Daktari yeye ni nani? Sema tabia ya kuuana ni mbaya kwa mwanadam yeyote! Tunawaomba waishi kwa uadilifu![emoji28][emoji28][emoji28] hatari watu wanaua daktari anayetegemewa na kasomeshwa Kwa hela nyingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daktari yeye ni nani? Sema tabia ya kuuana ni mbaya kwa mwanadam yeyote! Tunawaomba waishi kwa uadilifu![emoji28][emoji28][emoji28] hatari watu wanaua daktari anayetegemewa na kasomeshwa Kwa hela nyingi
Mimi point yangu ni kwamba, usije ukafanya makosa ya wazi au ukahitilafiana na mtu kwa kigezo kua silaha itakusaidia, usijaribuKwa hio yule mleta uzi huu alikosea ?
Eti mkuu Fortilo ni kweli hiiKama una pesa kuishi Kanda ya Ziwa bila silaha ni kujiweka wazi kabisa na kifo
Wakuu Habari. Nimebahatika kuishi na kufanya kaz Kanda ya ziwa kwa muda mrefu kidogo. Ipo hivi, Kanda ya ziwa ni eneo lenye watu wakarimu sana.... tatizo ni moja, wengi sio waeelewa kwenye masuala anuai, hivo kuhatarisha maisha ya mtu ikiwa tu mtatafautiana mitazamo katika...www.jamiiforums.com
Hilo ni swali gumu labda walimuacha ili atoe ushahidi wa waliomuua,Nikuulize kwanini huyo binti hakuuawa akaachwa?
To me mambo ya ngono ni kitu Cha kwanza kusababisha hayo mahuaji na kwanini huyo dada abakwe huko Kanda ya nyonyo Kuna ulimbukeni.Atleast hapa umeongea vizuri mpendwa,
hata huyo rafiki yako kama hiyo ilikua tabia yake pengine huko alikoenda atakua aliendelea na alichokifanya huku na kukimbia matokeo yake yanaweza kwenda kutokea huko alikokimbilia,
hakuna sehemu ambayo mke au mume wa mtu hachepuki, hakuna sehemu ambayo demu au boyfriend wa mtu hachepuki,
isipokua kinachokuja kutofautisha hili ni adhabu zinazotolewa na wale wanaokua wamiliki dhidi ya watuhumiwa wao, nafikiri kuua ni adhabu ya mwisho kabisa,
Mimi napatikana Nyarero, Nyarwana, Kibasuka, Itiryo, Borega, Ganyange,Mriba, KegongaNapatikana kwa wingi sana kuanzia Kemakorere, Nyamwaga, Kerende, Nyamongo, Matongo hadi muambata wa mto Tigite mura...[emoji12]
Mimi sio mzaliwa wa huku mkuu, nasaka ugali tu...[emoji39]
Sawa mkuu hapa sasa nimekuelewa kwa ulivyoelezea,Ndiyo maana nikasema suala ni kupunguza mazoea na mahusiano yasiyo ya lazima na wenyeji wa kule, pia kuepusha migongano isiyo ya lazima
Kwa hio nyinyi ndio Chinja ChinjaMimi napatikana Nyarero, Nyarwana, Kibasuka, Itiryo, Borega, Ganyange
Kwani shida ipo wapi mkuu mboni unaniquote kwa makasiriko, what's your problem brother ?narudia tena nielewe vizuri huwa sio m-quote mtu mpumbavu hii ni kwa heshima tu
Duuu! Sio mchezo. [emoji47][emoji47][emoji47]Hatari sana kuna madogo walipigwa jembe za kichwa.Kuja kupata habari kumbe walikuwa wameenda kufatilia mchongo kwa mturuki-Tabora.Wakakutana na Mangosha na vijinzi vyao vya kubana ,jamaa wakawaungia kuwa watakua wezi wa ng'ombe tu.Watu wakanda ya ziwa wakiwa town kama mafala wakute chaka sasa.
Kesho nakuja hapo Nyarero tule kichuri mura...😜Mimi napatikana Nyarero, Nyarwana, Kibasuka, Itiryo, Borega, Ganyange
Kanda ya ziwa once again.
Eneo hatari sana lile.
Wachinjechinje na mapanga au sio ?Usiwahurumie maskini..
Pikpik imeibiwa au imeachwa?Nimeona twitter wameandika kuwa wamemuua kwa lengo la kumuibia pikipiki.