Walionyang'anywa mali na Hayati Magufuli waomba kurudishwa mali zao

Walionyang'anywa mali na Hayati Magufuli waomba kurudishwa mali zao

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
326825668_866084594648165_2539109265737379629_n.jpg


My Take
Nawaambieni ukweli mchungu.
Katika serikali zilizojaa uozo serikali ya Magufuli ni nambari wani.

Mambo mengi sana ya hovyo yalifanyika chini ya uchochoro wa uzalendo.

Mzalendo na waliokuwa chini yake wamechakaza sana mali za umma na watu binafsi
 
View attachment 2503193

My Take
Nawaambieni ukweli mchungu.
Katika serikali zilizojaa uozo serikali ya Magufuli ni nambari wani.
Mambo mengi sana ya hovyo yalifanyika chini ya uchochoro wa uzalendo. Mzalendo na waliokuwa chini yake wamechakaza sana mali za umma na watu binafsi
yule hakuwa binadamu wa kawaida
 
Mitoto ya wezi katika ubora wako.
Serikali ya Samia imejaa wezi, hivyo lazima wezi watetee wezi wenzao.

Kila mtu alienyang'anywa pesa alikuwa mwizi, hivyo walikuwa wanarudisha walichoiba.

Mtapambana lakini hamtaweza.
Hatamfanye je wanachi hawatawaelewa.
 
View attachment 2503193

My Take
Nawaambieni ukweli mchungu.
Katika serikali zilizojaa uozo serikali ya Magufuli ni nambari wani.
Mambo mengi sana ya hovyo yalifanyika chini ya uchochoro wa uzalendo. Mzalendo na waliokuwa chini yake wamechakaza sana mali za umma na watu binafsi
Biswalo amejificha siku hizi hatoki ndani
 
Mitoto ya wezi katika ubora wako.
Serikali ya Samia imejaa wezi, hivyo lazima wezi watetee wezi wenzao.

Kila mtu alienyang'anywa pesa alikuwa mwizi, hivyo walikuwa wanarudisha walichoiba.

Mtapambana lakini hamtaweza.
Hatamfanye je wanachi hawatawaelewa.
Huo ndio ukweli hivi uwe na pesa halali halafu unyang'anywe kweli hakika hakuna watu wajinga nchi hii kama vijana wa chadema mtandaoni
 
Hata yakiandika magazeti yote na television zote zikatangaza kumchafua Magu!

Haiondoi ukweli ukweli kuwa wafanya biashara wengi walidaiwa pesa za ukwepaji kodi walizokuwa wakiibia serikali pamoja na kina Mbowe!


Ukitaka uwe mbaya, dai chako, JPM aliwadai wafanya biashara kodi nanihalali kabisa kwa nchi, lakini eti huo umekuwa ni ubaya? Nchi ya kipumbavu sana hii
 
Plea bargaining si ipo kisheria?

Wanarudishiwa kisa pesa zao zimebainika kupigwa?

Kwa hiyo na sisi tuwe tunarudishiwa kodi zetu ikitokea kashfa ya ufisadi serikalini?

Wahusika wapo,kwa nini hatua za kisheria zisichukuliwe dhidi yao?

Shinikizo liwekwe kuanzia bungeni ili wale wote akina Biswalo,Mpango,Dotto nk wazitapike.

Kama pesa zinajulikana hadi zilipo means taarifa zipo za kutosha,kigugumizi cha nini?
 
 
Mitoto ya wezi katika ubora wako.
Serikali ya Samia imejaa wezi, hivyo lazima wezi watetee wezi wenzao.

Kila mtu alienyang'anywa pesa alikuwa mwizi, hivyo walikuwa wanarudisha walichoiba.

Mtapambana lakini hamtaweza.
Hatamfanye je wanachi hawatawaelewa.
Kumuita mtu mwizi bila uthibitisho usio shaka wa kitaalamu mahakamani ni kujipakaza ujinga machoni.Uonee tamaa mali walizotafuta wanaume,uzing'ang'anie,uwatupe lupango na baada ya kuona hakuna ushahidi ulazimishe "mpatane"?Sasa unataka mpatane kwa lipi pasina jinai wala madai?Huo ni wizi,dhulma na ujinga mwingi.Labda kama una namna tofauti ya kuuleza kwa kuuremba.
 
Kumuita mtu mwizi bila uthibitisho usio shaka wa kitaalamu mahakamani ni kujipakaza ujinga machoni.Uonee tamaa mali walizotafuta wanaume,uzing'ang'anie,uwatupe lupango na baada ya kuona hakuna ushahidi ulazimishe "mpatane"?Sasa unataka mpatane kwa lipi pasina jinai wala madai?Huo ni wizi,dhulma na ujinga mwingi.Labda kama una namna tofauti ya kuuleza kwa kuuremba.
Ruge baada ya kuachiwa huru na wezi wenzie nini alisema kama unafuatilia mambo?
 
View attachment 2503193

My Take
Nawaambieni ukweli mchungu.
Katika serikali zilizojaa uozo serikali ya Magufuli ni nambari wani.
Mambo mengi sana ya hovyo yalifanyika chini ya uchochoro wa uzalendo. Mzalendo na waliokuwa chini yake wamechakaza sana mali za umma na watu binafsi
halafu utamsikia fala flani sijui mwenyekiti wa wazaaji dodoma anaongea ufala tu eti sitaki kusikia mtu anamtaja marehemu jpm, yaani atatajwa sana labda amfuate kaburini
 
halafu utamsikia fala flani sijui mwenyekiti wa wazaaji dodoma anaongea ufala tu eti sitaki kusikia mtu anamtaja marehemu jpm, yaani atatajwa sana labda amfuate kaburini
Watu wanajua kulitumikia huba aisee!Hata uwaambie kwa maelezo yenye ukweli kiasi gani,watakataa hata kwa viapo.Wanaamini alikuwa the smartest,the bravest and above all,the most high!😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom