900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
no way out he shall be swallowed is just matter of timeBiswalo amejificha siku hizi hatoki ndani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
no way out he shall be swallowed is just matter of timeBiswalo amejificha siku hizi hatoki ndani
Akina Lissu na Myika Chadema Co,ndio walikuwa wanatoa povu bungeni tena kwa ushaidi wa nyaraka kuwa akina Simbion na APTL ni wezi wanaujumu Serikali, Magufuli alivyofanikiwa kupata madaraka akisikiliza maoni yao ndipo aliwakamata Setti na Rugemarila ili angalau waweze kurejesha kiasi kidogo.Sasa hapo Magufuli alikuwa na shida hipi wakati wote waliokamatwa haidha walitajwa bungeni au kwenye kamati zilizoundwa kisheria na Magufuli alitekeleza maoni ya kamati yaliyochambuliwa kitaamu pamoja na nyaraka.Kumuita mtu mwizi bila uthibitisho usio shaka wa kitaalamu mahakamani ni kujipakaza ujinga machoni.Uonee tamaa mali walizotafuta wanaume,uzing'ang'anie,uwatupe lupango na baada ya kuona hakuna ushahidi ulazimishe "mpatane"?Sasa unataka mpatane kwa lipi pasina jinai wala madai?Huo ni wizi,dhulma na ujinga mwingi.Labda kama una namna tofauti ya kuuleza kwa kuuremba.
Wananchi gani?Mitoto ya wezi katika ubora wako.
Serikali ya Samia imejaa wezi, hivyo lazima wezi watetee wezi wenzao.
Kila mtu alienyang'anywa pesa alikuwa mwizi, hivyo walikuwa wanarudisha walichoiba.
Mtapambana lakini hamtaweza.
Hatamfanye je wanachi hawatawaelewa.
Kwa hiyo makosa yake yamesababishwa na akina Lissu na Mnyika?😂😂😂😂Akina Lissu na Myika Chadema Co,ndio walikuwa wanatoa povu bungeni tena kwa ushaidi wa nyaraka kuwa akina Simbion na APTL ni wezi wanaujumu Serikali, Magufuli alivyofanikiwa kupata madaraka akisikiliza maoni yao ndipo aliwakamata Setti na Rugemarila ili angalau waweze kurejesha kiasi kidogo.Sasa hapo Magufuli alikuwa na shida hipi wakati wote waliokamatwa haidha walitajwa bungeni au kwenye kamati zilizoundwa kisheria na Magufuli alitekeleza maoni ya kamati yaliyochambuliwa kitaamu pamoja na nyaraka.
Rudi mirembe ndugu; inaonekana bafo hujapona. Swali Gani hiliWananchi gani?
Wale walikuwa Wabunge na walitoa ushauli tena lissu alienda mbali na kusema hao jamaa walistahili kunyongwa kwa sababu walikuwa waujumu Uchumi inamaana Yeye angelikuwa Rais angeliwanyonga,sasa Magufuli kufuata ushauli wao kwanini haonekane mbaya?Kwa hiyo makosa yake yamesababishwa na akina Lissu na Mnyika?😂😂😂😂
Kikwete aliwahi kutoa ushauri kuhusu kusikiliza hoja na kutumia akili zaidi kuikabili hoja.Ukikosea jambo unapaswa kuanza kujilaumu mwenyewe na ukubali kulaumiwa.Hiyo ya kueleza kwamba usingeweza kama si fulani kuniongoza vibaya,utachekesha umma.Walikulazimisha?Ulitumia akili zaidi kiasi gani kupambana na kutatua changamoto weye kama weye?😜😜😜😜😜Wale walikuwa Wabunge na walitoa ushauli tena lissu alienda mbali na kusema hao jamaa walistahili kunyongwa kwa sababu walikuwa waujumu Uchumi inamaana Yeye angelikuwa Rais angeliwanyonga,sasa Magufuli kufuata ushauli wao kwanini haonekane mbaya?
Hakuna mwananchi mwenye akili timamu ambaye hajafurahishwa na kuanguka kwa awamu ya tano.Rudi mirembe ndugu; inaonekana bafo hujapona. Swali Gani hili
Vyeti feki, wakwepa Kodi na wezi was pesa za umma lazima mfurahi Hilo halina ubishi.Hakuna mwananchi mwenye akili timamu ambaye hajafurahishwa na kuanguka kwa awamu ya tano.
Wewe ni maskini au una roho ya kimaskini ndo maana hupendi utawala huu wa haki. Alishasema Zitto kama inawauma sana nendeni mkazikwe pembeni ya kaburi la shujaa wenu.Vyeti feki, wakwepa Kodi na wezi was pesa za umma lazima mfurahi Hilo halina ubishi.
Hakika kama kungekuwa na upinzani makini 2025 mngeaibika sana
Benki za China zina siri nyingi sana juu ya utawala huuView attachment 2503193
My Take
Nawaambieni ukweli mchungu.
Katika serikali zilizojaa uozo serikali ya Magufuli ni nambari wani.
Mambo mengi sana ya hovyo yalifanyika chini ya uchochoro wa uzalendo.
Mzalendo na waliokuwa chini yake wamechakaza sana mali za umma na watu binafsi
Legacy za kulazimisha tuKumbe ndio maana watu wanapiga kelele kuhusu legacy maana wanajua madudu waliyofanya.
Sasa watulie kila mtu aipate sawasawa na matendo yake.
Mzimu unaotembeayule hakuwa binadamu wa kawaida
Mwizi ni sheitwan wa burigiMitoto ya wezi katika ubora wako.
Serikali ya Samia imejaa wezi, hivyo lazima wezi watetee wezi wenzao.
Kila mtu alienyang'anywa pesa alikuwa mwizi, hivyo walikuwa wanarudisha walichoiba.
Mtapambana lakini hamtaweza.
Hatamfanye je wanachi hawatawaelewa.
Atapatikana tu kama MSIBABiswalo amejificha siku hizi hatoki ndani