ITEGAMATWI
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 5,340
- 4,086
Mbona wametumia nguvu kubwa sana kwa jambo dogo kabisaVijana waandamana jijini Dar es Salaam Tanzania kupinga mkataba wa bandari kati ya serikali na Dubai Ports World pamoja na muswada wa marekebisho ya sheria ya Usalama wa Taifa.
Vijana walioandamana jijini Dar es Salaam kupinga mkataba wa Bandari wamekamatwa eneo la Mnazi Moja.
========
Tanzania tuna safari ndefu sana watu wako bize na bandari we uko bize na mboweMtu kaenda nje ya nyumba ya mbowe, anapiga picha afu unasema kaandamana?
We gambo umeandamana viunga vya njiro? au upo jf kupiga domo.Mungu awabariki walioandamana.
Wamedhihirisha kwa vitendo Uzalendo kwa nchi yao.
hao waliowakamata wenyewe wanaonekana mioyo yao inaandamana na bado watawala wakae wakijua pamoja kwamba chini ya majivu hakutoi moshi lakini moto uliokuwepo ni mkubwa kuzidi wanavyoweza kufikiria.Nguvu ya Umma ijitokeze kwa namna zote kupinga maeneo ya Tanganyika kugeuzwa makoloni ya mabeberu
19 June 2023
Dar es Salaam, Tanzania
Vijana walioandamana jijini Dar es Salaam kupinga mkataba wa Bandari eneo la Mnazi Moja wame kamatwa na jeshi la polisi
Mm sijawahi kuja humu kubwabwaja kuupinga mkataba huo hivyo sikuwa na sababu ya kuandama.Vipi mbona una gadhabu sana? Au mmechezea kichapo
HILI NI IGIZO.hii nchi kila jambo ni mchongo mchongo tu,toka lini waandamanaji wakapanda defender wenyewe bila mitama ya polisi?
Mm siwezi kutokea kwa sababu sijawahi kuupinga mkataba huo mm naunga mkono kwa asilimia zote.Wewe mwenyewe hujatokeza
Acheni unafiki na uoga.Mkuu mbona POVU kama huyo kiumbe wa kwenye AVATAR yako.................
[emoji18][emoji18][emoji846][emoji846][emoji3526][emoji3526][emoji4][emoji4]
Ww umetokea?Hao watu wameonesha njia,,
Nilifikiri tutajitoa wote kwenda kuonesha njia na kumfanya saa100 alale na viatu kumbe walaa
Watanzania hatuna ushirikiano kabisa mmejaa uoga na uzandiki.
Hao ni wale wapuuzi watupu...Wawe vijana kweli SASA!
Sio wawe wale jamaa pekee halafu wawaite vijana!!
ushasema mimi sio wa mchongo.Kaandamane wewe ambaye sio wa mchongo.
Kwa akili kama hizi zako ni mfano wa akili za watanzania wote ndo maana mtu ana-sign mkataba alafu ndo anawaleteaWanajifanya wana uchungu sana, ngoja wakapate uchungu
ni mcgongo huo tena watu wa ndani .HILI NI IGIZO.
MAKACHERO HAO, wameandamana wenyewe halafu wakaamua WAJIKAMATE WENYEWE.
Tumeingizwa cha kike.[emoji1787]
Mzee shkamoo.Wawe vijana kweli SASA!
Sio wawe wale jamaa pekee halafu wawaite vijana!!
Nenda kaandamane tuone kusikitishwa kwako kwa hayo makubaliano, tofauti na hapo ni unafiki tu umekujaaKwa akili kama hizi zako ni mfano wa akili za watanzania wote ndo maana mtu ana-sign mkataba alafu ndo anawaletea
Tunasafari ndefu sana kama nchi
Binafsi nilisema hakuna tutachoweza zuia kisifanyike.Mm siwezi kutokea kwa sababu sijawahi kuupinga mkataba huo mm naunga mkono kwa asilimia zote.
Kwa akili kama zako tunasafari ndefu sana kama nchiNenda kaandamane tuone kusikitishwa kwako kwa hayo makubaliano, tofauti na hapo ni unafiki tu umekujaa