Kama sio bikra huyo ni mke wa mtuWazeee tuache utani mimi nimefolling love na muhudumu wa bar moja maarufu Hapa Dodoma jina naweka kapuni
Ila ukweli usemwe huyu muhudumu ananikosha sana wakuu namkubali mbaya
Wacha nijitoze wenda akatulia
Wewe ukikutana na mtu mnapimana once na kuanzia hapo mnapekua, hujui anachepuka au niaje!Sawa babu naona upo na uzoefu nao
Akiwa wa kaunta au jikoni hao wana AfadhaliWazeee tuache utani mimi nimefolling love na muhudumu wa bar moja maarufu Hapa Dodoma jina naweka kapuni
Ila ukweli usemwe huyu muhudumu ananikosha sana wakuu namkubali mbaya
Wacha nijitoze wenda akatulia
Ujumbe gani mzeeWewe ukikutana na mtu mnapimana once na kuanzia hapo mnapekua, hujui anachepuka au niaje!
Wa kujiuza kila akikutana na mtu anavaa gwanda. Marcy nna ujumbe wako🤪
Sasa ndio uulize kwa ugali mama!!Ujumbe gani mzee
Ugali au ukaliSasa ndio uulize kwa ugali mama!!
Ukali, binti mbichi ukiwa mkali ni dhambi🤪Ugali au ukali
Hapana wew tu umehisi hivyo babu
Umejinga na hela zako za guta Sasa unaenda kuzimaliza.Wazeee tuache utani mimi nimefolling love na muhudumu wa bar moja maarufu Hapa Dodoma jina naweka kapuni.
Ila ukweli usemwe huyu muhudumu ananikosha sana wakuu namkubali mbaya.
Wacha nijitoze wenda akatulia
Geti la wapiUkali, binti mbichi ukiwa mkali ni dhambi🤪
Fungua geti basi..🤪
Picha jamani tupasicheee.Kumbe Adela n maarufu ivi 😂
Hakikisha maokoto hayapunguiWazeee tuache utani mimi nimefolling love na muhudumu wa bar moja maarufu Hapa Dodoma jina naweka kapuni.
Ila ukweli usemwe huyu muhudumu ananikosha sana wakuu namkubali mbaya.
Wacha nijitoze wenda akatulia
Geti la nyumbani kwenu😅Geti la wapi
Viwanja vyangu vile na vijua sana,Kuna myaki mmoja nahisi alihamishiwa Dom akiyokea dar alinyakulia Ngoma Moja ya counter akaipangia nyumba akaacha na kazi saizi wanafamilia kabisa na mwamba dar anafamilia 🤣🤣❤️❤️MwNgu umejuaje ni kweli ni platinum grill karibu na chako nichako
Mwanangu nimezunguka viwanja vya dodoma ila kiukweli platinum napaelewa kinoma pia hapanaga historia yakuwa madem wa hovyo hovyoMwNgu umejuaje ni kweli ni platinum grill karibu na chako nichako