Waliomlazimisha Samia Suluhu kuwa Makamu na hatimaye Rais, walifanya makosa sana

Waliomlazimisha Samia Suluhu kuwa Makamu na hatimaye Rais, walifanya makosa sana

Sihitaji..sabb naielewa dunia kuliko unavyoielewa wewe, mnaita wawekezaji kwa kutupa jiwe gizani..as if wawekezaji waliofanikiwa hawajulikani..bora Kikwete alifahamu matokeo ya kutupa jiwe gizani hayakuzaa matunda akabadilisha approach akampata Dangote..mambo madogo km haya unahitaji kufundishwa au kuijua dunia ya leo..
Akili zile zile za kijuaji, hapa tunaongea kwa maandishi na tayari umeshajipatia haki ya kuwa juu yangu mimi!.

Dunia hubadilika mkuu, na mahusiano ya kibiashara huenda yakibadilika, kwamba JK alifanya hvi sio kigezo cha Samia naye kufanya hivyo hivyo alivyofanya.

Tukumbuke ni sisi tuliomponda JPM kwa kutosafiri kwenda huko nje, kwamba anakiogopa kingereza na hana ushawishi miongoni mwa watu wa kimataifa.

Leo hii tumepata rais anayetambua kuwa uwekezaji ni lazima utafutwe huko nje, tunarudia mawazo yetu yale yale ya kumuona JPM na watangulizi wake kwamba walikuwa sahihi.

SSH afanye anavyoona yeye inafaa kwa faida ya Jamhuri ya Muungano anayoiongoza, hii miluzi ni mingi sana itampoteza mbwa.
 
Akili zile zile za kijuaji, hapa tunaongea kwa maandishi na tayari umeshajipatia haki ya kuwa juu yangu mimi!.

Dunia hubadilika mkuu, na mahusiano ya kibiashara huenda yakibadilika, kwamba JK alifanya hvi sio kigezo cha Samia naye kufanya hivyo hivyo alivyofanya.

Tukumbuke ni sisi tuliomponda JPM kwa kutosafiri kwenda huko nje, kwamba anakiogopa kingereza na hana ushawishi miongoni mwa watu wa kimataifa.

Leo hii tumepata rais anayetambua kuwa uwekezaji ni lazima utafutwe huko nje, tunarudia mawazo yetu yale yale ya kumuona JPM na watangulizi wake kwamba walikuwa sahihi.

SSH afanye anavyoona yeye inafaa kwa faida ya Jamhuri ya Muungano anayoiongoza, hii miluzi ni mingi sana itampoteza mbwa.
Wapi nimejipatia haki kuwa juu yako? Wewe huna uwezo kunifundisha mimi kwa lolote! Unachoandika hapa kinareveal uwezo wako wa kufikiri na wrong mentality ulizo nazo, mojawapo ni kudhani kila analolifanya kiongozi ni sahihi..VERY WRONG! hata yeye Rais Samia aliwahi kusema mahali fulani..kwamba mambo mengi wanayofanya serikali yanakuwa na mapungufu mengi kiasi kwamba, yanayosemwa pembeni na watu nje ya serikali yanaonekana ni bora zaidi ya yanayofanyika..umeng'ang'ana na pambio ya uwekezaji km vile bila hiyo hakuna lolote Zuri litafanyika..wewe mambo yako ndani yamekaa sawa? hivi Miaka 5 iliyopita nini kiliharibika kwenye maisha ya watu, bei ya vitu ilipanda? Umeme ulisumbua? Kulikuwa na uhaba wa chakula? Uhalifu uliongezeka? Nini hasa kiliharibika pamoja na kutokuimba pambio ya uwekezaji km ilivyo sasa! Huwezi ukafanya pambio ya uwekezaji km ndiyo mkombozi wa matatizo yote uliyo nayo..! Wawekezaji na wafanyabiashara wana parameters zao kupima possibilities kabla ya kuamua! Kwa akili yako unajidanganya kwamba wapo wawekezaji hawajui Tanzania kuna nini na hivyo wanategemea wewe uende kuwaimbia Wimbo wa uwekezaji ndio waje sasa..
Tanzania inaharibiwa na watu wachache kudhani wao wanajua kila kitu na kila wanachoamua ni sahihi..kumbe sivyo! mara sijui kingereza, sijui ushawishi..hamna lolote, ubabaishaji tu na kupoteza kodi ya watu kwa mambo yasiyo na tija kwa nchi ukilinganisha na nguvu inayotumika.
 
Wapi nimejipatia haki kuwa juu yako? Wewe huna uwezo kunifundisha mimi kwa lolote! Unachoandika hapa kinareveal uwezo wako wa kufikiri na wrong mentality ulizo nazo, mojawapo ni kudhani kila analolifanya kiongozi ni sahihi..VERY WRONG! hata yeye Rais Samia aliwahi kusema mahali fulani..kwamba mambo mengi wanayofanya serikali yanakuwa na mapungufu mengi kiasi kwamba, yanayosemwa pembeni na watu nje ya serikali yanaonekana ni bora zaidi ya yanayofanyika..umeng'ang'ana na pambio ya uwekezaji km vile bila hiyo hakuna lolote Zuri litafanyika..wewe mambo yako ndani yamekaa sawa? hivi Miaka 5 iliyopita nini kiliharibika kwenye maisha ya watu, bei ya vitu ilipanda? Umeme ulisumbua? Kulikuwa na uhaba wa chakula? Uhalifu uliongezeka? Nini hasa kiliharibika pamoja na kutokuimba pambio ya uwekezaji km ilivyo sasa! Huwezi ukafanya pambio ya uwekezaji km ndiyo mkombozi wa matatizo yote uliyo nayo..! Wawekezaji na wafanyabiashara wana parameters zao kupima possibilities kabla ya kuamua! Kwa akili yako unajidanganya kwamba wapo wawekezaji hawajui Tanzania kuna nini na hivyo wanategemea wewe uende kuwaimbia Wimbo wa uwekezaji ndio waje sasa..
Tanzania inaharibiwa na watu wachache kudhani wao wanajua kila kitu na kila wanachoamua ni sahihi..kumbe sivyo! mara sijui kingereza, sijui ushawishi..hamna lolote, ubabaishaji tu na kupoteza kodi ya watu kwa mambo yasiyo na tija kwa nchi ukilinganisha na nguvu inayotumika.
Umeandika mengi lakini ni lawama na malalamiko. SSH akiwa kama rais anao wajibu wa kufanya analoweza kubadlisha maisha ya watu anaowaongoza.

Kupanda bei ya vitu ni suala la kidunia, halijaanza na halitaishia Tanzania hivyo lawama zako na machungu yako ni kazi bure tu.

JPM alilalamikiwa kwa kutosafiri na SSH analalamikiwa kwa kusafiri, tunalo tatizo la afya zetu kwa maana lipo ndani kabisa ya DNA zetu. Labda tukiombewa na wachungaji na mashekhe linaweza kututoka.
 
Umeandika mengi lakini ni lawama na malalamiko. SSH akiwa kama rais anao wajibu wa kufanya analoweza kubadlisha maisha ya watu anaowaongoza.

Kupanda bei ya vitu ni suala la kidunia, halijaanza na halitaishia Tanzania hivyo lawama zako na machungu yako ni kazi bure tu.

JPM alilalamikiwa kwa kutosafiri na SSH analalamikiwa kwa kusafiri, tunalo tatizo la afya zetu kwa maana lipo ndani kabisa ya DNA zetu. Labda tukiombewa na wachungaji na mashekhe linaweza kututoka.
Ukitaka kumjua mtu kuwa ni mjinga wa mwisho na pengine mpumbavu ni pale analeta utetezi wa ulinganisho..eti km hapa Tanzania kuna wezi wa mali ya umma si hapa tu hata sehemu nyingine duniani kuna wezi vile vile, ujue kichwani kwa mtu km huyo kuna walakini anahitaji tiba..! kwa hiyo serikali haitaki ilaumiwe au lawama ni kosa kisheria..nadhani mwenye akili anapolaumiwa basi vema ajiulize nature za lawama zina substance? Unarudia rudia ujinga tu, mara sijui kulia lia, mara lawama, anyway pengine uwezo wa akili yako fupi inaona hayo ndio majors kuliko mengine yote unayosoma..
Hivi tunachokisema hapa ni safari za nje? au namna ajenda ya uwekezaji inavyofanywa na kupewa priority isivyostahili..! Mtu anayeperform kadiri ya uwezo wake hasumbuliwi na lawama za aina yoyote, na vile kodi yetu inatumiwa tofauti na tunavyotaka nasisi hatutaacha kusema, ukiona lawama zinakukera Acha hiyo kazi wapo wengine watafanya wanaokubali lawama na kuzifanyia kazi..that's all!
 
Hata mwenda... hakua na sifa wala uwezo wa kua rais sema timu Lowasa ndio walimuweka kwa hasira ya kukatwa mtu wao, matokeo yake badala ya kutuletea rais bora wakatuletea takataka ituongoze
Mwendazake was fine niamini, unaiona Rwanda ina mtu kama mwendazake na inasogea.
 
Ukitaka kumjua mtu kuwa ni mjinga wa mwisho na pengine mpumbavu ni pale analeta utetezi wa ulinganisho..eti km hapa Tanzania kuna wezi wa mali ya umma si hapa tu hata sehemu nyingine duniani kuna wezi vile vile, ujue kichwani kwa mtu km huyo kuna walakini anahitaji tiba..! kwa hiyo serikali haitaki ilaumiwe au lawama ni kosa kisheria..nadhani mwenye akili anapolaumiwa basi vema ajiulize nature za lawama zina substance? Unarudia rudia ujinga tu, mara sijui kulia lia, mara lawama, anyway pengine uwezo wa akili yako fupi inaona hayo ndio majors kuliko mengine yote unayosoma..
Hivi tunachokisema hapa ni safari za nje? au namna ajenda ya uwekezaji inavyofanywa na kupewa priority isivyostahili..! Mtu anayeperform kadiri ya uwezo wake hasumbuliwi na lawama za aina yoyote, na vile kodi yetu inatumiwa tofauti na tunavyotaka nasisi hatutaacha kusema, ukiona lawama zinakukera Acha hiyo kazi wapo wengine watafanya wanaokubali lawama na kuzifanyia kazi..that's all!
Unaandika na hisia kali mpaka unatumia matusi ya wazi kabisa mkuu Truevoter. Kama kujitegema ni rahisi sana tungeshakuwa tunajitegemea siku nyingi sana.

Hakuna nchi iliyojaribu kujitegemea pasipo kutumia vionjo vya mataifa mengine, dunia sio kisiwa tunawahitaji wa huko nje na sisi wanatuhitaji pia.

JPM alikuwa muumini wa kujitegemea, wazungu wakawa wanamuangalia tu na wale wenye mitazamo ya kawaida wa humu ndani wakawa wanamkejeli. Ameingia SSH haamini katika sera hizo za kujifungia ndani tu na anazo hoja za kutetea misimamo yake.

Maendeleo ya kweli ni vitendo sio malalamiko ya JF, kuna majukumu mengi sana yanayomtegemea mkuu wa nchi, lazima atoke nje kutafuta majibu ya yanayotusumbua humu ndani.
 
Unaandika na hisia kali mpaka unatumia matusi ya wazi kabisa mkuu Truevoter. Kama kujitegema ni rahisi sana tungeshakuwa tunajitegemea siku nyingi sana.

Hakuna nchi iliyojaribu kujitegemea pasipo kutumia vionjo vya mataifa mengine, dunia sio kisiwa tunawahitaji wa huko nje na sisi wanatuhitaji pia.

JPM alikuwa muumini wa kujitegemea, wazungu wakawa wanamuangalia tu na wale wenye mitazamo ya kawaida wa humu ndani wakawa wanamkejeli. Ameingia SSH haamini katika sera hizo za kujifungia ndani tu na anazo hoja za kutetea misimamo yake.

Maendeleo ya kweli ni vitendo sio malalamiko ya JF, kuna majukumu mengi sana yanayomtegemea mkuu wa nchi, lazima atoke nje kutafuta majibu ya yanayotusumbua humu ndani.
Wewe unataka unayoita malalamiko yapelekwe au yakaongelewe barazani wizara isiyokuwa na kazi maalum au? Mambo mangapi serikali inachukua kutoka JF au wewe hufahamu..wewe malalamiko ndio yanakukera, fanyia kazi, analalamikiwa kiongozi wa dini sembuse wewe..kiongozi aende nje km kuna need ya kwenda nje, halafu usipotoshe maana ya kujitegemea, kujitegemea hakuna maana ya kutohitaji mashirikiano na majirani, au unavyosema kujifungia ndani..zama za JPM mbona Marehemu Mzee Mahiga alikuwa anasafiri sana kudeal na foreign issues zote..tunachokataa ni hulka ya kutegemea wengine na kutoa ujumbe km wao ni namba moja kwa maendeleo yetu, bila wao hatuwezi lolote! Mambo mengi yana majibu hapa hapa ndani..hata uwekezaji andaa watu wako kwanza, uwekezaji wa kuleta watu hapa then zaidi ya 80% ya wanachopata wanapeleka kwao huo uwekezaji ni wa kijinga..haufai, lkn sabb unawakimbilia na kuwaona wao ni namba moja lazima wakupe hayo masharti ya kuwa na umiliki wa beyond 80% ya uwekezaji wakati resources ni zako! Nimekuuliza wakati pambio ya uwekezaji ilisimama kuimbwa nini kilikosekana kwa wananchi ambacho sasa ndio kipo?
Hakuna mahali nimetukana, maneno ninayotumia hata kwenye kitabu kitakatifu cha imani yangu yanatumika pia..tatizo ni wewe uwezo wa akili yako kupokea na kuelewa maana ya kinachosemwa.
 
Wewe unataka unayoita malalamiko yapelekwe au yakaongelewe barazani wizara isiyokuwa na kazi maalum au? Mambo mangapi serikali inachukua kutoka JF au wewe hufahamu..wewe malalamiko ndio yanakukera, fanyia kazi, analalamikiwa kiongozi wa dini sembuse wewe..kiongozi aende nje km kuna need ya kwenda nje, halafu usipotoshe maana ya kujitegemea, kujitegemea hakuna maana ya kutohitaji mashirikiano na majirani, au unavyosema kujifungia ndani..zama za JPM mbona Marehemu Mzee Mahiga alikuwa anasafiri sana kudeal na foreign issues zote..tunachokataa ni hulka ya kutegemea wengine na kutoa ujumbe km wao ni namba moja kwa maendeleo yetu, bila wao hatuwezi lolote! Mambo mengi yana majibu hapa hapa ndani..hata uwekezaji andaa watu wako kwanza, uwekezaji wa kuleta watu hapa then zaidi ya 80% ya wanachopata wanapeleka kwao huo uwekezaji ni wa kijinga..haufai, lkn sabb unawakimbilia na kuwaona wao ni namba moja lazima wakupe hayo masharti ya kuwa na umiliki wa beyond 80% ya uwekezaji wakati resources ni zako! Nimekuuliza wakati pambio ya uwekezaji ilisimama kuimbwa nini kilikosekana kwa wananchi ambacho sasa ndio kipo?
Hakuna mahali nimetukana, maneno ninayotumia hata kwenye kitabu kitakatifu cha imani yangu yanatumika pia..tatizo ni wewe uwezo wa akili yako kupokea na kuelewa maana ya kinachosemwa.
Mtu akiyasoma maelezo yako anaweza kupata picha ya kwamba watanzania wanao uwezo mkubwa wa kujitegemea kumbe ni aina fulani ya watu wa hovyo tu.

Unavyoongea ni kama vile kiteknolojia tupo juu sana wakati ukweli halisi tunauona na kuufahamu vyema.

JPM hakwenda nje na sio kwamba aliamini sana katika falsafa za kujitegemea, hakuwa na kipaji cha kujichanganya ndio ukweli wenyewe, hakuwa na skills za kuweza kushawishi uwekezaji na akafanikiwa.

Kujitegemea kila mtu analo lengo hilo. Lakini sisi kama sisi tutaishia kujazana viburi na kujisifia kile tulichopewa na Mungu pasipo kujua ni namna gani kinaweza kubadilisha hali zetu za maisha.
 
Mtu akiyasoma maelezo yako anaweza kupata picha ya kwamba watanzania wanao uwezo mkubwa wa kujitegemea kumbe ni aina fulani ya watu wa hovyo tu.

Unavyoongea ni kama vile kiteknolojia tupo juu sana wakati ukweli halisi tunauona na kuufahamu vyema.

JPM hakwenda nje na sio kwamba aliamini sana katika falsafa za kujitegemea, hakuwa na kipaji cha kujichanganya ndio ukweli wenyewe, hakuwa na skills za kuweza kushawishi uwekezaji na akafanikiwa.

Kujitegemea kila mtu analo lengo hilo. Lakini sisi kama sisi tutaishia kujazana viburi na kujisifia kile tulichopewa na Mungu pasipo kujua ni namna gani kinaweza kubadilisha hali zetu za maisha.
Sijui hizo kazi huwa mnazipataje..ts peculiar! Kwa taarifa yako, wapo watanzania nje ya serikali wenye uwezo kushinda wewe n your folks, si uwezo wa makaratasi unaowapumbaza kudhani elimu ya vyeti ndio uwezo! Think your brain s weak that's why you use lot of energy to suppress n discourage on ways to engage Tanzanians having powerful brain than you..
Nani amesema tuko juu kiteknolojia, halafu teknolojia kwa maana gani unaongelea..teknolojia pekee ndio inakufanya uimbe pambio za uwekezaji kwa sabb hapa haipo? After all hakuna kipaji cha kujichanganya, what s that..kazi ya ushawishi si lazima aifanye kiongozi mkuu, JPM decided to direct his attention to issues that believed were damaging this nation..theft, corruption, embezzlement, lack of discipline, seriousness..selfishness..etc mpime kwa hayo! Nadhan hayo ndio msingi badala ya kuanza kuimba pambio ya uwekezaji, itakusaidia nini teknolojia km umejaza wezi kila mahali, kwao kazi ni starehe na kusifia sifia as if wanajiandaa uchaguzi mkuu ni wiki ijayo..somo zuri kwa watanzania hata leo ni Kazi na kujitegemea km Mwalimu alivyofundisha kabla ya hizo pambio za uwekezaji..unazitetea pambio sabb akili yako inatumia tumbo kuamua.
 
Kwa mtazamo wangu, naona kabisa Mama Samia hakupaswa kuwa kiongozi mkubwa wa kitaifa. Kauli zake, mwenendo na maono yake vinadhihirisha wazi.

Ni kiongozi ambaye kwa kauli zake na maamuzi yake anaonesha wazi hakuwa na maono yoyote ya kuongoza taifa.

Teuzi za kulazimishana hufanyika sana hasa ndani ya vyama. Ifike mahali viongozi wa kiserikali wapewe fursa ya kuomba kuteuliwa na waeleze maono yao endapo watapewa nyadhifa hizo. Kuanzia ngazi urais, makamu, waziri mkuu na mawaziri wote.

Kabla mtu ajateuliwa, maombi yatumwe, na iundwe tume huru ya kuwafanyia usaili. Kuna watu wanaweza kupata teuzi ilihali hawana kabisa maono juu ya majukumu waliyopewa.

Matokeo yake wanakuwa kama bendera kufuata upepo!

NB: Haya ni maoni yangu tu kama Mtanzania. Sina chuki, wivu wala hasira na kiongozi yeyote. Tunachohitaji ni uzalendo wa kweli toka kwa viongozi wetu!
 
Back
Top Bottom