Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Nakuona MakondaHuo ndio ukweli hivi uwe na pesa halali halafu unyang'anywe kweli hakika hakuna watu wajinga nchi hii kama vijana wa chadema mtandaoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuona MakondaHuo ndio ukweli hivi uwe na pesa halali halafu unyang'anywe kweli hakika hakuna watu wajinga nchi hii kama vijana wa chadema mtandaoni
Awamu ya tano ilikuwa inaongoza kwa ufisadi na ujambazi kama kina sabayaHata yakiandika magazeti yote na television zote zikatangaza kumchafua Magu!
Haiondoi ukweli ukweli kuwa wafanya biashara wengi walidaiwa pesa za ukwepaji kodi walizokuwa wakiibia serikali pamoja na kina Mbowe!
Ukitaka uwe mbaya, dai chako, JPM aliwadai wafanya biashara kodi nanihalali kabisa kwa nchi, lakini eti huo umekuwa ni ubaya? Nchi ya kipumbavu sana hii
Jambazi yule natumai keshaunguzwa moto huko kuzimuView attachment 2503193
My Take
Nawaambieni ukweli mchungu.
Katika serikali zilizojaa uozo serikali ya Magufuli ni nambari wani.
Mambo mengi sana ya hovyo yalifanyika chini ya uchochoro wa uzalendo.
Mzalendo na waliokuwa chini yake wamechakaza sana mali za umma na watu binafsi
Huwa hakuna swali la kijinga.Mjibu ili ujue na ajue wapi hamjaelewana.Rudi mirembe ndugu; inaonekana bafo hujapona. Swali Gani hili
Wanaotetewa sasa!! Hao wanaotakiwa kurudishiwa mali zao!! Watu aina ya Zakaria et al, kweli bongo bahati mbaya!Huo ndio ukweli hivi uwe na pesa halali halafu unyang'anywe kweli hakika hakuna watu wajinga nchi hii kama vijana wa chadema mtandaoni
kwahiyo wakirudisha hiyo kiasi ndo mwendazake akayafiche huko chinaAkina Lissu na Myika Chadema Co,ndio walikuwa wanatoa povu bungeni tena kwa ushaidi wa nyaraka kuwa akina Simbion na APTL ni wezi wanaujumu Serikali, Magufuli alivyofanikiwa kupata madaraka akisikiliza maoni yao ndipo aliwakamata Setti na Rugemarila ili angalau waweze kurejesha kiasi kidogo.Sasa hapo Magufuli alikuwa na shida hipi wakati wote waliokamatwa haidha walitajwa bungeni au kwenye kamati zilizoundwa kisheria na Magufuli alitekeleza maoni ya kamati yaliyochambuliwa kitaamu pamoja na nyaraka.
Mapenzi upofu bro, Kila la kheri!!Hata yakiandika magazeti yote na television zote zikatangaza kumchafua Magu!
Haiondoi ukweli ukweli kuwa wafanya biashara wengi walidaiwa pesa za ukwepaji kodi walizokuwa wakiibia serikali pamoja na kina Mbowe!
Ukitaka uwe mbaya, dai chako, JPM aliwadai wafanya biashara kodi nanihalali kabisa kwa nchi, lakini eti huo umekuwa ni ubaya? Nchi ya kipumbavu sana hii
Wananchi ndio sisi na tunasemaMitoto ya wezi katika ubora wako.
Serikali ya Samia imejaa wezi, hivyo lazima wezi watetee wezi wenzao.
Kila mtu alienyang'anywa pesa alikuwa mwizi, hivyo walikuwa wanarudisha walichoiba.
Mtapambana lakini hamtaweza.
Hatamfanye je wanachi hawatawaelewa.
Yaani Rais Magufuli alikuwa akihukumu mafisadi kwa "ushahidi" wa hoja na nyaraka zilizotolewa bungeni na akina Lissu, Mnyika, CHADEMA, kamati, na wachambuzi? Ndivyo Magufuli alivyokuwa akifanya kazi?Akina Lissu na Myika Chadema Co,ndio walikuwa wanatoa povu bungeni tena kwa ushaidi wa nyaraka kuwa akina Simbion na APTL ni wezi wanaujumu Serikali, Magufuli alivyofanikiwa kupata madaraka akisikiliza maoni yao ndipo aliwakamata Setti na Rugemarila ili angalau waweze kurejesha kiasi kidogo.Sasa hapo Magufuli alikuwa na shida hipi wakati wote waliokamatwa haidha walitajwa bungeni au kwenye kamati zilizoundwa kisheria na Magufuli alitekeleza maoni ya kamati yaliyochambuliwa kitaamu pamoja na nyaraka.
Mimi sio makonda ila kuna wakati niliwahi kuwa msukule wa mboweNakuona Makonda
Kama yeye alivyozikwa pembeni ya kaburi la mamake, sio?Wewe ni maskini au una roho ya kimaskini ndo maana hupendi utawala huu wa haki. Alishasema Zitto kama inawauma sana nendeni mkazikwe pembeni ya kaburi la shujaa wenu.
Kati ya sisi na wale msio Isha kumtaja nani inawauma zaidi. Mtu hayupo kutwa kumsema Kwa Nini?Wewe ni maskini au una roho ya kimaskini ndo maana hupendi utawala huu wa haki. Alishasema Zitto kama inawauma sana nendeni mkazikwe pembeni ya kaburi la shujaa wenu.
Unataka kusema hajui umma manaa yake Nini?Huwa hakuna swali la kijinga.Mjibu ili ujue na ajue wapi hamjaelewana.
Usifiche maumivu yako kwa vyeti batili au hao wezi(ambao hawajathibitishwa wizi wao)kwa makosa ya mtu.Kuna watu wanalalamika kuonewa bila kuwa na makosa.Mlielewe hilo hata kama hampendi ili kumtetea mpendwa wenu.Uungwana ni kukubali kwamba alikuwa na udhaifu mkubwa kiutendaji na maamuzi ya hovyo.Mkikaza sana shingo mtajiumiza kwa hiyari yenu.Vyeti feki, wakwepa Kodi na wezi was pesa za umma lazima mfurahi Hilo halina ubishi.
Hakika kama kungekuwa na upinzani makini 2025 mngeaibika sana
Sawa, tufanye alikusanya kodi halali, je waweza kutuambia alikusanya sh. ngapi kwenye hiyo lea bargaining na ziko wapi?Hata yakiandika magazeti yote na television zote zikatangaza kumchafua Magu!
Haiondoi ukweli ukweli kuwa wafanya biashara wengi walidaiwa pesa za ukwepaji kodi walizokuwa wakiibia serikali pamoja na kina Mbowe!
Ukitaka uwe mbaya, dai chako, JPM aliwadai wafanya biashara kodi nanihalali kabisa kwa nchi, lakini eti huo umekuwa ni ubaya? Nchi ya kipumbavu sana hii
Mmoja kamsema negatively halafu na weye ukaingia kumtetea kwa kumtaja positevely,ni kwamba wote mnafanya jambo moja kwa maono tofauti.Wote mnamtaja.Kama ni kero,tulia,nyamaza ili akose muendelezo.Jinsi unavyojibu ndivyo unao geza maswali,dodoso na wahka kwako.Kati ya sisi na wale msio Isha kumtaja nani inawauma zaidi. Mtu hayupo kutwa kumsema Kwa Nini?
Ndugu Sina maumivu yoyote ila lazima ifike mahali tuwamvie ukweli. Mtu yoyote aliekuwa anamchukia yule mzee lazima alikuwa na makando kando.Usifiche maumivu yako kwa vyeti batili au hao wezi(ambao hawajathibitishwa wizi wao)kwa makosa ya mtu.Kuna watu wanalalamika kuonewa bila kuwa na makosa.Mlielewe hilo hata kama hampendi ili kumtetea mpendwa wenu.Uungwana ni kukubali kwamba alikuwa na udhaifu mkubwa kiutendaji na maamuzi ya hovyo.Mkikaza sana shingo mtajiumiza kwa hiyari yenu.
Lile shetani liliitesa sana private sector, lilitaka nchi nzima waitwe wanyonge. Pumbavu kabisa, life tena huko kaburini.View attachment 2503193
My Take
Nawaambieni ukweli mchungu.
Katika serikali zilizojaa uozo serikali ya Magufuli ni nambari wani.
Mambo mengi sana ya hovyo yalifanyika chini ya uchochoro wa uzalendo.
Mzalendo na waliokuwa chini yake wamechakaza sana mali za umma na watu binafsi
Sawa tuambie wewe basi hizo pesa ni kiasi gani ni ziliwekwa wapiMitoto ya wezi katika ubora wako.
Serikali ya Samia imejaa wezi, hivyo lazima wezi watetee wezi wenzao.
Kila mtu alienyang'anywa pesa alikuwa mwizi, hivyo walikuwa wanarudisha walichoiba.
Mtapambana lakini hamtaweza.
Hatamfanye je wanachi hawatawaelewa.
Magufuli alikuwa akiunda tume inakuja na mapendekezo,haidha ya bunge au ya tume iliyoundwa kisheria,mfn akina Lugemalira yalikuwa ni mapendekezo ya tume ya bunge iliyoundwa kisheria na bunge la akina mwakyembe, badae ikaundwa tume ya Makenikia ya professor Muruma nayo ikaja na mapendekezo jinsi ya kufanya watendaji wazembe walioingiza nchi hii katika mikataba mibovu.Magufuli alifanya kwa mapendekezo ya nyaraka na maoni yenye ushaidiYaani Rais Magufuli alikuwa akihukumu mafisadi kwa "ushahidi" wa hoja na nyaraka zilizotolewa bungeni na akina Lissu, Mnyika, CHADEMA, kamati, na wachambuzi? Ndivyo Magufuli alivyokuwa akifanya kazi?