Waliooa wahudumu wa bar waje hapa kutoa ushuhuda

Waliooa wahudumu wa bar waje hapa kutoa ushuhuda

Kazi ya mtu sio utu wa mtu.

Kama anajielewa basi uhudumu wake wa baa ni shughuli ya kumuingizia kipato tu.

Kuna madada wa makanisani na misikitini lakini kutwa wanashinda nyumba za kulala wageni wakibadilisha mabwana.
 
Wazeee tuache utani mm nimefolling love na muhudumu wa bar moja maarufu Hapa dodoma jina naweka kapuni

Ila ukweli usemwe huyu muhudumu ananikosha sna wakuu namkubali mbaya

Wacha nijitoze wenda aka tulia
Anahudumia bar gani hapa Dom mkuu?
Ikiwezekana weka ka picha ili tuone kama namfaham Pengine ntakushauri kitu.
Ila kama ni kale kadada flani kembamba keupe kenye kipini puani kanakofanya kazi bar maarufu ya pale jirani na chuo basi huyo usioe labda kama unakaba mbele na nyuma hapo sawa.
Mie pia nimekachapa sana huwa na enjoy vile anajua kunyonya
 
Anahudumia bar gani hapa Dom mkuu?
Ikiwezekana weka ka picha ili tuone kama namfaham Pengine ntakhahabushauri kitu.
Ila kama ni kale kadada flani kembamba keupe kenye kipini puani kanakofanya kazi bar maarufu ya pale jirani na chuo basi huyo usioe labda kama unakaba mbele na nyuma hapo sawa.
Mie pia nimekachapa sana huwa na enjoy vile anajua kunyonya
Hahahah kiukweli kapo bar moja I naitwa platinum grill iko karibu na chako ni chako
 
Back
Top Bottom