sasa mpaka waite maji mma uzuri wananyenyekea mishahara na posho picha litaanza na Movie za Kutumbua tumbua badae kujiuzulu na kustaafu kwa hiyari,kung'atuka,kushushwa madaraja then watapigwa Onyo asiyeweza kasi/ spidi yangu atoke maana sitamvumilia
Wacha tuone na safari hii namba watazisoma wenyewe kama wenyewe. sidhani kama wengine tutasoma namba tumeshakuwa sugu kwenye haya mambo.

Ubaya huwa hauishagi ukishaufanya kwa jirani yako ukamweza utamtafuta ndugu yako unaishi naye sababu nafsi imezoea kutenda Ubaya tuuuu sisi tutabaki na methali zetu tukiwaangalia.

1.Ndugu wakigombana shika jembe ukalime.

2.Vita vya Panzi furaha kwa kunguru.

3.Bandu bandu humaliza gogo n.k
 
Hakuna cha ajabu wengine vitambulisho vya kupigia kura hatuvitumii kwa ajili ya kupigia kura. La tumevichukua vitusaidie kupata mikopo kichefuchefu.
 
Duhhhhh....
Kumbe ndiomaana tumezimiwa internet..😎😎
 
Ushind Ni ushind tu,.hata Kama tofaut Ni asilimia moja..Bora tu its 50% na kuendelea
 
Karibia asilimia 50 hawakupiga kura
 
Kwa wale mliokua mnapenda hesabu darasani. Magufuli amechaguliwa na watanzania 12.5 million. Watu katika daftari la wapiga kura waliojiandikisha Tanzania nzima 29.8.

Roughly ni kua 42% ya watu wooote wenye vitambulisho vya kura ndio wamemchagua Magufuli.

Hii figure mnaionaje wananzengo?
Usiwe boya wewe..
Tirn up ni wangapi? 84% ya waliopoga kura na hata angeshinda lissu ni hao hao wasingeongezeka...
 
Haa[emoji16][emoji23][emoji28][emoji1][emoji57]
Tutasikia Mengi Zaidi Tukubali Ujanjaujanja Tu
Mimi Msiponiletea Huyu Mtajuta!!
Usinichanganyie Battery Na Gunzi Hiyo Torch Sitaiwasha, Usinichanganyie Gongo Rubisi Na Kabugumo.

Kama Unataka Kunywa Gongo Kunywa Yenyewe Usije Ukatuangusha.

Kura Za Maruhani, Waangalizi Nao Wamechangamka Nadhani Wamekunywa
Kabugumo Yaani Wao Wanasema Nzuri
Haa[emoji3][emoji16][emoji23][emoji28][emoji1][emoji52]
Hahahaaa, duu, mimi nacheka tu..


Madiwaniii, oyeeeee, wabunge , oyeeee.
 
Usiwe boya wewe..
Tirn up ni wangapi? 84% ya waliopoga kura na hata angeshinda lissu ni hao hao wasingeongezeka...
Turn up anzisha uzi mwingine mama. Huu uzi umeisha.
Hata angeshinda nani hesabu zingepogwa tu. Kwani shs ngapi
 
Kwa wale mliokua mnapenda hesabu darasani. Magufuli amechaguliwa na watanzania 12.5 million. Watu katika daftari la wapiga kura waliojiandikisha Tanzania nzima 29.8.

Roughly ni kua 42% ya watu wooote wenye vitambulisho vya kura ndio wamemchagua Magufuli.

Hii figure mnaionaje wananzengo?
Mkuu kujiandikisha kupiga kura na kupiga kura ni vitu viwili tofauti.
Kwenye uchaguzi duniani kote,kula zinazohesabiwa ni zilizopigwa sio waliojiandikisha.
Kitu kingine ambacho unatakiwa kujua ni kwamba huu uchaguzi wa katikati,kwa kawaida wapiga kura huwa hawapigi kura kwa wingi,na kuna sababu.
1- Wengine huwa wanaona aliyepo wadarakani atapita tu hata bila kupigiwa kura.
2-Wengine huwa wanaona upinzani ni dhaifu aliyeko madarakani hawamuezi.
3-Wengine huwa hawapo kwenye vituo vya kupiga kura kwa sababu mbalimbali, kama safari,ugonjwa,kupuuzia tu au na hata kifo.

Kwa kujibu hoja yako,kura zinazohesabiwa duniani kote, ni kura halali zilizopigwa,maana yake kura ikiharibika haitakiwi,na sio watu waliojiandikisha kupiga kura.
Kwa mantiki hiyo, hata wapigakura wangekiwa milioni tano,bado mshindi angetangazwa kwa wingi wa kura halali alizopata.
 
Kwa wale mliokua mnapenda hesabu darasani. Magufuli amechaguliwa na watanzania 12.5 million. Watu katika daftari la wapiga kura waliojiandikisha Tanzania nzima 29.8.

Roughly ni kua 42% ya watu wooote wenye vitambulisho vya kura ndio wamemchagua Magufuli.

Hii figure mnaionaje wananzengo?
Waliojitokeza ni asilimia ngapi ya waaliojiandikisha?

Kwanini Chadema walifeli kumobilise watu wao wakapige kura?
Maana hata mke wa Tundu Lissu tu hakujisumbua kurudi toka Ubelgiji kuja kumpigia kura.
Hapa ndipo walipofeli sana Chadema.
 
Hesabu nzuri ni kwa waliopiga kura na sio waliojiandikisha.
Umenichekesha. MTU kajiandikisha kupiga kura harafu Na kampeni zote hakupiga. Unajua kwa nini? Hakua Na matumaini kama kura yake itazingatiwa .... Inaashiria WIZI.
sasa hizi kura feki mbona wahusika hawakamatwi. Yaani hawajulikani. vyombo vyote vya usalama kimya. basi mkamateni Mdee mana ndio alieziona Na zipo kama ushahidi. Tunachosjkia ni mikwala ya polis hakuna kuandamana. alaaah....
 
Mkuu kujiandikisha kupiga kura na kupiga kura ni vitu viwili tofauti.
Kwenye uchaguzi duniani kote,kula zinazohesabiwa ni zilizopigwa sio waliojiandikisha.
Kitu kingine ambacho unatakiwa kujua ni kwamba huu uchaguzi wa katikati,kwa kawaida wapiga kura huwa hawapigi kura kwa wingi,na kuna sababu.
1- Wengine huwa wanaona aliyepo wadarakani atapita tu hata bila kupigiwa kura.
2-Wengine huwa wanaona upinzani ni dhaifu aliyeko madarakani hawamuezi.
3-Wengine huwa hawapo kwenye vituo vya kupiga kura kwa sababu mbalimbali, kama safari,ugonjwa,kupuuzia tu au na hata kifo.

Kwa kujibu hoja yako,kura zinazohesabiwa duniani kote, ni kura halali zilizopigwa,maana yake kura ikiharibika haitakiwi,na sio watu waliojiandikisha kupiga kura.
Kwa mantiki hiyo, hata wapigakura wangekiwa milioni tano,bado mshindi angetangazwa kwa wingi wa kura halali alizopata.
Kila ulichoandika umepatia nisawa kabisa.
Hoja fikirishi nakupa. Ushawahi sikia katka vikao vya madiwani au wabunge ili suala flani lipite inabidi idadi flani ya wajumbe/wabunge wakubali. Kukosekana kwa idadi kadhaa kwenye kikao husika hilo suala halitapita. ......hujawahi sikia hii kitu??!!!!.....

Kama ushawahi basi ni kua wakati mwingine watoro wa kipiga kura wakizidi kuna msuala yanakataliwa. 42% sio figure nzuri. Haivutii, japo haihusiani na mfano nliokupa hapo juu coz sidhani km sheria hii ipo upande huu.

Japo najiuliza mfano watu wawili tu wangeenda siku ya kupiga kura na wote wakamchagua magufuli, je angepita kama Raisi? Ndio kashinda 100% but watu wa2 tu ndio walienda siku ya kupiga kura. Je ingekuaje? Je hakuna kikomo cha idadi ya watakaoenda kupiga kura??? Nawaza tu lkn
 
Waliojitokeza ni asilimia ngapi ya waaliojiandikisha?

Kwanini Chadema walifeli kumobilise watu wao wakapige kura?
Maana hata mke wa Tundu Lissu tu hakujisumbua kurudi toka Ubelgiji kuja kumpigia kura.
Hapa ndipo walipofeli sana Chadema.
Milioni 15 ndio walijitokeza kupiga kura. Ambayo ni sawa tu 50%
Hilo la Chadema ngoja viongozi wao waje jibu bwashee japo ni hoja fikirishi
 
Back
Top Bottom