Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shukran sana kwa taarifa zaidiHuyu kijana nilimfahamu toka 2020.
Anaitwa ISACK DANIEL SIMA.
Ni Mnyaturu kwa kabila, mzaliwa wa Kijiji cha Kaselya wilaya ya Iramba.
Alizaliwa 1993 akasomea Shahada ya udaktari katika chuo cha st. Francis.
Ameacha Mke na mtoto mmoja.
Alikua ndo mtoto tegemezi katika familia yao.
Tukio limetokea Jana saa 5 usiku akiwa kwenye pikipiki na Mdada mmoja ambaye amebakwa na kulazwa hospital.
Waharifu wakaamua kumcharanga mapanga kijana wetu.
Mungu wangu tunaomba uoneshe hasira yako juu ya hawa shetani.
View attachment 2609933View attachment 2609934View attachment 2609935
Ndugu zako Chinja Chinja, RIP Marehemu IsackKwetu kabisa huko, wauwaji watafutwe ili haki itendeke kwa Daktari wa watu.
Hata awe na kosa gani, si kumuua kinyama hivyo. Ndugu zangu hawa mmmh!!!
very trueHuyo Dr itakuwa katembea na mke wa mtu nanyie vijana mnaopelekwa Kanda ya ziwa acheni umalaya oeni mtulie hii Kanda Ina watu wakatili
Mtoto tegemewa au Mtoto tegemezi ? TEGEMEZI na anafanya kazi ya udaktari, ameoa na ana mtoto ? Sijaelewa kwani wale wategemezi wa Serikali wanaosema umri usiwe 18 uwe ni 21 ni wapi ?Alikua ndo mtoto tegemezi katika familia yao.
Kanda yenye washamba wengi sio ya kuishiHuyu kijana nilimfahamu toka 2020.
Anaitwa ISACK DANIEL SIMA.
Ni Mnyaturu kwa kabila, mzaliwa wa Kijiji cha Kaselya wilaya ya Iramba.
Alizaliwa 1993 akasomea Shahada ya udaktari katika chuo cha st. Francis.
Ameacha Mke na mtoto mmoja.
Alikua ndo mtoto tegemezi katika familia yao.
Tukio limetokea Jana saa 5 usiku akiwa kwenye pikipiki na Mdada mmoja ambaye amebakwa na kulazwa hospital.
Waharifu wakaamua kumcharanga mapanga kijana wetu.
Mungu wangu tunaomba uoneshe hasira yako juu ya hawa shetani.
View attachment 2609933View attachment 2609934View attachment 2609935
usipende kuhukumu bila kupata kiini cha tatizo,Huyo Dr itakuwa katembea na mke wa mtu nanyie vijana mnaopelekwa Kanda ya ziwa acheni umalaya oeni mtulie hii Kanda Ina watu wakatili
Huyu mdada aliebakwa ambae alikua nae kwenye pekipiki hajajulikana ni Nani au alikua Nani yake inamaana hata jina lake haijajulikana mpaka sasa ?Tukio limetokea Jana saa 5 usiku akiwa kwenye pikipiki na Mdada mmoja ambaye amebakwa na kulazwa hospital.
Rafiki yangu alinusurika kufa kisa kuchaganyana watu huko akatonywa na kutoroka so kwangu Mimi hizo ni case kubwa hasa Kwa vijana though pia Kuna other factors nyingine hazikosekani.usipende kuhukumu bila kupata kiini cha tatizo,
kule hata ukipishana kauli na mtu na akakuahidi atakuonesha, anaweza kukuonesha kwa style hiyo ya kuchukua uhai wako,
kwakua tuko bega kwa bega na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, taarifa rasmi itapatikana tu
Usipende kuhukumu kila janga linalopita mbele yako, mengine ni historia tu
Kwa hio unataka kusema chanzo Cha mauaji ya daktari Isack ni nini mapenzi au fedha ? Maana kumbuka wameua wakabaka vile vileNimeishi TARIME sana pamoja na ugomvi wao wa asili lakini hawawezi kukuvamia kama majambazi bila issue za kimapenzi,fedha au maumaji.Hii sababu haitoshi kuelezea chanzo cha kifo.
Ni kweli huko sababu kubwa Huwa mapenzi na wanawake wao wanapenda kushobokea wanaume wageniMarehemu hawezi kusemwa vibaya . Nimeishi TARIME sana pamoja na ugomvi wao wa asili lakini hawawezi kukuvamia kama majambazi bila issue za kimapenzi,fedha au maumaji.Hii sababu haitoshi kuelezea chanzo cha kifo.
Kwa hio ukanda huo kufa ni suala la kugusa tu ? Ndio maana kuna jamaa alisema hapa akafungua uzi anasema ukienda kuishi ukanda huo inabidi ununue kitu Cha Moto kabisa kujihami hao jamaa ni Chinja ChinjaBinafsi siwezi enda ishi ukanda wenye wajinga na washamba wanaoua watu wengine badala watafte hela
Kwa hio kilichomuua daktari ni mapenzi ?Ni kweli huko sababu kubwa Huwa mapenzi na wanawake wao wanapenda kushobokea wanaume wageni
Kamuulize marehemuKwa hio kilichomuua daktari ni mapenzi ?
NYAMONGO nenda wakakuue wakuibieKuna maeneo hii nchi sio ya kwenda kuishi kabisa.
Kule waahenzi wengi mno plus ushamba hata ukuwazidi vitu uko hatarini hakufai kabisa kule waweza kufa kabla ya siku zakoKwa hio ukanda huo kufa ni suala la kugusa tu ? Ndio maana kuna jamaa alisema hapa akafungua uzi anasema ukienda kuishi ukanda huo inabidi ununue kitu Cha Moto kabisa kujihami hao jamaa ni Chinja Chinja