Waliondamana Dar es Salaam kupinga mkataba wa bandari wakamatwa na polisi. Mratibu wa maandamano na wenzake 10 wanahojiwa na Polisi

Waliondamana Dar es Salaam kupinga mkataba wa bandari wakamatwa na polisi. Mratibu wa maandamano na wenzake 10 wanahojiwa na Polisi

Kwa akili kama zako tunasafari ndefu sana kama nchi
Mgonjwa huyo. Comments zake nyingi huwa zina viashiria vya SADISM.

Kwenye kila uzi anapenda comments za kuchochea ukatili, mauaji, na vitisho.

Ni mgonjwa.
 
Binafsi nilisema hakuna tutachoweza zuia kisifanyike.
Watanzani sio wapambanaj by nature ndo maana hata kwenye timu zetu za mpira masupastaa sio wazawa, ukienda kwa diaspora wakenya na wanigeria ndo unawaona in short hatuna kizazi cha wapambanaji

Ni kweli wengi wetu hatujashiriki maandamano lakin swala la kufurahia wale waliondamana kukamatwa ni jambo linalofikirisha sana
 
Vijana waandamana jijini Dar es Salaam Tanzania kupinga mkataba wa bandari kati ya serikali na Dubai Ports World pamoja na muswada wa marekebisho ya sheria ya Usalama wa Taifa.

Vijana walioandamana jijini Dar es Salaam kupinga mkataba wa Bandari wamekamatwa eneo la Mnazi Moja.


========

WALIOANDAMANA WAISHIA MIKONONI MWA POLISI

Taarifa za awali zinaeleza kuwa vijana waliokuwa wameandamana kupinga Mkataba wa Bandari eneo la Mnazi Mmoja kuelekea Ikulu ya Magogoni Dar es salaam wamekamatwa na Jeshi la PolisiTaarifa zaidi zitawajia endelea kutufatilia.


MRATIBU WA MAANDAMANO AINGIA MITINI

Jeshi la Polisi limewakamata baadhi ya vijana waliojitokeza kuandamana kupinga mkataba wa ushirikiano wa uendeshaji wa bandari kati ya Kampuni ya DP World na Tanzania.

Hata hivyo, a mratibu wa maandamano hayo, Deus Sokkatika hali ya kutofahamika, hajatokea kwenye maandamano hayo yaliyopangwa kuanzia Temeke na kuishia Ikulu, jijini Dar es Salaam.

Mwananchi Digital ilipomtafuta kwa simu zake zote za kiganjani, hakupatikana na katika majina ya waliokamatwa na polisi pia jina lake halikuwepo.

Juni 15 mwaka huu Deus Soka ambaye aligombea udiwani katika Uchaguzi Mkuu wa 2020, alitangaza kuitisha maandamano kupinga mkataba wa ushirikiano wa uendeshaji wa bandari kati ya Kampuni ya DP World na Tanzania.

Hata hivyo Juni 17 Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam likipiga marufuku maandamano hayo na kueleza kuwa, mtu aliyeandaa maaandamano hayo ameshajibiwa kwa barua akielezwa ni marufuku kufanyika maandamano yoyote.

Juni 10, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilipitisha azimio kuhusu pendekezo la kuridhiwa kwa mkataba baina ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kwa lengo la kuanzisha ushirikiano katika uendelezaji wa maeneo ya bandari nchini.

Pendekezo hilo liliwasilishwa bungeni Juni 10, na kupitishwa na Bunge baada ya wabunge kupata fursa ya kuchangia na kuishauri Serikali kuhusu mkataba huo.


Mwananchi

PIA, SOMA:
- Vijana kufanya Maandamano kupinga Mkataba wa Bandari kati ya Tanzania na kampuni ya DP World ya Dubai
- Polisi yapiga marufuku maandamano ya kwenda Ikulu ya Magogoni, Dar es Salaam, Jumatatu Juni 19, 2023
Tia ndani wafitini hao mbao hutumia vibaya upole wa Rais.
 
Mbona we hujaandamana?
Shujaa wa mtandaoni
Sio kila mtu anaamin kudai haki kupitia maandaman wengine wanaprefer violence, wengine non violence, wengine peaceful demostration, wengine violence demostration lakin mwisho wa siku lengo ni moja na kamwe siwez furahia mtu anakamatwa kwa sababu anapigania maslai ya watanzania wote huo utakua ni uzwazwa
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Hilo limtu nahisi litakuwa lina maisha magumu sana.

Halafu uso wake una MATUTA kama afande wa kikurya.

Amejaa uchungu na masononeko kila wakati, sasa uso utaachaje kuwa na MATUTA kwa mfano!

Huyu JINI CHEKETU HIMARS
 
Sio kila mtu anaamin kudai haki kupitia maandaman wengine wanaprefer violence, wengine non violence, wengine peaceful demostration, wengine violence demostration lakin mwisho wa siku lengo ni moja na kamwe siwez furahia mtu anakamatwa kwa sababu anapigania maslai ya watanzania wote huo utakua ni uzwazwa
Unajichosha bure unabishana na JINI CHEKETU HIMARS
 
Vijana waandamana jijini Dar es Salaam Tanzania kupinga mkataba wa bandari kati ya serikali na Dubai Ports World pamoja na muswada wa marekebisho ya sheria ya Usalama wa Taifa.

Vijana walioandamana jijini Dar es Salaam kupinga mkataba wa Bandari wamekamatwa eneo la Mnazi Moja.


========

WALIOANDAMANA WAISHIA MIKONONI MWA POLISI

Taarifa za awali zinaeleza kuwa vijana waliokuwa wameandamana kupinga Mkataba wa Bandari eneo la Mnazi Mmoja kuelekea Ikulu ya Magogoni Dar es salaam wamekamatwa na Jeshi la PolisiTaarifa zaidi zitawajia endelea kutufatilia.


MRATIBU WA MAANDAMANO AINGIA MITINI

Jeshi la Polisi limewakamata baadhi ya vijana waliojitokeza kuandamana kupinga mkataba wa ushirikiano wa uendeshaji wa bandari kati ya Kampuni ya DP World na Tanzania.

Hata hivyo, a mratibu wa maandamano hayo, Deus Sokkatika hali ya kutofahamika, hajatokea kwenye maandamano hayo yaliyopangwa kuanzia Temeke na kuishia Ikulu, jijini Dar es Salaam.

Mwananchi Digital ilipomtafuta kwa simu zake zote za kiganjani, hakupatikana na katika majina ya waliokamatwa na polisi pia jina lake halikuwepo.

Juni 15 mwaka huu Deus Soka ambaye aligombea udiwani katika Uchaguzi Mkuu wa 2020, alitangaza kuitisha maandamano kupinga mkataba wa ushirikiano wa uendeshaji wa bandari kati ya Kampuni ya DP World na Tanzania.

Hata hivyo Juni 17 Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam likipiga marufuku maandamano hayo na kueleza kuwa, mtu aliyeandaa maaandamano hayo ameshajibiwa kwa barua akielezwa ni marufuku kufanyika maandamano yoyote.

Juni 10, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilipitisha azimio kuhusu pendekezo la kuridhiwa kwa mkataba baina ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kwa lengo la kuanzisha ushirikiano katika uendelezaji wa maeneo ya bandari nchini.

Pendekezo hilo liliwasilishwa bungeni Juni 10, na kupitishwa na Bunge baada ya wabunge kupata fursa ya kuchangia na kuishauri Serikali kuhusu mkataba huo.


Mwananchi

PIA, SOMA:
-
Vijana kufanya Maandamano kupinga Mkataba wa Bandari kati ya Tanzania na kampuni ya DP World ya Dubai
- Polisi yapiga marufuku maandamano ya kwenda Ikulu ya Magogoni, Dar es Salaam, Jumatatu Juni 19, 2023
Hii nchi hatuandaman! Tunachapa kaz
 
Mgonjwa huyo. Comments zake nyingi huwa zina viashiria vya SADISM.

Kwenye kila uzi anapenda comments za kuchochea ukatili, mauaji, na vitisho.

Ni mgonjwa.
Tukubali Tanzania tunawatu wengi wanamatatizo ya akili a.k.a mental health na huku jamiiforum imekua ni sehemu ya watu kumalizia stress zao za maisha

Haiwezekan mtu au kikundi cha watu wanapigania maslai mpaka yako alafu unambeza lazima utakua na tatizo la akili
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Si mwanademocrasia wenu huyo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwaka juzi Hawa walikuwa mstari wa mbele kusema mama anaupiga mwingi..

Wakasema sasa wanapumua[emoji1787]
Shetani amekufa.


Mimi kwa vyovyote vile siwezi msapoti yeyote aliyetoa kejeli kwa Magu.
Nipo sipo upande wowote.
 
Marais waislam hawafanyagi lolote la maana zaidi ya kuuza nchi yetu.
Kilio cha ubinafisishaji na mikataba ya hovyo ilisainiwa enzi za utawala wa Mwinyi, Kikwete na sasa Samia!
Ma Rais waislam hawa hamasishi watu kufanya kazi badala yake huwa hamasisha watu kukabidhi rasilimali zao kwa watu wengine na wao wawe watazamaji tu.
Marais wakiristo wanaamini katika kufanya kazi na kujitegemea, angalia kuanzia Nyerere, Mkapa, na Magufuli waliamini katika kufanya kazi na kujitegemea kupitia ujenzi wa viwanda.
Tatizo ni elimu au malezi?
kwani we hapo ulipo hufanyikazi au. alifungua nchi akasema wakulima muuze mazao yenu mnavyotaka. mkapiga kelele kuwa vyakula vimepanda bei. kasema tena vyakula visuuzwe nje bado mnapiga kelele kuwa asipige marufuku. mtanzania nikiumbe waajabu duniani. aliumbwa kulalamika kwa kila jambo hata ambalo halifahamu
 
Vijana waandamana jijini Dar es Salaam Tanzania kupinga mkataba wa bandari kati ya serikali na Dubai Ports World pamoja na muswada wa marekebisho ya sheria ya Usalama wa Taifa.

Vijana walioandamana jijini Dar es Salaam kupinga mkataba wa Bandari wamekamatwa eneo la Mnazi Moja.


========

WALIOANDAMANA WAISHIA MIKONONI MWA POLISI

Taarifa za awali zinaeleza kuwa vijana waliokuwa wameandamana kupinga Mkataba wa Bandari eneo la Mnazi Mmoja kuelekea Ikulu ya Magogoni Dar es salaam wamekamatwa na Jeshi la PolisiTaarifa zaidi zitawajia endelea kutufatilia.


MRATIBU WA MAANDAMANO AINGIA MITINI

Jeshi la Polisi limewakamata baadhi ya vijana waliojitokeza kuandamana kupinga mkataba wa ushirikiano wa uendeshaji wa bandari kati ya Kampuni ya DP World na Tanzania.

Hata hivyo, a mratibu wa maandamano hayo, Deus Sokkatika hali ya kutofahamika, hajatokea kwenye maandamano hayo yaliyopangwa kuanzia Temeke na kuishia Ikulu, jijini Dar es Salaam.

Mwananchi Digital ilipomtafuta kwa simu zake zote za kiganjani, hakupatikana na katika majina ya waliokamatwa na polisi pia jina lake halikuwepo.

Juni 15 mwaka huu Deus Soka ambaye aligombea udiwani katika Uchaguzi Mkuu wa 2020, alitangaza kuitisha maandamano kupinga mkataba wa ushirikiano wa uendeshaji wa bandari kati ya Kampuni ya DP World na Tanzania.

Hata hivyo Juni 17 Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam likipiga marufuku maandamano hayo na kueleza kuwa, mtu aliyeandaa maaandamano hayo ameshajibiwa kwa barua akielezwa ni marufuku kufanyika maandamano yoyote.

Juni 10, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilipitisha azimio kuhusu pendekezo la kuridhiwa kwa mkataba baina ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kwa lengo la kuanzisha ushirikiano katika uendelezaji wa maeneo ya bandari nchini.

Pendekezo hilo liliwasilishwa bungeni Juni 10, na kupitishwa na Bunge baada ya wabunge kupata fursa ya kuchangia na kuishauri Serikali kuhusu mkataba huo.


Mwananchi

PIA, SOMA:
- Vijana kufanya Maandamano kupinga Mkataba wa Bandari kati ya Tanzania na kampuni ya DP World ya Dubai
- Polisi yapiga marufuku maandamano ya kwenda Ikulu ya Magogoni, Dar es Salaam, Jumatatu Juni 19, 2023
Huyo mratibu wa maandamo inatakiwa apigwe kitu aende kuzimu ,ni wahaini hao
 
Tukubali Tanzania tunawatu wengi wanamatatizo ya akili a.k.a mental health na huku jamiiforum imekua ni sehemu ya watu kumalizia stress zao za maisha

Haiwezekan mtu au kikundi cha watu wanapigania maslai mpaka yako alafu unambeza lazima utakua na tatizo la akili
Huyu HIMARS ni JINI CHEKETU.

Anapenda sana vayolensi, akamatwe kabla hajawadhuru watu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Nilkuwepo,
Maana tuliambiwa huyu mama ni mwana democrasia nikashangaa kukutana na virungu.
Wakasema tumfuate jiwe Chato kama tunajidai tuna uchungu sana


Mama anafungua nchi
Anaupiga mwingi.
Mitano kwake.
 
Hao vijana walioandamana pongezi kwao.

Kila jambo huanza kidogo kidogo, hawa wameonyesha njia.

Kuna watakaofuata kwa mafanikio makubwa zaidi.
 
Back
Top Bottom