Waliomteka Baba Wa Mikel Obi walijuta baada ya habari kumfikia Abramovic

Waliomteka Baba Wa Mikel Obi walijuta baada ya habari kumfikia Abramovic

Mpaka muda huu sijawahi kusikia ishu kama hy ikithibitishwa ila ilikuwa n maneno ya chini chini.

Yn spy akae Kwenye nchi yako muda wote huo afu ety useme unasubiri patakaponyesha ndipo umuondoe vp kama pasingekuwa na hy vita.?

Inawezekana kweli jamaa alikuwa branch ya KBG lkn bc hakuwa na madhara kwa UK ndio maana akakaa muda mrefu hvy, ila kilichomuondoa pale London n siasa za kuwadidimiza wawekezaji wa Russia tuu na sio vinginevyo.
Alikuwa na madhara kwasababu ndie alikuwa mfadhiri mkuu wa KGB waliokuwa wanaenda kwajili ya oparesheni mbalimbali rejea jasusi wa kirusi aliyempa sumu , mwana KGB na mwanae aliyekuwa ndumilakuwili (akifanya kazi na urusi na UK)

Pia ,vita ya Ukraine alikuwa mfadhiri anayemwaga pesa kwa urusi

Lamwisho kwa ufupi kwenye hayo ,huyu mwamba ni Moja ya masela waputin waliofanikisha kumweka madarakani PUTIN ,yaani huyu mwamba na yule mkuu wa Wagner aliyelipuliwa kama wanatofauti basi ni sehemu ndogo ya majukumu
 
Uingereza tayari ni serikali na ina mfumo rasmi tofauti na hao waliomteka Baba yake Obi mikel ni Majangili tuu...kuna tofauti kati ya kudeal na Serikali na kudeal na kikundi cha wahuni...
Niko nawewe Wala hamna tabu
 
Mpaka muda huu sijawahi kusikia ishu kama hy ikithibitishwa ila ilikuwa n maneno ya chini chini.

Yn spy akae Kwenye nchi yako muda wote huo afu ety useme unasubiri patakaponyesha ndipo umuondoe vp kama pasingekuwa na hy vita.?

Inawezekana kweli jamaa alikuwa branch ya KBG lkn bc hakuwa na madhara kwa UK ndio maana akakaa muda mrefu hvy, ila kilichomuondoa pale London n siasa za kuwadidimiza wawekezaji wa Russia tuu na sio vinginevyo.
Na umilikaji wa club na mambo mengine ndani ya UK ,ilikua kivuli asije akaulizwa mjini London kazi yake Nini ,sawa na wewe ukamatwe na polisi usiku kwenu mabatini hapo mbeya mjini ,uulizwe unatoka wapi ,kama huna unapotoka kazini basi unalo
 
[emoji1184][emoji2788] John Obi Mikel:
Baba yangu alitekwa nyara wakati nilipokuwa nikiichezea Nchi yangu Nigeria katika Kombe la Dunia la Mwaka 2018 lililopigwa nchini Urusi.

Tulikuwa tunakaribia kucheza dhidi ya Argentina.
Masaa mawili kabla ya mchezo nilipata simu kutoka kwa Ndugu yangu akisema baba yangu alitekwa.

Zamani aliwahi kutekwa nyara, ilitushangaza, lakini hii ya mara ya pili ilikuwa ya kushangaza na kustusha zaidi kwa sababu nilikuwa karibu kwenda kukiputa katika moja ya mchezo mkubwa maisha mwangu.

Sikuweza kuondoka kwenye chumba.
Sikuweza kumwambia mtu yeyote.
Nilikuwa peke yangu katika chumba kwa muda wa dakika 30 huku nikifikiria nifanye nini?

Timu nzima ya Nigeria tulikuwa kwenye maandalizi makubwa kwa maana tulikuwa karibu kuingia katika mchezo mkubwa wa maisha yetu. Tulikuwa karibu kucheza dhidi ya Lionel Messi na Argentina.

Sikuweza kumwambia Mtu yeyote katika Timu yetu kwa maana ningeweza kuwavuruga wenzangu na kuwatoa kwenye mawazo ya Mchezo.

Lakini akili ya haraka ikanijia na nikakumbuka kumpigia Simu Mwamba Roman Abramovich na kumueleza juu ya yote yaliomkuta Baba yangu.

Mwamba ni Mwamba tu, Roman aliniuliza je umeshaongea na Mtu yeyote kwa msaada?!

Nami nikamjibu hapana, na kumwambia baada ya kupokea Simu toka kwa Ndugu yangu sijaongea na Mtu yeyote zaidi yako.

Kisha Roman akaniuliza Je, unataka mimi kuwatuma watu kwenda kumuokoa Baba yako akiwa hai?!

Nilipigwa na butwaa, sikuweza ongea chochote wala kujibu lolote.

Kisha Roman akaniambia usiwe na wasiwasi juu ya hilo. Nijulishe kama unataka chaguo hilo, naweza kufanya hivyo muda wowote kuanzia hivi sasa.

Siku 4 baada ya mchezo dhidi ya Argentina, baba yangu aliachiliwa huru bila gharama yoyote, na hata waliomteka hawajajulikana mpaka Leo.

View attachment 2811907View attachment 2811908
Kutuambia kwamba baba yake aliachiwa bure kwa influence ya Roman Abramovich ni uwongo. Wewe utakua shabiki wa chelsea unashindwa kuficha mahaba yako kwa Roman.

Akihojiwa na gazeti la uingereza la Daily Mail, Obi anakiri kwamba ilimlazimu kuwalipa watekaji kiasi kikubwa cha fedha ili wamwachie baba yake.
Screenshot_20231113-000925.jpg


Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Alikuwa na madhara kwasababu ndie alikuwa mfadhiri mkuu wa KGB waliokuwa wanaenda kwajili ya oparesheni mbalimbali rejea jasusi wa kirusi aliyempa sumu , mwana KGB na mwanae aliyekuwa ndumilakuwili (akifanya kazi na urusi na UK)

Pia ,vita ya Ukraine alikuwa mfadhiri anayemwaga pesa kwa urusi

Lamwisho kwa ufupi kwenye hayo ,huyu mwamba ni Moja ya masela waputin waliofanikisha kumweka madarakani PUTIN ,yaani huyu mwamba na yule mkuu wa Wagner aliyelipuliwa kama wanatofauti basi ni sehemu ndogo ya majukumu
Kama ni hivyo jamaa anatisha
 
Wapo white house kufua vyupi vya minido [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Halafu ni watu wazima na midevu Yao Yan.

Hovyo sana wananunulika Kwa vitu vidogo Sana, ambavyo hata havina future
 
Huyo ni tajiri wa levo za kidunia,na ukute ni spy,watu wengi wenye utajiri mithili ya akina Elon,Gates n.k huwa na taarifa nyingi na hutumika na mashirika ya ujasusi kwa malengo ya mataifa yao na wao wenyewe kufanikisha mambo mengi.Taarifa alizonazo Bakhresa ni nyingi sana na ni nyeti, halikadhalika Diamond Platinumz,hao watu wawili niliowaandka,wanaweza kuwasiliana na watu wa nyumba nyeupe muda wowote,saa yoyote,ilhali sisi makapuku hata namba ya MAMA, hatuna.
Yan mondi ampigie sa100 Simu Muda wowote anao taka yeye 😂, okay sawa
 
Uyu mwamba ni Russian Spetsnaz,usa retired special forces ,Italian mafia...Japan kakamucho , Tanzania matofali komando
This dude ana mkono mkubwa ktk Putin kuwa Rais.. Man n half huyu mshakaji.
Nimewaza why alikuwa mtu wa kwanza kupigiwa simu na kuelezwa kuhusu utekaji.
 
🇳🇬🗣️ John Obi Mikel:
Baba yangu alitekwa nyara wakati nilipokuwa nikiichezea Nchi yangu Nigeria katika Kombe la Dunia la Mwaka 2018 lililopigwa nchini Urusi.

Tulikuwa tunakaribia kucheza dhidi ya Argentina.
Masaa mawili kabla ya mchezo nilipata simu kutoka kwa Ndugu yangu akisema baba yangu alitekwa.

Zamani aliwahi kutekwa nyara, ilitushangaza, lakini hii ya mara ya pili ilikuwa ya kushangaza na kustusha zaidi kwa sababu nilikuwa karibu kwenda kukiputa katika moja ya mchezo mkubwa maisha mwangu.

Sikuweza kuondoka kwenye chumba.
Sikuweza kumwambia mtu yeyote.
Nilikuwa peke yangu katika chumba kwa muda wa dakika 30 huku nikifikiria nifanye nini?

Timu nzima ya Nigeria tulikuwa kwenye maandalizi makubwa kwa maana tulikuwa karibu kuingia katika mchezo mkubwa wa maisha yetu. Tulikuwa karibu kucheza dhidi ya Lionel Messi na Argentina.

Sikuweza kumwambia Mtu yeyote katika Timu yetu kwa maana ningeweza kuwavuruga wenzangu na kuwatoa kwenye mawazo ya Mchezo.

Lakini akili ya haraka ikanijia na nikakumbuka kumpigia Simu Mwamba Roman Abramovich na kumueleza juu ya yote yaliomkuta Baba yangu.

Mwamba ni Mwamba tu, Roman aliniuliza je umeshaongea na Mtu yeyote kwa msaada?!

Nami nikamjibu hapana, na kumwambia baada ya kupokea Simu toka kwa Ndugu yangu sijaongea na Mtu yeyote zaidi yako.

Kisha Roman akaniuliza Je, unataka mimi kuwatuma watu kwenda kumuokoa Baba yako akiwa hai?!

Nilipigwa na butwaa, sikuweza ongea chochote wala kujibu lolote.

Kisha Roman akaniambia usiwe na wasiwasi juu ya hilo. Nijulishe kama unataka chaguo hilo, naweza kufanya hivyo muda wowote kuanzia hivi sasa.

Siku 4 baada ya mchezo dhidi ya Argentina, baba yangu aliachiliwa huru bila gharama yoyote, na hata waliomteka hawajajulikana mpaka Leo.

View attachment 2811907View attachment 2811908
Jembe Roman
 
Kisha Roman akaniuliza Je, unataka mimi kuwatuma watu kwenda kumuokoa Baba yako akiwa hai?!

Kisha Roman akaniambia usiwe na wasiwasi juu ya hilo. Nijulishe kama unataka chaguo hilo, naweza kufanya hivyo muda wowote kuanzia hivi sasa.
Mwisho wa kunukuu
 
Warusi ni wahuni sana huwa hawa negotiate na
Usisahau huyu mwamba asili yake ni Israel. Sasa hapo chukua akili ya kiyahudi uweke itikadi za Urusi, ndio unapata pure Roma Abramovich
 
Sema cossacks ni watu washenzi sana, yaani ukisikia dirty people's ni Hawa jamaa, roho zao sijui zikoje, binadamu tupo tofauti lakini Hawa roho ngumu kwao ipo kiwango cha juu sana though ni wapambanaji hawaridhiki.
 
Back
Top Bottom