Ni nature yao haoMkoa Wa Mara Umepewa Kanda Maalum Una Ma~RPC Saba Ila Mauaji Yanazidi Tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni nature yao haoMkoa Wa Mara Umepewa Kanda Maalum Una Ma~RPC Saba Ila Mauaji Yanazidi Tu
Hawakawii kuiiba Memory card [emoji23][emoji23]Miye mwenyewe nimeenda mara moja tu, Mama alikuwa akinilinda balaa. Wasije wakaondoka na Antena [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] toka hapo, sijakanyaga.
Sasa watu wanapotosha sana mara oooh wamepora pikipiki na hela.DaaahPikipiki hawajaichukua, na ni pikipiki ya kazini zile DFPA Zinazotolewa na donors.
Kiufupi hawajapora kitu chochote.
Mkuu haya yote yalishafanyika, mpaka ukaanzishwa mkoa wa kipolisi Tarime-Rorya,
Kumbuka pia kambi ya jeshi ipo pale (Nyandoto), Jasiri haachi asili
Lakini Tarime ya miaka hiyo siyo Tarime hii, angalau kuna mabadiliko makubwa, vimebaki visa vichache vichache kama hiki cha huyu mpendwa wetu,
Kusema ukweli inauma sana.
🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔Kwetu kabisa huko, wauwaji watafutwe ili haki itendeke kwa Daktari wa watu.
Hata awe na kosa gani, si kumuua kinyama hivyo. Ndugu zangu hawa mmmh!!!
Naunga mkono hojanayajua hayo maeneo vizuri tena zama zile ambazo ilikuwa mbaya, hiyo kanda maalum ilikuwa busy na wizi wa dhahabu na upigaji wa hela pale Nyamongo sio kudeal na jamii korofi kama ilivyokuwa sababu kuu ya kuanzishwa kwake.
Bila shaka unafahamu matukio yaliyotokea Kibiti na action zake ambazo Serikali ilichukua, bila shaka unafahamu yaliyotokea pemba na action zake ambazo serikali ilichukua na mpaka wa leo hakuna mtu anayethubutu kurudia yale, unakumbuka vurumai za mabucha ya nguruwe na balaa la pale mwembechai?..
Ninaposema wanadekezwa na kuchekewa namaanisha, Niambie ni lini hawa watu na kujifanya kwao wakorofi walishafanya kama yale ya wahuni wa Kibiti au wapemba kule Zenji?... ukiangalia matukio yao meengi ni ya kishambashamba na kijingakijinga yalio na motives za kipumbavu tu... SERIKALI INAPASWA KUWA SERIOUS NA KUACHA KUWADEKEZA HAWA WAJINGAWAJINGA.
Kibiti ulikuwa mchezo wa kihuni ambao ulikuwa organized, ni rahsi kudeal nao , sio rahs kudeal na matukio ya kisasi ambayo hayapo organized , Yani mnakaa Kwa Amani mara pap mtu kapigwa tukio , na zinakuwa sababu binafs na sio organized militants..... Haya unadeal nayo vipi??nayajua hayo maeneo vizuri tena zama zile ambazo ilikuwa mbaya, hiyo kanda maalum ilikuwa busy na wizi wa dhahabu na upigaji wa hela pale Nyamongo sio kudeal na jamii korofi kama ilivyokuwa sababu kuu ya kuanzishwa kwake.
Bila shaka unafahamu matukio yaliyotokea Kibiti na action zake ambazo Serikali ilichukua, bila shaka unafahamu yaliyotokea pemba na action zake ambazo serikali ilichukua na mpaka wa leo hakuna mtu anayethubutu kurudia yale, unakumbuka vurumai za mabucha ya nguruwe na balaa la pale mwembechai?..
Ninaposema wanadekezwa na kuchekewa namaanisha, Niambie ni lini hawa watu na kujifanya kwao wakorofi walishafanya kama yale ya wahuni wa Kibiti au wapemba kule Zenji?... ukiangalia matukio yao meengi ni ya kishambashamba na kijingakijinga yalio na motives za kipumbavu tu... SERIKALI INAPASWA KUWA SERIOUS NA KUACHA KUWADEKEZA HAWA WAJINGAWAJINGA.
Nashukuru umenisaidia kumjibu huyu rafiki yetu,Kibiti ulikuwa mchezo wa kihuni ambao ulikuwa organized, ni rahsi kudeal nao , sio rahs kudeal na matukio ya kisasi ambayo hayapo organized , Yani mnakaa Kwa Amani mara pap mtu kapigwa tukio , na zinakuwa sababu binafs na sio organized militants..... Haya unadeal nayo vipi??
Jamii za kanda ya ziwa mtu akiona unamzidi kila kitu na umemuonea sehemu sababu ya power uliyo nayo anachokifanya ni kutafta namna akudhuru , ndo wapo hvo yaan , hata ukipeleka jeshi likae kule jua tuu mkitofautiana na mtu anakuvizia akufanye kitu mbaya , sa sjui hlo jeshi litakuwa linakulinda mpak toilet
Mfano wewe ni umetokea DSM , ngozi soft joto limekung'arisha na uhandsome upo , na kama kawaida DSM watu wamezoea kutumia pesa na kuhonga ni kawaida , unafika huko Tarime mademu wanaanza kukushobokea na wewe unaona hapa ndo penyewe upite nao mmoja baada ya mwingine , aisee washkaji wa huko wenye hao mademu wakiona unawazid kila kitu ( muonekano + Pesa ) lazima wakufanye kitu mbaya , Yani ukiwa na demu hakikisha huyo demu yupo free na sio demu wa kubattle
Media nyingi wanapenda habari zenye mihemuko ya kiudakuudakuNdugu yetu, Dr. Isack amezikwa leo kijijini kwao huko KASELYA - SINGIDA.
Lakini cha ajabu tukio hili halijaripotiwa katika chombo chochote cha habari na Serikali imepotezea kimya kimya.View attachment 2612377
Sahihi kabisaMedia nyingi wanapenda habari zenye mihemuko ya kiudakuudaku
Ova
Kwenye hii dunia huwezi amini km kuna matumbo ya kina mama yametoa viumbe makatili wanaofikia kudhulumu wenzao km vile wanaua sisimizi tu 🥲Huyu kijana nilimfahamu toka 2020.
Anaitwa ISACK DANIEL SIMA.
Ni Mnyaturu kwa kabila, mzaliwa wa Kijiji cha Kaselya wilaya ya Iramba.
Alizaliwa 1993 akasomea Shahada ya udaktari katika chuo cha st. Francis.
Ameacha Mke na mtoto mmoja.
Alikua ndo mtoto tegemezi katika familia yao.
Tukio limetokea Jana saa 5 usiku akiwa kwenye pikipiki na Mdada mmoja ambaye amebakwa na kulazwa hospital.
Waharifu wakaamua kumcharanga mapanga kijana wetu.
Mungu wangu tunaomba uoneshe hasira yako juu ya hawa shetani.
View attachment 2609933View attachment 2609934View attachment 2609935
Ha ha haaaaaaaaa.Watu wa huko wanapenda sana shari asee…Kun siku nipo tarime nikaenda sehemu ya kula,nimeagiza msosi Ugali na nyama wakanilitea na kichuri ni kauli za hiki ni nini,yule mhudumu akanijibu kama hutaki acha!!! Nilishangaa sana.Kama mimi mteja najibiwa hivyo
HAKIKA.Kanda ya ziwa ndo makao makuu ya Shetani Tanzania
Kwanza ukienda utatongozwa na Wanaume kama wote, sasa ole wako uwakatalieHa ha haaaaaaaaa.
Mie nilozoea kuishi maisha ya yakheee ndio nitakuweza huko!!