Waliomuua Dkt. Isack wa Nyamongo HC wakamatwe haraka

Waliomuua Dkt. Isack wa Nyamongo HC wakamatwe haraka

jamani huko msipeleke masharobaro wote watakufa pelekeni watu wa kazi

ni hivi shida sio wenyeji wa huko shida inakuja sisi watu wa dar na pwani tukienda sehemu tunajikuta sisi ndo sisi kumbe kuna maeneo mila au tamaduni huwa azibadiliki sasa wewe ushazoe huku dar kunigongea demu wangu nakuangalia tu kuna sehemu hamna hiyo watu wanaruka na wewe

comment ni ya ushauri tu
 
Rafiki yangu alinusurika kufa kisa kuchaganyana watu huko akatonywa na kutoroka so kwangu Mimi hizo ni case kubwa hasa Kwa vijana though pia Kuna other factors nyingine hazikosekani.
Binafsi siwezi enda ishi ukanda wenye wajinga na washamba wanaoua watu wengine badala watafte hela
Atleast hapa umeongea vizuri mpendwa,

hata huyo rafiki yako kama hiyo ilikua tabia yake pengine huko alikoenda atakua aliendelea na alichokifanya huku na kukimbia matokeo yake yanaweza kwenda kutokea huko alikokimbilia,
hakuna sehemu ambayo mke au mume wa mtu hachepuki, hakuna sehemu ambayo demu au boyfriend wa mtu hachepuki,

isipokua kinachokuja kutofautisha hili ni adhabu zinazotolewa na wale wanaokua wamiliki dhidi ya watuhumiwa wao, nafikiri kuua ni adhabu ya mwisho kabisa,
 
Kwa hio ukanda huo kufa ni suala la kugusa tu ? Ndio maana kuna jamaa alisema hapa akafungua uzi anasema ukienda kuishi ukanda huo inabidi ununue kitu Cha Moto kabisa kujihami hao jamaa ni Chinja Chinja
Kule ni sehemu za migodi(kuna pesa), asilimia kubwa ya vijana wana cha moto(nina ushahidi), ukifanya makosa na kutegemea kua mguu wa bata utakusaidia , kwa kule umekwisha na watakushangaza

Cha msingi ninachodhani kwa kule, ni kuishi maisha yako na kupunguza mazoea na wenyeji wako
 
Kwani ukijipenda ukanunua bodaboda ya kwendea kazini pia ni usharobaro ? Watu wa kazi gani ?
nimekuheshima mpaka nakujibu

ni hivi shida sio kununua pikipiki shida inakuja kutaka kumpa lifti kila mwanamke na wanafunzi pia eneo la kazi usiwe una tabasamu tabasamu tu weka uso wa mbuzi yaani hadi wale wanaume wa kijijini wakikutana na wewe huko sokoni wanaona eeh huyu DAKTARI
 
Cha msingi ninachodhani kwa kule, ni kuishi maisha yako na kupunguza mazoea na wenyeji wako
Kwa hio yule mleta uzi huu alikosea ?
Eti mkuu Fortilo ni kweli hii
 
Kwa hio unataka kusema chanzo Cha mauaji ya daktari Isack ni nini mapenzi au fedha ? Maana kumbuka wameua wakabaka vile vile
Kwa vyovyote vile sababu ya kupora pikipiki tu siiafiki hata kidogo,sababu ya wizi na ujambazi kwa TARIME sikubali hatakidogo .Ingekuwa KIGOMA ningekubali ni ujambazi na uporaji lakini kwa TARIME kubwa kuliko yote ni mapenzi.
 
Itakuwa jamaa alichungulia paja la mke wa mshikaji Kisha akaja ropoka mahali
 
nimekuheshima mpaka nakujibu

ni hivi shida sio kununua pikipiki shida inakuja kutaka kumpa lifti kila mwanamke na wanafunzi pia eneo la kazi usiwe una tabasamu tabasamu tu weka uso wa mbuzi yaani hadi wale wanaume wa kijijini wakikutana na wewe huko sokoni wanaona eeh huyu DAKTARI
Yaan unamaanisha usisaidie watu wowote especially wanawake jiweke nao mbali sana usiwazoee na wasikuzoee au sio ? Hapo sawa na Mimi hadi kuona nimehoji na kukuuliza jua nimekuheshimu kweli heshima yako mkuu

Ila huku Dar kuna jamàa ni dereva wa Noah ya K Vant kila asubuhi hutoa lift asubuhi saa 12 kwa wanafunzi na wamama wanaoenda Mjini, huwabeba wanafunzi wa kike na wa kiume na wamama wanaoenda feli kufuata Samaki, sijawahi sikia ametishiwa maisha yule jamàa, kwa hio inamaanisha huko machakani wanaishi wanyama hawataki huduma za Serikali
 
Kwa vyovyote vile sababu ya kupora pikipiki tu siiafiki hata kidogo,sababu ya wizi na ujambazi kwa TARIME sikubali hatakidogo .Ingekuwa KIGOMA ningekubali ni ujambazi na uporaji lakini kwa TARIME kubwa kuliko yote ni mapenzi.
Km issue ni mapenzi kwanini wakambaka yule mdada aliembeba na yule mdada alikua ni Nani kwake au ndio mazoea yamemponza ?
 
[emoji28][emoji28][emoji28] hatari watu wanaua daktari anayetegemewa na kasomeshwa Kwa hela nyingi
Wajinga sana jamaa amesotea miaka alafu wamempoteza ndani ya dakika 2, wakianza kuugua kwa kukosa huduma za afya kwa uhaba wa daktari lawama zote kwa Serikali, jingaz
 
Km issue ni mapenzi kwanini wakambaka yule mdada aliembeba na yule mdada alikua ni Nani kwake au ndio mazoea yamemponza ?
Sita kujibu tena maana mazingira ya TARIME huyajui vizuri. Wale watu wana roho za visasi hatari. Nikuulize kwanini huyo binti hakuuawa akaachwa?
 
Back
Top Bottom