Waliooa wamasai tupeane changamoto na ubora wao

...nimeoa mmasai tangu 2012...ni wanawake bora kupata kutoka.
...mke wangu ni mzuri sana wa umbo,sura na tabia.-..hajakeketwa coz ni masai wa mjini.
Hongera mkuu, umeoa mmasai au mwaarusha? Maana hizo ni kabila mbili tofauti ila wanashare mambo mbalimbali na Waarusha wanapenda kujiita maasai.
 
[emoji1][emoji1][emoji1]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zanguuu!


Cc Smart911
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…