Waliomuua yule mtoto albino wahasiwe haraka sana, hawana sifa ya kuitwa binadamu

Waliomuua yule mtoto albino wahasiwe haraka sana, hawana sifa ya kuitwa binadamu

Ukishaingia kwenye vyombo vya dola ni ufungwe miaka kadhaa au maisha au kunyongwa (adhabu ambayo haitekelezwi zaidi tu ni kufia gerezani)

Ila ilipaswa mtu akituhumiwa kunyongwa anyongwe hadharani kama baadhi ya nchi za kiislamu wanavyofanya, hii ingesaidia kutengeza hofu kwa waharifu.
 
Acha hasira za kijinga. Bado wana nafasi ya kubadilika na wakawa watu wema. Wapewe adhabu zinazostahiki lkn zisikiuke misingi ya kiutu.

Kosa halitibiwi kwa kosa.
Acha masihara wewe wapewe nafasi wameiba kuku au?? Unyama mkubwa kama ule eti wapewe nafasi hebu toka hapa nafasi yao ni kifo cha kikatili sanaaa mbona wao hawakutoa nafasi kwa nafsi ya binti yule
 
Acha hasira za kijinga. Bado wana nafasi ya kubadilika na wakawa watu wema. Wapewe adhabu zinazostahiki lkn zisikiuke misingi ya kiutu.

Kosa halitibiwi kwa kosa.
Wakikamatwa, wapelekwe mahakamani, wakiparikana na hatia, WANYONGWE HADI KUFA KABISAAA.
Hiyo kusema wanaweza kubadilika na kuwa watu wema ni message kutoka kuzimu, kwa shetani mnywa damu za watu. Shetani SHINDWA!
Wanyongwe hadi kufa ili iwe fundisho kwa wajinga wengine wenye mawazo kama yao.
 
Huyu mtoto hadi mmekatisha uhai wake amewakosea nini jamani, hili jambo kila ninapofanya shughuli zangu linanijia, nimevaa uhusika kuwa yule ni binti yangu amefanyiwa unyama ule, niko katika hali gani.

Kweli nyie mliofanya unyama na ukatili kiasi hicho mnastahili kuwepo duniani kweli?

Huyu mtoto amewakosea nini nyie, yaan mmemuwinda kama mnyama kweli halafu mmekutwa na baadhi ya viungo vyake jamani.Aisee.

Hao waliokamatwa kwanza wahasiwe hata kama upelelezi unaendelea lakin wahasiwe kwanza watie akili, kuwapeleka mahabusu washenzi hao ni kuwapendelea tu.

Serikali iendelee kufanya msako nyumba hadi nyumba kukomesha ukatili huo.

Pia soma:
⚖️Justice for Asimwe#
 
Kenya wanafanya sana Investigative journalism. Watu kama kina John Alan Namu, Mohamed Jicho Pevu, Purity Mwambya n the likes. Hawa wangekuwa wameshawataja wahusika hasa wa hii biashara at least ingepunguza hii aibu. Tanzania tunapata aibu Sana kimataifa kwenye hili. To some extent nahisi kama serikali imelishindwa.
⚖️Justice for Asimwe#
 
Ishawahi kufanyika hii na aljazeera nadhani ilikuwa shinyanga na journalist mmoja anaitwa anas ni mghana nadhani akishirikiana na mwandishi wa bongo jina silikumbuki walienda kwa mganga na camera za siri mganga akaawambia walete viungo vya albino jamaa wakaleta mkono wa albino bandia ila ukiungalia kama wenyewe mganga akapagawa wakamtaitisha na polisi kwani pia alikutwa na viungo ambavyo vimesagwa vimekuwa unga wanaviita vingira, aliviweka wenye makopo
⚖️Justice for Asimwe#
 
Acha hasira za kijinga. Bado wana nafasi ya kubadilika na wakawa watu wema. Wapewe adhabu zinazostahiki lkn zisikiuke misingi ya kiutu.

Kosa halitibiwi kwa kosa.
Wewe unajua ni albino wangapi wamepoteza maisha kwa sababu ya upumbavu wa watu wa aina hiyo?
Unasema adhabu yao isikiuke misingi ya kiutu je hao kitu walichomfanyia huyo mtoto asiye na hatia walizingatia utu?
 
Back
Top Bottom