Waliomuua Dkt. Isack wa Nyamongo HC wakamatwe haraka

Waliomuua Dkt. Isack wa Nyamongo HC wakamatwe haraka

Marehemu hawezi kusemwa vibaya . Nimeishi TARIME sana pamoja na ugomvi wao wa asili lakini hawawezi kukuvamia kama majambazi bila issue za kimapenzi,fedha au maumaji.Hii sababu haitoshi kuelezea chanzo cha kifo.
Bora useme wewe, watu wamekazana kuita washamba makabila ya watu. Watu wa Mara huwa wana maugomvi yao ya koo na koo miaka nenda rudi, Ilikuwa hakuna kuingilia, mpaka ikaanzishwa Kanda maalumu.

Umesema kweli, huwa hawauwi mtu tu, na huenda baada ya uchunguzi itakuja kuonekana ni wahamiaji ndiyo wamefanya hilo tukio, tuna dhahabu kule mchanganyiko wa watu lazima.. Tusubiri ripoti ya polisi.
 
Kwa taarifa zisizo rasmi, inasemekana kija alikua anatokea maeneo ya Kerende akielekea Nyamongo akiwa na mpenzi wake kwenye pikipiki (alimpakia). Njiani wakakutana na watu ambapo walimbaka yule mwanamke na kisha kumkatakata kijana tabibu.
Duuhh
 
Wale watu wanahitaji kustaarabika sana, wanaishi kizamani sana na Serikali inawadekeza na kuwaendekeza sana..

Wakianza kupotezwapotezwa kwa ujinga wao huu akili zitawakaa sawa na kuheshimiana..
Mkuu haya yote yalishafanyika, mpaka ukaanzishwa mkoa wa kipolisi Tarime-Rorya,

Kumbuka pia kambi ya jeshi ipo pale (Nyandoto), Jasiri haachi asili

Lakini Tarime ya miaka hiyo siyo Tarime hii, angalau kuna mabadiliko makubwa, vimebaki visa vichache vichache kama hiki cha huyu mpendwa wetu,

Kusema ukweli inauma sana.
 
Miye mwenyewe nimeenda mara moja tu, Mama alikuwa akinilinda balaa. Wasije wakaondoka na Antena [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] toka hapo, sijakanyaga.
Na hata ubabe wa wale jamaa ni kwakua tu Eti wanatahiriwa kwa kisu bila ganzi hivyo kudhani hakuna mwanaume wa kuwadhuru au kuwazidi nguvu(wababe)

ingekua tamaduni zinaingiliwa nadhani wale walitakiwa waanze kwanza kwa kutahiriwa hospitali ili kuwaondolea mentality hiyo ya ubabe, [emoji3]
Na hata wanawake wa kule waliokeketwa wengi wao walikua wababe sana,walivyopunguza kukeketwa imesaidia sana kuwafanya kua wastaarabu wasio na makuu maana mwanaume kuishi nae ilibidi awe mkurya kindaki ndaki, yaani mbabe asiyeshindwa kirahisi
 
Na hata ubabe wa wale jamaa ni kwakua tu Eti wanatahiriwa kwa kisu bila ganzi hivyo kudhani hakuna mwanaume wa kuwadhuru au kuwazidi nguvu(wababe)

ingekua tamaduni zinaingiliwa nadhani wale walitakiwa waanze kwanza kwa kutahiriwa hospitali ili kuwaondolea mentality hiyo ya ubabe, [emoji3]
Na hata wanawake wa kule waliokeketwa wengi wao walikua wababe sana,walivyopunguza kukeketwa imesaidia sana kuwafanya kua wastaarabu wasio na makuu maana mwanaume kuishi nae ilibidi awe mkurya kindaki ndaki, yaani mbabe asiyeshindwa kirahisi
Haya maisha hayaa....kuna watu washamba sana....kubwa Mungu akikupa nguvu za mwili... na kuuweza ugomvi basi suluhisho ni KUKANDA vile wanavyokuja...km mikono mitupu na iwe hivyo...kama mapanga...basi mchezo unakuwa hivyohivyo [emoji1787][emoji1787]

Mwenyezi Mungu atulinde ,amin[emoji120]
 
Huyu kijana nilimfahamu toka 2020.
Anaitwa ISACK DANIEL SIMA.
Ni Mnyaturu kwa kabila, mzaliwa wa Kijiji cha Kaselya wilaya ya Iramba.
Alizaliwa 1993 akasomea Shahada ya udaktari katika chuo cha st. Francis.
Ameacha Mke na mtoto mmoja.

Alikua ndo mtoto tegemezi katika familia yao.

Tukio limetokea Jana saa 5 usiku akiwa kwenye pikipiki na Mdada mmoja ambaye amebakwa na kulazwa hospital.

Waharifu wakaamua kumcharanga mapanga kijana wetu.

Mungu wangu tunaomba uoneshe hasira yako juu ya hawa shetani.

View attachment 2609933View attachment 2609934View attachment 2609935
Kuna harufu ya wivu wa mapenzi, huyo binti atasaidia kutambua ukweli.
 
Kwa nini haya maeneo ya kwenu kuna mauaji ya ajabu ajabu na hovyo sana?
Hapana utakuwa unachanganya na Geita Yoda kwa zamani sana, ilikuwa ni wao kwa wao. Hii naona ni kama wizi hao. Kuna makabila tofauti mengi sana, wanafanya kazi huko mpaka wanastaafu. Hawajawahi guswa, tusubiri uchunguzi.


Muulize Ushimen atakwambia tulivyo, asingekaa kama tungekuwa na vurugu watu wasemavyo. Mpaka umchokoze Mkurya, hawezi tu kukuvamia.
 
Mgodini kifo mkononi , Yani ukiwa mgodini we jua tuu upo kwenye danger zone , watu wanaweza amua tuu kutafta viganja vyako kisa vina Alama Ya M , wapeleke Kwa kalumanzila
 
Wanaouwawa sio wageni tu na masharobaro, hata ndugu wanauna wenyewe kwa wenyewe.
jamani huko msipeleke masharobaro wote watakufa pelekeni watu wa kazi

ni hivi shida sio wenyeji wa huko shida inakuja sisi watu wa dar na pwani tukienda sehemu tunajikuta sisi ndo sisi kumbe kuna maeneo mila au tamaduni huwa azibadiliki sasa wewe ushazoe huku dar kunigongea demu wangu nakuangalia tu kuna sehemu hamna hiyo watu wanaruka na wewe

comment ni ya ushauri tu
 
Back
Top Bottom