cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Jeshi la police wanachukua form failures wengiGraduates wenye akili hamuwachukui ktk recruitment mnakesha kuweka vigezo vya JKT na upumbavu kama huo. Hutapata wenye akili ktk Pool..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jeshi la police wanachukua form failures wengiGraduates wenye akili hamuwachukui ktk recruitment mnakesha kuweka vigezo vya JKT na upumbavu kama huo. Hutapata wenye akili ktk Pool..
Police hawajui majukumu Yao Hadi wanaomba raia wawafanyie kazi walizoenda mafunzoniSiye above 40 tumewakosea nini jamani???..
Kwanza hao akina 25 na 30 ndo wana njaa balaa, yaani wakianza tu kazi wanawaza kutafuta hizo CROWN, X1 na mijengo. By the time wako 40 kama siye we are in the same boat..
Ishu ya Uwajibikaji kwa nchi yetu ni la kimfumo zaidi na wala si umri.
Ishu tu ya mwanafunzi wa UDOM wanaomba taarifa badala ya kufanya UCHUNGUZI...
Umemsikia hapo anatajwaVijana acheni umalaya Dr una mke unahamgaika na baamedi you don't care even about ur health, majanga mengine yakujitakia licha ya usomi shule haijamkomboa
Wapi palipoonesha umalaya ndio umesababisha kifo hapo.Vijana acheni umalaya Dr una mke unahamgaika na baamedi you don't care even about ur health, majanga mengine yakujitakia licha ya usomi shule haijamkomboa
Huyo Dr naye kavuna alichopanda na hao wahuni nao wakamatwe waozee jelaNaingia chimbo hadi kesho asubuhi watashikwa wote kwasababu nataka kuisaidia Polisi.
Ni hivi Dokta itakuwa alikuwa anamgonga mke wa mtu. Wauaji wakaamua kumtumia huyo bar maid kumsogeza dokta wakamcharaza mna kumpigwaa miti kwa hiari na kuchana nguo maksudi kusingiziwa kabakwa
Zuchu jina linalotumia kwasasa Sana kwa mwanamke ambaye anasifa ya mfano mzuri, kicheche, famous was eneo husika ajatulia nk imetoka na msanii Zuchu kwasababu ndio msanii wa kike machchari kwa sasaBinti zuchu ....hili jina [emoji1]
Ova
[emoji2][emoji2] Binti zuchu wa tarime kazua mambo, Hadi Dr kafa vibaya.Umemsikia hapo anatajwa
Binti zuchu [emoji1]
Ova
Sasa hyo kichwa ngumu ya kuona umalaya na kula wake za watu kumemuondoa kijana mdogo hivi hivi.Wapi palipoonesha umalaya ndio umesababisha kifo hapo.
Then kuwa malaya au kuwa na huyo mwanamke sio kosa kisheria labda tusubiri maelezo ila bado hakuna connection bado ya huyo mwanamke na mauaji.
Wapi palipoandikwa huyo Zuchu ni mke wa mtu mbona unafosi kisichoandikwaSasa hyo kichwa ngumu ya kuona umalaya na kula wake za watu kumemuondoa kijana mdogo hivi hivi.
Remember Kuna unwritten laws Sasa vichwa ngumu Huwa hamsikii Hadi mlete machungu Kwa familia na hasara Kwa taifa
Una kichwa kigumu Baki na ulichoelewaWapi palipoandikwa huyo Zuchu ni mke wa mtu mbona unafosi kisichoandikwa
Kuna kitu muhimu sana mwadam anatakiwa afahamu,ajuwe ambayo[emoji2][emoji2] Binti zuchu wa tarime kazua mambo, Hadi Dr kafa vibaya.
Ila msomi unashinswaje kusoma hulka ya jamii uliyopo ili uepuke majanga jamani.Huko tarime kunasifika Kwa kugechana Sasa wewe unanunua Malaya ka sikujitaftia majanga Nini?
Ujishasikia mtu anakuja kutana na kifoSasa hyo kichwa ngumu ya kuona umalaya na kula wake za watu kumemuondoa kijana mdogo hivi hivi.
Remember Kuna unwritten laws Sasa vichwa ngumu Huwa hamsikii Hadi mlete machungu Kwa familia na hasara Kwa taifa
Na hyo self intelligence huipati Kwa kusoma tu madesa ya shuleni.nowdays vijana majority hawajui hii self intelligenceKuna kitu muhimu sana mwadam anatakiwa afahamu,ajuwe ambayo
"Self intelligence "
Ova
Kuna vitu unaweza we ukaviona vidogo,ukavichukulia poaNa hyo self intelligence huipati Kwa kusoma tu madesa ya shuleni.nowdays vijana majority hawajui hii self intelligence
Hicho kigezo Cha Jkt ni kuwapunguza kwenye usaili...Graduates wenye akili hamuwachukui ktk recruitment mnakesha kuweka vigezo vya JKT na upumbavu kama huo. Hutapata wenye akili ktk Pool..
Mkuu unawajua wakurya ushawai ku interact nao?Bado hakuna palipoonesha kosa la Doctor hapo kuondoka na mwanamke ndio kosa
Mawazo mazuri ila bado tunarudi pale pale ndugu,,, itabidi wale jamaa pale juu wao na vizazi vyao walivyovilisha hiyo sumu vipotee tuanzee upya...Lengo ni kulifanya jeshi letu la police liwe la vijana weledi, dunia ya sasa ni technology sio mibavu, hawa vijana watakua trained vema na watakuja na attitude mpya,mfano tunapeleka vijana 500 Botswana wakajifunze kuwa traffic officer's,,(nchi hii almost ina zero corruption ),vijana 300 peleka pale USA wakajifunze kuhusu foresinc investigation, crime profile, 200 peleka pale UK, 350 peleka pale Israel wajifunze ili wawe special unit ya public order, hostages, ndio maana tunahitaji young graduates
Sas hili litaifa lakipumbavu haliwataki watu waliosoma sana hasa hasa nje.. wao wanataka majinga yanayoenda kupoteza muda JKT.Mmmmmm hamwachukui?una sogeza huu mpira kwa nani?,mimi ningefukuza police wote above 40yrs old, na kuingiza fresh graduates na kuwa train nchi mbalimbali duniani