Dar Es Salaam, Tanzania
Mtaa wa Bibi Titi Mohamed, mama shujaa mhamashishaji tajwa ktk siasa za uzalendo aliyeongoza kudai uhuru wa Tanganyika ndiyo mtaa huu jijini Dar es Salaam, Tanzania umebeba jina la mpigania haki mwana mama.
Leo miaka 61 baadaye 2023 vijana wasio waoga nao wameingia ktk mtaa huu kupinga mkataba wa bandari wakiwa na hoja zile zile za Bibi Titi Mohamed ....
Mtaa wa Bibi Titi Mohamed, mama shujaa mhamashishaji tajwa ktk siasa za uzalendo aliyeongoza kudai uhuru wa Tanganyika ndiyo mtaa huu jijini Dar es Salaam, Tanzania umebeba jina la mpigania haki mwana mama.
Leo miaka 61 baadaye 2023 vijana wasio waoga nao wameingia ktk mtaa huu kupinga mkataba wa bandari wakiwa na hoja zile zile za Bibi Titi Mohamed ....