Waliomteka Baba Wa Mikel Obi walijuta baada ya habari kumfikia Abramovic

Alikuwa na madhara kwasababu ndie alikuwa mfadhiri mkuu wa KGB waliokuwa wanaenda kwajili ya oparesheni mbalimbali rejea jasusi wa kirusi aliyempa sumu , mwana KGB na mwanae aliyekuwa ndumilakuwili (akifanya kazi na urusi na UK)

Pia ,vita ya Ukraine alikuwa mfadhiri anayemwaga pesa kwa urusi

Lamwisho kwa ufupi kwenye hayo ,huyu mwamba ni Moja ya masela waputin waliofanikisha kumweka madarakani PUTIN ,yaani huyu mwamba na yule mkuu wa Wagner aliyelipuliwa kama wanatofauti basi ni sehemu ndogo ya majukumu
 
Uingereza tayari ni serikali na ina mfumo rasmi tofauti na hao waliomteka Baba yake Obi mikel ni Majangili tuu...kuna tofauti kati ya kudeal na Serikali na kudeal na kikundi cha wahuni...
Niko nawewe Wala hamna tabu
 
Na umilikaji wa club na mambo mengine ndani ya UK ,ilikua kivuli asije akaulizwa mjini London kazi yake Nini ,sawa na wewe ukamatwe na polisi usiku kwenu mabatini hapo mbeya mjini ,uulizwe unatoka wapi ,kama huna unapotoka kazini basi unalo
 
Kutuambia kwamba baba yake aliachiwa bure kwa influence ya Roman Abramovich ni uwongo. Wewe utakua shabiki wa chelsea unashindwa kuficha mahaba yako kwa Roman.

Akihojiwa na gazeti la uingereza la Daily Mail, Obi anakiri kwamba ilimlazimu kuwalipa watekaji kiasi kikubwa cha fedha ili wamwachie baba yake.

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Kama ni hivyo jamaa anatisha
 
Wapo white house kufua vyupi vya minido [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Halafu ni watu wazima na midevu Yao Yan.

Hovyo sana wananunulika Kwa vitu vidogo Sana, ambavyo hata havina future
 
Yan mondi ampigie sa100 Simu Muda wowote anao taka yeye 😂, okay sawa
 
Uyu mwamba ni Russian Spetsnaz,usa retired special forces ,Italian mafia...Japan kakamucho , Tanzania matofali komando
This dude ana mkono mkubwa ktk Putin kuwa Rais.. Man n half huyu mshakaji.
Nimewaza why alikuwa mtu wa kwanza kupigiwa simu na kuelezwa kuhusu utekaji.
 
Jembe Roman
 
Mbona nimeongea na Roman anasema hakuna kitu kama hicho
 
Kisha Roman akaniuliza Je, unataka mimi kuwatuma watu kwenda kumuokoa Baba yako akiwa hai?!

Kisha Roman akaniambia usiwe na wasiwasi juu ya hilo. Nijulishe kama unataka chaguo hilo, naweza kufanya hivyo muda wowote kuanzia hivi sasa.
Mwisho wa kunukuu
 
Warusi ni wahuni sana huwa hawa negotiate na
Usisahau huyu mwamba asili yake ni Israel. Sasa hapo chukua akili ya kiyahudi uweke itikadi za Urusi, ndio unapata pure Roma Abramovich
 
Sema cossacks ni watu washenzi sana, yaani ukisikia dirty people's ni Hawa jamaa, roho zao sijui zikoje, binadamu tupo tofauti lakini Hawa roho ngumu kwao ipo kiwango cha juu sana though ni wapambanaji hawaridhiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…