slaa alikuwepo?Vijana waandamana jijini Dar es Salaam Tanzania kupinga mkataba wa bandari kati ya serikali na Dubai Ports World pamoja na muswada wa marekebisho ya sheria ya Usalama wa Taifa.
Vijana walioandamana jijini Dar es Salaam kupinga mkataba wa Bandari wamekamatwa eneo la Mnazi Moja.
========
WALIOANDAMANA WAISHIA MIKONONI MWA POLISI
Taarifa za awali zinaeleza kuwa vijana waliokuwa wameandamana kupinga Mkataba wa Bandari eneo la Mnazi Mmoja kuelekea Ikulu ya Magogoni Dar es salaam wamekamatwa na Jeshi la PolisiTaarifa zaidi zitawajia endelea kutufatilia
View attachment 2662138
Duh!Kwamba nina kazi pale?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usicheke, ujue watu ni mahodari wa mtandaoni ila kwenye tukio hawatokei.
Wahamasishaji wote hakuna aliyetokea
Waliokamatwa wanaenda nyooshwa afu maumivu wanasikilizia wenyewe
Kwamba mikwara yote ile wamekamatwa watus wasiozidi 10?Duh!
Bora huo muda utupikie pilau afu upost[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utasikia mashujaa wamepambana kiume.
Huu ni mfano tu, ila ipo siku watashindwa wamkamate nani wamuache naniNilimsikia leo asubuhi kamanda Murilo akipiga mkwara kwa wataoandamana,nikamwona bonge la mshamba.
Hawa jamaa kwa madhambi yao ndiyo maana wakistaafu tu Mungu anawazawadia kiharusi waangaike nacho.
SawaBasi kaa kwa kutulia,
Binafsi siwezi poteza muda kwa visivyo nihusu
SafiVijana waandamana jijini Dar es Salaam Tanzania kupinga mkataba wa bandari kati ya serikali na Dubai Ports World pamoja na muswada wa marekebisho ya sheria ya Usalama wa Taifa.
Vijana walioandamana jijini Dar es Salaam kupinga mkataba wa Bandari wamekamatwa eneo la Mnazi Moja.
========
WALIOANDAMANA WAISHIA MIKONONI MWA POLISI
Taarifa za awali zinaeleza kuwa vijana waliokuwa wameandamana kupinga Mkataba wa Bandari eneo la Mnazi Mmoja kuelekea Ikulu ya Magogoni Dar es salaam wamekamatwa na Jeshi la PolisiTaarifa zaidi zitawajia endelea kutufatilia
View attachment 2662138
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Bora huo muda utupikie pilau afu upost
Kwani walioomba kuandamana walikuwa wangapi.Kwamba mikwara yote ile wamekamatwa watus wasiozidi 10?
Mashujaa wa mitandaoni katika ubora wenu
Baaaaaar viiiiiichaaa bwaaaanaaa
Sasa mbona AskariYaani watu 5 hawafiki