Waliomteka Baba Wa Mikel Obi walijuta baada ya habari kumfikia Abramovic

Waliomteka Baba Wa Mikel Obi walijuta baada ya habari kumfikia Abramovic

Warusi ni wahuni sana huwa hawa negotiate na wapuuzi Wana njia zao za kudeal na wahuni
Kuna kipindi hizbollah walioteka wanadiplomasia watatu waurusi Ili kuishinikiza urusi iilazamishe Syria iache kukibonda kikundi chakigaid Cha Syria
Baada ya siku kakadhaa ukapatikana mwili mmoja Russian diplomat kwa airport umetupwa huku hizbollah wakiendelea kulazimisha demands zao kwa warusi , kikosi maalumu Cha urusi kilitua Lebanon kikawateka ndugu wakaribu wa kiongoz wa hizbollah wakamkata Mapumbu Kisha wakamtia risas ya fuvu ,wakatuma kifurushi chenye picha ya marehemu baada ya risas pia wakatuma vipande vya Mapumbu ya mwamba na baraua iliyosema hizo korodan zilikatwa kabla ya kuuawa na hio hali itaendelea kwa ndugu zake wote mpaka watakapoisha yeye atakua wa mwisho unless wawaachie hao wanadiplomasia ,
Jamaa waliachia siku ileile bila masharti Wala neno lolote since then magadi wamejifunza kuwatoa warusi kwenye assets zao
 
Huyo ni tajiri wa levo za kidunia,na ukute ni spy,watu wengi wenye utajiri mithili ya akina Elon,Gates n.k huwa na taarifa nyingi na hutumika na mashirika ya ujasusi kwa malengo ya mataifa yao na wao wenyewe kufanikisha mambo mengi.Taarifa alizonazo Bakhresa ni nyingi sana na ni nyeti, halikadhalika Diamond Platinumz,hao watu wawili niliowaandka,wanaweza kuwasiliana na watu wa nyumba nyeupe muda wowote,saa yoyote,ilhali sisi makapuku hata namba ya MAMA, hatuna.
 
Huyo ni tajiri wa levo za kidunia,na ukute ni spy,watu wengi wenye utajiri mithili ya akina Elon,Gates n.k huwa na taarifa nyingi na hutumika na mashirika ya ujasusi kwa malengo ya mataifa yao na wao wenyewe kufanikisha mambo mengi.Taarifa alizonazo Bakhresa ni nyingi sana na ni nyeti, halikadhalika Diamond Platinumz,hao watu wawili niliowaandka,wanaweza kuwasiliana na watu wa nyumba nyeupe muda wowote,saa yoyote,ilhali sisi makapuku hata namba ya MAMA, hatuna.
Kama marefumu ruge alikuwa na kikundi chake cha kijasusi alicho kipenyeza serikalini
 
Huyo ni tajiri wa levo za kidunia,na ukute ni spy,watu wengi wenye utajiri mithili ya akina Elon,Gates n.k huwa na taarifa nyingi na hutumika na mashirika ya ujasusi kwa malengo ya mataifa yao na wao wenyewe kufanikisha mambo mengi.Taarifa alizonazo Bakhresa ni nyingi sana na ni nyeti, halikadhalika Diamond Platinumz,hao watu wawili niliowaandka,wanaweza kuwasiliana na watu wa nyumba nyeupe muda wowote,saa yoyote,ilhali sisi makapuku hata namba ya MAMA, hatuna.
Kama marefumu ruge alikuwa na kikundi chake cha kijasusi alicho kipenyeza serikalini
 
Warusi ni wahuni sana huwa hawa negotiate na wapuuzi Wana njia zao za kudeal na wahuni
Kuna kipindi hizbollah walioteka wanadiplomasia watatu waurusi Ili kuishinikiza urusi iilazamishe Syria iache kukibonda kikundi chakigaid Cha Syria
Baada ya siku kakadhaa ukapatikana mwili mmoja Russian diplomat kwa airport umetupwa huku hizbollah wakiendelea kulazimisha demands zao kwa warusi , kikosi maalumu Cha urusi kilitua Lebanon kikawateka ndugu wakaribu wa kiongoz wa hizbollah wakamkata Mapumbu Kisha wakamtia risas ya fuvu ,wakatuma kifurushi chenye picha ya marehemu baada ya risas pia wakatuma vipande vya Mapumbu ya mwamba na baraua iliyosema hizo korodan zilikatwa kabla ya kuuawa na hio hali itaendelea kwa ndugu zake wote mpaka watakapoisha yeye atakua wa mwisho unless wawaachie hao wanadiplomasia ,
Jamaa waliachia siku ileile bila masharti Wala neno lolote since then magadi wamejifunza kuwatoa warusi kwenye assets zao
Kudadadeki ......noma sana...
 
ILA MAISHA HAYA MATHIEU FLAMINI WA ARSENAL SASAIVI HE IS MORE WEALTH THAN ROMAN ABRAMOVIC 14 USD BILLIONS BAADA YA KUINGIA KWENYE BIASHARA DUH WAKATI ROMAN ANA 9USD NET WORTH
 
Hivyo ndivyo matajiri wengi wanaishi. Wengi wanakua na intelijensia yao binafsi ya kupokea taarifa mbalimbali na hata ulinzi binafsi. Hiyo intelligence inahusika na kila kitu cha muhusika biashara, familia, mambo ya siasa, afya ya muhusika, namna anavyotakiwa kuji engage kwenye biashara nyingine na hata siasa. Sasa humo kuna mafia, spy na watu tofauti kwa ajili kupokea taarifa mbalimbali. Mostlty huwa tunaona walinzi nyuma yao ila kuna kundi kubwa la watu nyuma wanaosababisha mambo ya huyo muhusika kwenda.

Sasa kwa case ya Roman Abramovic yeye intelijensia yake lazima ni kubwa kwa hiyo case kama hiyo ya Mikel kwao inakua ndogo sana ndani ya muda mfupi wanakua wamemaliza kimya kimya na kurudi kwao chap.

PESA INALINDWA
 
Alikuwepo Landon kama KBG branch ,alishakanyaga mstari mwekundu alikuwa anasubiriwa tu pavuje ilivonyesha mpaka Leo yuko kwao Israel
Mpaka muda huu sijawahi kusikia ishu kama hy ikithibitishwa ila ilikuwa n maneno ya chini chini.

Yn spy akae Kwenye nchi yako muda wote huo afu ety useme unasubiri patakaponyesha ndipo umuondoe vp kama pasingekuwa na hy vita.?

Inawezekana kweli jamaa alikuwa branch ya KBG lkn bc hakuwa na madhara kwa UK ndio maana akakaa muda mrefu hvy, ila kilichomuondoa pale London n siasa za kuwadidimiza wawekezaji wa Russia tuu na sio vinginevyo.
 
Kiboko yake uingereza ,mwamba alipitia magumu mno
Uingereza tayari ni serikali na ina mfumo rasmi tofauti na hao waliomteka Baba yake Obi mikel ni Majangili tuu...kuna tofauti kati ya kudeal na Serikali na kudeal na kikundi cha wahuni...
 
Back
Top Bottom