Walioruhusu picha hii itumike hawakuwa wajinga

Walioruhusu picha hii itumike hawakuwa wajinga

Kwamba hujui kuna habari kwenye Quran na Biblia zinafanana? kwa kuanzia kisa mpaka majina ya watu hujui hilo au unajitoa ufahamu.

nakuja na facts soon
umeambiwa uweke facts umebaki unaharisha harisha tu
 
Sahihi
Mkuu kwa heshima kabisa sikubaliani na fikra yako kwasababu zifuatazo;

Yesu wakati wa uhai wake hakuwa mtu maarufu bali umaarufu wake umekuja miaka mingi baada ya yeye kufariki na habari zake kutangazwa. Sasa kama hakuwa maarufu ni wazi watu walimpuuzia ndio maana hata wakamuua kama waalifu wengine.

Ilihitajika awe mtu maarufu ndipo kumbukumbu zake ziwepo kwa watawala hasa picha sababu alitakiwa kulipia achorwe, kumbukumbu za Yesu zilizopo ni stori za mambo aliyofanya. Ni sawa na stori za babu wa machifu kabla ya kuja mkoloni kamwe hutaona picha zao bali stori tu.

Angalau kwa Mtume Mohammed yeye alieneza dini ya uislamu, ingekuwa rahisi sana kwa picha za Mtume kuwepo sababu yeye ndio mtu aliyekuwa nyuma ya uislamu tofauti na Yesu ambaye hata Ukristo wenyewe hakuuhubiri sababu yeye alikuwa myahudi na alitumwa kwao wayahudi.

Hii picha ni dhana tu au ndoto za wanadamu wa kipindi cha utambuko wakaamua kuileta tuitumie.

Jambo lingine ni uvaaji, huo uvaaji sio wa miaka hiyo watu wa zamani naweza kusema walikuwa rafu sana kuanzia nywele kichwani, ndevu zao hadi mavazi sasa yeye ilikuwaje akawa smart hivyo?, wakati alikuwa ni mtoto wa seremala tu? Mfano mzuri ni vikkings angalia walivyokuwa rafu na miaka waliyoishi ndio sembuse Yesu aliyeishi 2000 nyuma?.

Tubaki tu na imani ila hakuna uhalisia hapo.
 
Bo
I hope y'all are doing just fine, It has been long time since I was here[JF Inteligence]
View attachment 2545863
Kuna mtu alileta mada humu akiuliza kwamba picha inayotumiwa na wakristo hasa wakatoliki ya mtu mmoja mzungu kua “ndie” yesu, je hiyo picha ni ya Yesu kweli? Akaongeza kwa kusema kwamba wakati yesu akiwepo kulikua hakuna teknolojia ya Photography wala Motion Picture…So wao waliitoa wapi picha hiyo na wana ushashidi upi kwamba yule ndio Yesu mwenyewe??

I’m glad you asked coz I would like to use this moment to Splendid Explain these stuffs to you!


Toka dunia kuumbwa, dunia imeshuhudia kuzaliwa kwa watu wawili wenye akili zaidi.watu hao walikua wenye uwezo wa kujifunza mambo wao wenyewe yaani Autodidacts na walikua wana uelewa na uwezo wa kufanya mambo meengi kwa wakati mmoja yaani Polymaths…watu hao si wengine bali ni Imhotep kutoka Misri ya zamani (Ancient Egypt) na Leonardo Da’Vinci kutoka Sicily Rome.

Imhotep alikuwepo duniani Zaidi ya miaka 5000 kabla ya kuzaliwa kwa Da’Vinci, Da’Vinci kazaliwa miaka 600 iliyopita yaani 1400s.Imhotep alikua kuhani mkuu wa mungu mkuu wa wamisri aitwaye mungu jua Ra, mbali na hayo jamaa alikua mbobevu katika hesabu,fizikia na biology hivyo alijikita sana katika usanifu wa majengo na tiba mbalimbali. Ukiziona Pyramids zilizopo misri wala usidanganyike kua alien ndio wamejenga bali ni huyu Inhotep ndio alizisanifu.

Wagiriki walimuabudu huyu mtu kama mungu wao wa tiba kutokana na mchango wake mkubwa katika tafiti zake zi kitabibu.

Kwa waliosoma mada zangu kadhaa zilizopita nilielezea jinsi utawala wa Ugiriki ulivyotokea na kuanguka na matokeo yaliyotokea baada ya ugiriki kuanguka. Kwa ambao hawajasoma nitaelezea kwa ufupi sana nini kilitokea.
Miaka ya nyuma ugiriki ya zamani ilikua imeundwa na miji ipatayo 100 na kila mji na ulikua na utawala wake japo walikua wakiungana na kusaidiana pindi uvamizi unapotokea, enzi hizo superpower wa dunia alikua Persia yaani Iran ya sasa. Iran ilikua inajitanua kwa kuvamia maeneo na kuyachukua hapo ndio alipoikaribia Ugiriki akitaka aanze kuchukua mji baaada ya mji, hapo ndio unakutana kisa cha mfalme Leonidas wa jiji la Sparta.

Vumbi ilitimka kweli kwa wapenzi wa muvi waliotazama muvi ya 300 na 300 Rise of Empire wanaelewa.
Baada ya vamizi kadhaa zilizokua zinafanywa na nchi kubwakubwa wagiriki wakaamua kuungana na kutengeneza nchi moja ya Greece. Mikaka ikaenda akatokea alexander the great akaikuza sana Greek, akaanzisha mji wake ulioitwa Alexandria katika nchi ya Misri. Kipindi hicho misri ilikua ndio hazina na kitovu cha Elimu dunia nzima.
View attachment 2545869
[Mwigizaji Gerald Butler aliyeigiza kama mfalam Leonidas wa sparta kutoka muvi ya ]

Wanafalsafa wengi na walienda hapo kusomea, hata mwandishi wa injili Luka alisomea hapo. Miaka ikaenda baada ya Ugiriki kuanguka Superpower aliyeibuka akawa Rome, Rome ilienda kuchukua kila kitu kilichokua misri wakakihamishia kwao. Maarifa yote yaliyokua Misri kwenye Maktaba ya kwanza kuanzishwa duniani yalihamishiwa Rumi.

Wakati nchi ya Israel ikitawaliwa na Rumi anazaliwa Yesu anafanya kilichomleta duniani kisha anafariki miaka 33 baadae, wafuasi wa Yesu wanaongenzeka na kupata ushawishi mkubwa katika serikali na maeneo mengi duniani.

Kwa wanaopenda Conspiracy, inasemaekana baada ya utawala wa Rumi duniani kuanza kuanguka watu wenye kufikiria mbali (futurist) wakiongozwa na mfalme Nero walikabidhi madaraka kwa wafuasi wa Yesu Kristo wa kipindi hicho ili Rumi iendelee kutawala dunia kupitia mlango wa nyuma (indirectly) ndipo ukristo ukatambuliko rasmi duniani kama Roman Catholic na wakapafanya Rumi kama ndio makao makuu ya Ukristo badala ya Yesrusalemu. (Sina uhakika kama nadharia hii ina ukweli ndani yake ila ina make sense sana maana wote twafahamu nguvu na ushawishi iliyonayo RC katika mataifa mbalimbali)

Miaka kadhaa tawala ya Rumi inaanguka, Ukatoliki ukawa umeenea maeneo mengi na ushawishi mkubwa ulimwenguni anazaliwa Leonardo Da’Vinci 1452, kutokana na uwezo mkubwa katika mambo mbalimbali kila alichokifanya kiliweza kua Perfecto. Davinci aliweza kuifanya tasnia ya uchoraji kua kubwa na yenye thamani sana kutokana na kazi zake bora na zenye kufikirisha za uchoraji.

Ni moja kat ya wachoraji wakubwa kuwahi ktokea hapa duniani kuna vitu kachora hakuna mwingine anayeweza kuchora labda urumie Powerful software…kama utanibishia jaribu kuchora duara na pembe nne vikiwa pamoja kama alivyochora mchoro wake wa Vitruvian man… Jamaa alikua anaweza kujichora yeye mwenyewe sura yake…Baadae anazaliwa Michelangelo ambae na kwa kiasi Fulani alijitahidi sana katika uchoroja unaweza kujionea michoro yake ya Sistine Chapel iliyopo hapo Vatican, lakini pia nae alibobea katika uchonganji (sculptures)
View attachment 2545902
[Sistine Chapel]
Inahusiana vipi na Picha ya Yesu…?

Kama nilivyoeleza huko juu Baada ya Ugiriki na Misri kuanguka na Rumi kuibuka kama Superpower alibeba maarifa yote yaliyokua Rumi na Ugiriki na kuyahamishia Roma, hivyo baada ya rumi kuanguka kanisa katoliki likabaki limeshikilia maarifa kutoka pande zote za dunia hasa misri,ugiriki na Israel. Leo hii hakuna taarifa au maarifa ambayo hayapo Vatican…Vatican inamiliki moja kati ya eneo lenye kulindwa Zaidi duniani ambalo hua haiingii huko mtu bila ruhusu maalumu…Hata Pope inabidi apate kibali kutoka kwa kiongozi wa Jesuists ndio anaweza kwenda huko.

Hivyo basi sidhani kwamba kanisa katopliki wanaweza kua wameshindwa kupata piacha ya yesu wakati wameweza kumiliki taaroifa za kutoka kila pande ya dunia. Kama Plato,Socrate, nk picha zao zipo na waliishi miaka mingikabla ya yesu haiwezekani yeye picha yake isiweze kupatikana.

Nimesema kipindi hicho taaluma ya uchoraji na uchongaji ilitumika Zaidi katika kuweka kumbukumbu za watu mbalimbali ndio maana leo ukiitaka picha ya Plato unaipata, kuna watu wamejaliwa uwezo mkubwa wa uchoraji unaweza kumuelezea kwamba Fulani sura yake ipo hivi na hivi na akaichora kama ilivyo. Njia hii hutumiwa sana na mashirika ya usalama hususan FBI na polisi. Tena sasa hivi kuna msaada wa softwares yaani ukimuelezea mtu anakutulea mchoro kama picha halisi…hivyo basi natumaini hata picha ya yesu watu wa zamani walitumia njia hiyo kuhifadhi taswira ya Kristo.

Ndio maana utakuta picha hiyo inayotumika sura yake ipo mahali pote sio tofauti. Hata miaka ya 1970s wakati wanaandaa filamu ya yesu walijaribu watu Zaidi ya waigizaji 200 ambao watafanana na Sura hiyohiyo ni Brian Deacon pekee ndio alifanikiwa kufit kwenye role hiyo kutokana na sura yake kufanana na sura inayotumika kuwasilisha taswira ya Kristo.
Ndio maana wasiojua wanapoona hiyo taswira ya yesu hua wanasema kwamba ni sura ya mwigizaji Brian Deacon…Si kweli, kwa maarifa waliyonayo RC hawawezi ruhusu hilo.

So kwa kuhitimisha ni kwamba Wakatoliki kukubali kuruhusu picha hiyo ya Yesu kutumika sio wajinga hata kidogo kwamba hawafahamu taswira halisi ya Kristo.
Kwa hali hii bora zumaridi avune wafuasi
 
I hope y'all are doing just fine, It has been long time since I was here[JF Inteligence]
View attachment 2545863
Kuna mtu alileta mada humu akiuliza kwamba picha inayotumiwa na wakristo hasa wakatoliki ya mtu mmoja mzungu kua “ndie” yesu, je hiyo picha ni ya Yesu kweli? Akaongeza kwa kusema kwamba wakati yesu akiwepo kulikua hakuna teknolojia ya Photography wala Motion Picture…So wao waliitoa wapi picha hiyo na wana ushashidi upi kwamba yule ndio Yesu mwenyewe??

I’m glad you asked coz I would like to use this moment to Splendid Explain these stuffs to you!


Toka dunia kuumbwa, dunia imeshuhudia kuzaliwa kwa watu wawili wenye akili zaidi.watu hao walikua wenye uwezo wa kujifunza mambo wao wenyewe yaani Autodidacts na walikua wana uelewa na uwezo wa kufanya mambo meengi kwa wakati mmoja yaani Polymaths…watu hao si wengine bali ni Imhotep kutoka Misri ya zamani (Ancient Egypt) na Leonardo Da’Vinci kutoka Sicily Rome.

Imhotep alikuwepo duniani Zaidi ya miaka 5000 kabla ya kuzaliwa kwa Da’Vinci, Da’Vinci kazaliwa miaka 600 iliyopita yaani 1400s.Imhotep alikua kuhani mkuu wa mungu mkuu wa wamisri aitwaye mungu jua Ra, mbali na hayo jamaa alikua mbobevu katika hesabu,fizikia na biology hivyo alijikita sana katika usanifu wa majengo na tiba mbalimbali. Ukiziona Pyramids zilizopo misri wala usidanganyike kua alien ndio wamejenga bali ni huyu Inhotep ndio alizisanifu.

Wagiriki walimuabudu huyu mtu kama mungu wao wa tiba kutokana na mchango wake mkubwa katika tafiti zake zi kitabibu.

Kwa waliosoma mada zangu kadhaa zilizopita nilielezea jinsi utawala wa Ugiriki ulivyotokea na kuanguka na matokeo yaliyotokea baada ya ugiriki kuanguka. Kwa ambao hawajasoma nitaelezea kwa ufupi sana nini kilitokea.
Miaka ya nyuma ugiriki ya zamani ilikua imeundwa na miji ipatayo 100 na kila mji na ulikua na utawala wake japo walikua wakiungana na kusaidiana pindi uvamizi unapotokea, enzi hizo superpower wa dunia alikua Persia yaani Iran ya sasa. Iran ilikua inajitanua kwa kuvamia maeneo na kuyachukua hapo ndio alipoikaribia Ugiriki akitaka aanze kuchukua mji baaada ya mji, hapo ndio unakutana kisa cha mfalme Leonidas wa jiji la Sparta.

Vumbi ilitimka kweli kwa wapenzi wa muvi waliotazama muvi ya 300 na 300 Rise of Empire wanaelewa.
Baada ya vamizi kadhaa zilizokua zinafanywa na nchi kubwakubwa wagiriki wakaamua kuungana na kutengeneza nchi moja ya Greece. Mikaka ikaenda akatokea alexander the great akaikuza sana Greek, akaanzisha mji wake ulioitwa Alexandria katika nchi ya Misri. Kipindi hicho misri ilikua ndio hazina na kitovu cha Elimu dunia nzima.
View attachment 2545869
[Mwigizaji Gerald Butler aliyeigiza kama mfalam Leonidas wa sparta kutoka muvi ya ]

Wanafalsafa wengi na walienda hapo kusomea, hata mwandishi wa injili Luka alisomea hapo. Miaka ikaenda baada ya Ugiriki kuanguka Superpower aliyeibuka akawa Rome, Rome ilienda kuchukua kila kitu kilichokua misri wakakihamishia kwao. Maarifa yote yaliyokua Misri kwenye Maktaba ya kwanza kuanzishwa duniani yalihamishiwa Rumi.

Wakati nchi ya Israel ikitawaliwa na Rumi anazaliwa Yesu anafanya kilichomleta duniani kisha anafariki miaka 33 baadae, wafuasi wa Yesu wanaongenzeka na kupata ushawishi mkubwa katika serikali na maeneo mengi duniani.

Kwa wanaopenda Conspiracy, inasemaekana baada ya utawala wa Rumi duniani kuanza kuanguka watu wenye kufikiria mbali (futurist) wakiongozwa na mfalme Nero walikabidhi madaraka kwa wafuasi wa Yesu Kristo wa kipindi hicho ili Rumi iendelee kutawala dunia kupitia mlango wa nyuma (indirectly) ndipo ukristo ukatambuliko rasmi duniani kama Roman Catholic na wakapafanya Rumi kama ndio makao makuu ya Ukristo badala ya Yesrusalemu. (Sina uhakika kama nadharia hii ina ukweli ndani yake ila ina make sense sana maana wote twafahamu nguvu na ushawishi iliyonayo RC katika mataifa mbalimbali)

Miaka kadhaa tawala ya Rumi inaanguka, Ukatoliki ukawa umeenea maeneo mengi na ushawishi mkubwa ulimwenguni anazaliwa Leonardo Da’Vinci 1452, kutokana na uwezo mkubwa katika mambo mbalimbali kila alichokifanya kiliweza kua Perfecto. Davinci aliweza kuifanya tasnia ya uchoraji kua kubwa na yenye thamani sana kutokana na kazi zake bora na zenye kufikirisha za uchoraji.

Ni moja kat ya wachoraji wakubwa kuwahi ktokea hapa duniani kuna vitu kachora hakuna mwingine anayeweza kuchora labda urumie Powerful software…kama utanibishia jaribu kuchora duara na pembe nne vikiwa pamoja kama alivyochora mchoro wake wa Vitruvian man… Jamaa alikua anaweza kujichora yeye mwenyewe sura yake…Baadae anazaliwa Michelangelo ambae na kwa kiasi Fulani alijitahidi sana katika uchoroja unaweza kujionea michoro yake ya Sistine Chapel iliyopo hapo Vatican, lakini pia nae alibobea katika uchonganji (sculptures)
View attachment 2545902
[Sistine Chapel]
Inahusiana vipi na Picha ya Yesu…?

Kama nilivyoeleza huko juu Baada ya Ugiriki na Misri kuanguka na Rumi kuibuka kama Superpower alibeba maarifa yote yaliyokua Rumi na Ugiriki na kuyahamishia Roma, hivyo baada ya rumi kuanguka kanisa katoliki likabaki limeshikilia maarifa kutoka pande zote za dunia hasa misri,ugiriki na Israel. Leo hii hakuna taarifa au maarifa ambayo hayapo Vatican…Vatican inamiliki moja kati ya eneo lenye kulindwa Zaidi duniani ambalo hua haiingii huko mtu bila ruhusu maalumu…Hata Pope inabidi apate kibali kutoka kwa kiongozi wa Jesuists ndio anaweza kwenda huko.

Hivyo basi sidhani kwamba kanisa katopliki wanaweza kua wameshindwa kupata piacha ya yesu wakati wameweza kumiliki taaroifa za kutoka kila pande ya dunia. Kama Plato,Socrate, nk picha zao zipo na waliishi miaka mingikabla ya yesu haiwezekani yeye picha yake isiweze kupatikana.

Nimesema kipindi hicho taaluma ya uchoraji na uchongaji ilitumika Zaidi katika kuweka kumbukumbu za watu mbalimbali ndio maana leo ukiitaka picha ya Plato unaipata, kuna watu wamejaliwa uwezo mkubwa wa uchoraji unaweza kumuelezea kwamba Fulani sura yake ipo hivi na hivi na akaichora kama ilivyo. Njia hii hutumiwa sana na mashirika ya usalama hususan FBI na polisi. Tena sasa hivi kuna msaada wa softwares yaani ukimuelezea mtu anakutulea mchoro kama picha halisi…hivyo basi natumaini hata picha ya yesu watu wa zamani walitumia njia hiyo kuhifadhi taswira ya Kristo.

Ndio maana utakuta picha hiyo inayotumika sura yake ipo mahali pote sio tofauti. Hata miaka ya 1970s wakati wanaandaa filamu ya yesu walijaribu watu Zaidi ya waigizaji 200 ambao watafanana na Sura hiyohiyo ni Brian Deacon pekee ndio alifanikiwa kufit kwenye role hiyo kutokana na sura yake kufanana na sura inayotumika kuwasilisha taswira ya Kristo.
Ndio maana wasiojua wanapoona hiyo taswira ya yesu hua wanasema kwamba ni sura ya mwigizaji Brian Deacon…Si kweli, kwa maarifa waliyonayo RC hawawezi ruhusu hilo.

So kwa kuhitimisha ni kwamba Wakatoliki kukubali kuruhusu picha hiyo ya Yesu kutumika sio wajinga hata kidogo kwamba hawafahamu taswira halisi ya Kristo.
UONGO. TASWIRA HALISI WALIIONA WAPI, NI UONGO WENYE MAELEZO MENGI AMBAO UMEKUJA KUHITIMISHA MWISHONI KUWA NI UONGO.
 
Mi sio msabato lakini wapi kwenye Bible imeandikwa utatu mtakatifu? Kuna 50,000 hapa upate kitimoto hizi katekisimu zipo ili kuwatenga na bible
Mathayo 28:19 BHN

Nendeni basi, mkawafanye watu wa mataifa yote wawe wanafunzi wangu, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu.
 
Wakatoliki ndo wanatumia hyo , wao ndo Wana majibu kulingana na impression ya picha , Sisi wasabato tunazo zetu pia , sio picha halisi ya Yesu Ila zinatoa elimu fulan ya picha kuhusu huyo Yesu , na ni picha za kuchora computerized
Hizo Picha what if ni image ya watu halisi,kuwaabudu huoni ni makosa?
 
Swali zuri.

Hakuna tofauti kati ya Mungu BABA, MWANA na ROHO MTAKATIFU.

Yesu aliingia tumboni mwa bikra Kwa uwezo wa ROHO MTAKATIFU.

Hapo hapo, Yesu anapaa na kusema nitamtuma Roho wangu, ROHO MTAKATIFU na atawafundisha yote, atanishihudia mm.

Wengi wamefunuliwa walipoenda MBINGUNI, ukifika Mbinguni Leo hii, hutomuona kwamba Yesu ni huyu, Baba ni huyu na Roho MTAKATIFU ni huyu,

Ukibahatika kwenda Mbinguni ktk ROHO, utamwona YESU ndiye amekaa ktk KITI Cha ENZI na ndiye anayeabudiwa Mbinguni.

Siri hiyo ni kubwa, shetani amewapofusha WANADAMU wasilijue Hilo, bt shetani anamjua Yesu ni nani.

Amen
Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanae wa pekee....
 
Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanae wa pekee....
Huyo mwana ndo amekaa ktk KITI Cha enzi nw.

Alipokuja ktk mwili akaitwa mwana, alijishusha Ili akuokoe ukimwamini.

Alikuja Kwa Walio wake lakini hawakumtambua!!!!!

Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.

Amen
 
Huyo mwana ndo amekaa ktk KITI Cha enzi nw.

Alipokuja ktk mwili akaitwa mwana, alijishusha Ili akuokoe ukimwamini.

Alikuja Kwa Walio wake lakini hawakumtambua!!!!!

Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.

Amen
Mungu mmoja nafsi tatu.Wakatoliki wanaamini hii kitu
 
Mungu mmoja nafsi tatu.Wakatoliki wanaamini hii kitu
Warumi waliomuua YESU ndo walioanzisha Dini feki baada ya kushindwa kuzuia INJILI ya Kweli.

Utatu ni upagani, Freemasonry ndo wana hizo pembetatu, Bikari, Pyramid za misri, ni Miungu. Wamechanganya UKWELI kdg, uongo mwingi''.

Mungu ana NAFSI moja. Anasema ktk maandiko, Naapa Kwa "NAFSI YANGU ".

Utatu Amna ktk bible, utaona Roho 7, Makanisa 7, taa 7 nk.

Dini zilizosajiliwa na mamlaka kiserikali zimebanwa kutogusa Watawala wanapofanya maovu, ndomana utaona Serikali zinaonea watu, viongozi hawatoki kuongoza wananchi kukemea UOVU, wanasifia.

Watumishi wa Kweli ni aina ya Yohana Mbatizaji aliyekemea mamlaka waziwazi.
 
Warumi waliomuua YESU ndo walioanzisha Dini feki baada ya kushindwa kuzuia INJILI ya Kweli.

Utatu ni upagani, Freemasonry ndo wana hizo pembetatu, Bikari, Pyramid za misri, ni Miungu. Wamechanganya UKWELI kdg, uongo mwingi''.

Mungu ana NAFSI moja. Anasema ktk maandiko, Naapa Kwa "NAFSI YANGU ".

Utatu Amna ktk bible, utaona Roho 7, Makanisa 7, taa 7 nk.

Dini zilizosajiliwa na mamlaka kiserikali zimebanwa kutogusa Watawala wanapofanya maovu, ndomana utaona Serikali zinaonea watu, viongozi hawatoki kuongoza wananchi kukemea UOVU, wanasifia.

Watumishi wa Kweli ni aina ya Yohana Mbatizaji aliyekemea mamlaka waziwazi.
Sir upo na shida kubwa kiimani, unahitaji msaada
 
Sir upo na shida kubwa kiimani, unahitaji msaada
Mungu alikuja duniani kama mwanadamu bt Dunia haikumjua, Wayahudi hawakumjua,

Wakatoliki hawakumjua, wakamwabudu Mariam Badala ya Mungu ktk mwili, Yesu.

Hadi Leo wayahudi wanamsubiri massiah wao,

Maneno nikuambiayo ni Spirit ni ROHO, Si Rahisi wewe uliye ktk mwili kuelewa.

Mambo haya tangu zamani Hayakueleweka Kwa WASOMI au matajiri au MAARUFU, Bali watoto wachanga waliyajua.

Sishangai wewe kutonielewa, sababu watu wa Mungu na manabii hawakueleweka tangu mwanzo.

Endelea kuamini uongo, siku ya mwisho utaonyeshwa maneno haya kama ushahidi Kisha utupwe moyoni kama utakufa bila Kuzaliwa mara ya pili.
 
Mungu alikuja duniani kama mwanadamu bt Dunia haikumjua, Wayahudi hawakumjua,

Wakatoliki hawakumjua, wakamwabudu Mariam Badala ya Mungu ktk mwili, Yesu.

Hadi Leo wayahudi wanamsubiri massiah wao,

Maneno nikuambiayo ni Spirit ni ROHO, Si Rahisi wewe uliye ktk mwili kuelewa.

Mambo haya tangu zamani Hayakueleweka Kwa WASOMI au matajiri au MAARUFU, Bali watoto wachanga waliyajua.

Sishangai wewe kutonielewa, sababu watu wa Mungu na manabii hawakueleweka tangu mwanzo.

Endelea kuamini uongo, siku ya mwisho utaonyeshwa maneno haya kama ushahidi Kisha utupwe moyoni kama utakufa bila Kuzaliwa mara ya pili.
Mambo ya kwenye lessons haya
 
Mambo ya kwenye lessons haya
No mi Si msabato.

UKWELI hauna upande, INJILI ni upanga wenye makali kuwili.

Wasabato hawaamini juu ya kunena Kwa lugha mpya, nao wamefungwa hapo.

Huwezi Mwamini YESU na ukamkataa Roho wa YESU, holly Spirit.
 
A proven amid doubts yalikuwa malumbano.

Turudi kwenye hoja ya msingi.

Hoja kuwa kuna taswira ya Yesu ambayo imerekodiwa wala kuhifadhiwa kuwa ndiye na ndivyo alivyoonekana. Hoja aina hii huwa na leongo la kugeuza mawe kuwa mkate yaani kuijaribu Injili na Roho wa Mungu.

Kama Kanisa la Rumi linatumia nguvu nyingi kulazimisha ulimwengu kussdiki uwepo wa Yesu kwa kutunga historia nje ya Maandiko Matakatifu, hapo ndipo roho ya mpinga kristo inapojidhihirisha
Pope ndio kiongozi mkuu wa freemason
 
Imani na DINI ni vitu viwili tofauti.

Ukihama uislamu kwenda ukristo au Kutoka ukristo kwenda uislamu uko mule mule.

Mungu ni MMOJA anayestahili kuabudiwa.

Ingia kwenye maombi na ufunge, utakutana naye.

Mungu ni MMOJA na Jina lake Anaitwa YESU kristo.

Ndiye AJAYE ULIMWENGUNI kuwahukumu WANADAMU wote juu ya DHAMBI wasiomwamini.

Amen
Unachosema kwa Iman yako ni sawa
Lakn Mungu hakuzaa wala hakuzaliwa nawala hafanan na kitu chochote.
 
Back
Top Bottom