Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Ukishaingia kwenye vyombo vya dola ni ufungwe miaka kadhaa au maisha au kunyongwa (adhabu ambayo haitekelezwi zaidi tu ni kufia gerezani)
Ila ilipaswa mtu akituhumiwa kunyongwa anyongwe hadharani kama baadhi ya nchi za kiislamu wanavyofanya, hii ingesaidia kutengeza hofu kwa waharifu.
Ila ilipaswa mtu akituhumiwa kunyongwa anyongwe hadharani kama baadhi ya nchi za kiislamu wanavyofanya, hii ingesaidia kutengeza hofu kwa waharifu.