Waliondamana Dar es Salaam kupinga mkataba wa bandari wakamatwa na polisi. Mratibu wa maandamano na wenzake 10 wanahojiwa na Polisi

Waliondamana Dar es Salaam kupinga mkataba wa bandari wakamatwa na polisi. Mratibu wa maandamano na wenzake 10 wanahojiwa na Polisi

Vijana waandamana jijini Dar es Salaam Tanzania kupinga mkataba wa bandari kati ya serikali na Dubai Ports World pamoja na muswada wa marekebisho ya sheria ya Usalama wa Taifa.

Vijana walioandamana jijini Dar es Salaam kupinga mkataba wa Bandari wamekamatwa eneo la Mnazi Moja.


========
Mbona wametumia nguvu kubwa sana kwa jambo dogo kabisa
Katiba inasemaje kuhusu maandamano?
 
If we don't handle our independence very well,colonizers will come back in form of investors
 
Nguvu ya Umma ijitokeze kwa namna zote kupinga maeneo ya Tanganyika kugeuzwa makoloni ya mabeberu

19 June 2023
Dar es Salaam, Tanzania


Vijana walioandamana jijini Dar es Salaam kupinga mkataba wa Bandari eneo la Mnazi Moja wame kamatwa na jeshi la polisi

hao waliowakamata wenyewe wanaonekana mioyo yao inaandamana na bado watawala wakae wakijua pamoja kwamba chini ya majivu hakutoi moshi lakini moto uliokuwepo ni mkubwa kuzidi wanavyoweza kufikiria.
na hizi ni dalili punda kachoka sasa kubeba mzigo ni swala la muda tu ila kabla hatujafa tutaona kizazi hiki kitakavyoamua!
 
Mkuu mbona POVU kama huyo kiumbe wa kwenye AVATAR yako.................
[emoji18][emoji18][emoji846][emoji846][emoji3526][emoji3526][emoji4][emoji4]
Acheni unafiki na uoga.
 
Kwa akili kama hizi zako ni mfano wa akili za watanzania wote ndo maana mtu ana-sign mkataba alafu ndo anawaletea
Tunasafari ndefu sana kama nchi
Nenda kaandamane tuone kusikitishwa kwako kwa hayo makubaliano, tofauti na hapo ni unafiki tu umekujaa
 
Back
Top Bottom