Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Acha masihara wewe wapewe nafasi wameiba kuku au?? Unyama mkubwa kama ule eti wapewe nafasi hebu toka hapa nafasi yao ni kifo cha kikatili sanaaa mbona wao hawakutoa nafasi kwa nafsi ya binti yuleAcha hasira za kijinga. Bado wana nafasi ya kubadilika na wakawa watu wema. Wapewe adhabu zinazostahiki lkn zisikiuke misingi ya kiutu.
Kosa halitibiwi kwa kosa.
Wakikamatwa, wapelekwe mahakamani, wakiparikana na hatia, WANYONGWE HADI KUFA KABISAAA.Acha hasira za kijinga. Bado wana nafasi ya kubadilika na wakawa watu wema. Wapewe adhabu zinazostahiki lkn zisikiuke misingi ya kiutu.
Kosa halitibiwi kwa kosa.
⚖️Justice for Asimwe#Huyu mtoto hadi mmekatisha uhai wake amewakosea nini jamani, hili jambo kila ninapofanya shughuli zangu linanijia, nimevaa uhusika kuwa yule ni binti yangu amefanyiwa unyama ule, niko katika hali gani.
Kweli nyie mliofanya unyama na ukatili kiasi hicho mnastahili kuwepo duniani kweli?
Huyu mtoto amewakosea nini nyie, yaan mmemuwinda kama mnyama kweli halafu mmekutwa na baadhi ya viungo vyake jamani.Aisee.
Hao waliokamatwa kwanza wahasiwe hata kama upelelezi unaendelea lakin wahasiwe kwanza watie akili, kuwapeleka mahabusu washenzi hao ni kuwapendelea tu.
Serikali iendelee kufanya msako nyumba hadi nyumba kukomesha ukatili huo.
Pia soma:
- Update: Mwili wa Mtoto Albino (Asimwe) wakutwa hauna baadhi ya viungo
- Kagera: Kisa cha Mtoto mwenye Ualbino kudaiwa kuibiwa, RPC Makungu asema tayari wameanza uchungu
- Kufuta mauaji ya albino, ni kutokomeza kabisa Waganga wapiga ramli
- Kifo cha Asimwe Novath (Albino); Baba mzazi na Paroko msaidizi washikiliwa kwa tuhuma za mauaji
⚖️Justice for Asimwe#Kenya wanafanya sana Investigative journalism. Watu kama kina John Alan Namu, Mohamed Jicho Pevu, Purity Mwambya n the likes. Hawa wangekuwa wameshawataja wahusika hasa wa hii biashara at least ingepunguza hii aibu. Tanzania tunapata aibu Sana kimataifa kwenye hili. To some extent nahisi kama serikali imelishindwa.
⚖️Justice for Asimwe#Ishawahi kufanyika hii na aljazeera nadhani ilikuwa shinyanga na journalist mmoja anaitwa anas ni mghana nadhani akishirikiana na mwandishi wa bongo jina silikumbuki walienda kwa mganga na camera za siri mganga akaawambia walete viungo vya albino jamaa wakaleta mkono wa albino bandia ila ukiungalia kama wenyewe mganga akapagawa wakamtaitisha na polisi kwani pia alikutwa na viungo ambavyo vimesagwa vimekuwa unga wanaviita vingira, aliviweka wenye makopo
Wewe unajua ni albino wangapi wamepoteza maisha kwa sababu ya upumbavu wa watu wa aina hiyo?Acha hasira za kijinga. Bado wana nafasi ya kubadilika na wakawa watu wema. Wapewe adhabu zinazostahiki lkn zisikiuke misingi ya kiutu.
Kosa halitibiwi kwa kosa.