Waliondamana Dar es Salaam kupinga mkataba wa bandari wakamatwa na polisi. Mratibu wa maandamano na wenzake 10 wanahojiwa na Polisi

Yes lugha watakayoizungumza hawa royal families ni street battles sio kulalama humu kwenye soft landing ya JF
 
Unaongelea nyuma ya keyboard toka hadharan
 
Wanaume Tanzania tuanze kujitathmini...wanawake ndio wanapigania nchi..alafu unakutana na mtu kama msukuma bungeni hajui hata nini maana ya mkataba
 
Watawala wajitafakari. Huu siyo mwanzo mwema
 
Yaa

Polisi wa Tanzania wao wafuata amri na wamejiandaa kuvunja goko za watanganyika wenzao.

Na kufanya hali iwe ya kuogofya zaidi wamejipa jina la SWAT.

Yaani ile FFU haipo tena.

Tanganyika ina safari ndefu sana.
SWAT= Sukuma Watu Twangurungu. .Nini mana ya freedom of expression?
 
Memba wa Jf hatuzidi 50🤣🤣🤣 siku mods wakimerge IDs tutaumbuka humu, we fikiria mtu Kama nanihii ana ID zaidi ya tano🤣🤣
Hiyo ni kamba ndefu sana umeandika. JF ina members mamilioni. Sema wakati wa issues muhimu kama maandamano, huwa kila mmoja yuko very committed hawezi kupata muda wa kutokea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…