Waliopewa dola ili kudhibiti rushwa na dhuluma wanakiri hadharani kuwa dhuluma imezidi. Hii ni aibu kubwa

Taifa la wapumbavu hili,kama kipimo Cha uchumi ni magari namba E,sherehe za harusi na mikusanyiko ya wanywaji bar inatafsiliwa ndo uchumi imara.Huo ndo muono wa waziri mwenye PhD.
Mungu ameondoa kauli kwenye vinywa vyao...
 
Kamanda ule mkutano wako na waandika habari juu ya wewe kujivua uanachama wa CHADEMA ulifanya?Wadau walikushauri ubadili kabisa na jina ujiite Kamanda Aliyechoka ,mbona haujafanya hivyo?
 
Taifa la wapumbavu hili,kama kipimo Cha uchumi ni magari namba E,sherehe za harusi na mikusanyiko ya wanywaji bar inatafsiliwa ndo uchumi imara.Huo ndo muono wa waziri mwenye PhD.
Watu wengine niweupe kweli. Nadhani nimeeleweka
 
Wewe tena?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…